GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Sidhani kama huo ushauri ni sahihi sana mkuu. Vipi angelikuwa ni mwanajeshi yupo vitani mstari wa mbele, ungemwambia atoroke vita?Rudi nchini, huko hapakufai kabisa. Bora kulala njaa penye amani na usalama kuliko shibe penye shari na uhatarishi
✅🙏"Higher risk higher rate of return."
Wewe ndiyo umemtafsiri isivyo! Hajajibu kwa dharau.Kwa dharau hizi bora wakumalize tu.
R.I.P in advance.
✅🙏Dharau gani hapo? Mtu ana maisha yake mazuri huko SA ati wewe unatoa ushauri arudi bongo. Kufanya nini?
Mkuu ushauri wako ni mzuri na pia wenye kujali maisha ya mtu, nakushukuru mno kwa hilo.Mkuu, unang'ang'ania nini huko Bondeni, rudi Bingo. Maisha ya roho mkononi yana raha gani?
Vv
Kwa Sasa huko South ni "kwake".Rudini makwenu.
Mambo mengine mnajitakia.
Huko hakufai hata kidogo.
Nimeshusha ila Sasa usimuliaji wangu usipoelewa utaulizakishushe tu mkuu
Inawezekana wewe ni mwanafalsafa. Muda utasema.Mtu uache kufanya kazi inayokupa ulaji ati uogope Kifo ambacho kipo tuu hata ukilala nyumbani kwako. Kuna Watu upeo Mdogo.
Wapo Watu wanakufa wakiwa mbele ya madaktari bingwa.
Na wapo Watu wanakufa wakiwa chini ya ulinzi Mkali. Wengine wanafia Ikulu.
Kumbe! Nilifikiri pako vizuri kuzidi Tanzania.Botswana na penyewe pagumu mzunguko wa pesa ni mgogo na ajira hakuna
Unapoteza nguvu nyingi kumjibu mpuuzi1. I think umekuja hapa kubisha tu, na sio kusoma kilichoandikwa.
2. South sio peponi wala mbinguni, ni duniani ambapo kila mtu, hata wewe ambae unaonesha hujawahi kufika Dar unaweza kufika. Kuna wamalawi kibao ambao hata Town yao Lilongwe hawaifahamu lkn wako hapa, so usitishike au kushangazwa na mimi au mtu yoyote kuwepo hapa maana kunafikika wakati wowote.
Hapo kwenye namba 2 yako unasema nipo bongo alafu unasema tena barabara nilizozitaja ni sahihi! Mtu ambae yupo bongo kama unavyodai anawezaje kutaja kwa usahihi barabara hiyo.
3. Mimi nimeandika kwa kujiamini kwa sababu nina watu kibao humu wanaonifahamu na wanajua nipo wapi. Pia huu sio uzi wa kwanza mimi kuandika habari za huku South labda wewe ndo mgeni hapa jukwaani, hivyo unaona maajabu mno.
Ni pazuri kuzidi tanzaniaKumbe! Nilifikiri pako vizuri kuzidi Tanzania.
Usalama haupo ni mungu tuUsalama ukoje jijini Durban?
Wabongo bhanaIt's a very normal day life in Jozi, .. kufuatiliwa, kukurupushwa, kukoswakoswa, kuporwa gari, simu na wallet , kukabwa mchana kweupe huku watu wakiendelea na shughuli zao km vile hamna kinachoendelea.....nk
Yaani gari kukufuata nyuma tu unakimbilia conclusion ya kwamba walitaka kukuuwa.... umejuaje walichokitaka?
Inawezekana
1. Wewe ni mgeni sana Jozi
2. Upo bongo, ila hii story umesimuliwa, kwani hizo road ulizotaja ni sahihi.
3.Muongo.
Unapata wapi utulivu wa kusimulia story ndefu namna hii" (with details) kwenye maisha yasiyokuwa na utulivu where every second count?
Kwanini umewaza hivi mkuu? 😂😂Sauzi hapana bora ukaishi Afganstan au gaza
Ulichoandika yani kimepita mle mle mkuu.1. Capitalism.
2. Historical background of the Country.
Sheria za umiliki wa silaha ziko dhaifu sana.
Watu wengi ktk nchi kuwa na Mafunzo ya kijeshi, wengine ni makomandoo kabisa wa "Umkhonto We Sizwe " (MK) lakini hawana kazi au hawajaajiriwa popote pale
3.International Migration.
Kuwepo Wahamiaji wengi kwenye nchi hiyo, illegal migrants ambao wengine ni wahalifu (crooks and criminals).
Nafikiri haujasoma maelezo ya watu wenye uelewa hapo juu, ndomaana umeandika hiki ulichoandika.Wewe tunakujua ni sensationalist na attention seeker plus unajua kutunga riwaya out of nothing. Huna lolote. Unatafuta sympathy tu. Labda unadaiwa mahela au unafanya drug deals zako. Nani anajua? Watu wakufukuze kwa makilomita, kona kwa kona bila sababu?