Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #321
Yah ni kwel mkuuGari za SA nyingi ni speed 250 kwenda juu. Wese SA ni cheap sana watu hawaungiungi kama bongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah ni kwel mkuuGari za SA nyingi ni speed 250 kwenda juu. Wese SA ni cheap sana watu hawaungiungi kama bongo
Nilikuwa katika highway, na vituo au kituo cha polisi kipo ndani ya area (kwa ndani ndani) kama KM kadhaa kutoka barabarani kubwa.Hivi ukihisi unafuatiliwa kama ulivyosema wewe, kwanini usiendeshe gari moja kwa moja hadi kituo cha polisi? Au nawaza ujinga?
Hata wabongo wenzetu wanaweza kufanya hivyo kama wamepewa deal la kunyanganya, kujeruhi au kuchukua kabisa uhai wa mtu.Hawa wajukuu wa madiba ni washenzi sana
Pole mkuuNilikuwa katika highway, na vituo au kituo cha polisi kipo ndani ya area (kwa ndani ndani) kama KM kadhaa kutoka barabarani kubwa.
Shukran sana mkuuPole mkuu
Yah ni kweli mkuu.Tunakoelekea,
Wote tutarudi home Tanzania.
Nchi yetu ndo makimbilio ya mataifa.
Nenda church ukatoe sadaka ya shukrani.
Amen
Poleni kwa matatiz mkuuWala haujakosea mkuu. Maisha tunayoishi hapa ni ya vita, ndomana tukisikia eti kijana wa miaka 19 anaeitwa Ali Dangote kafunga mtaa na kuanza kuingia nyumba moja moja kuchinja watu huku anaangaliwa huwa tunacheka sana.
"The most dangerous enemy in your life is your closer friends, be careful of whom you chose to be your friend."Yah.. watu wakikujua ni rahisi sana kukuchorea ramani. Mfano mtu anajua huyu jamaa anafanya biashara ambayo kwa siku anaingiza kiasi kikubwa cha fedha. Hivyo kama anahitaji hizo fedha na anakufahamu vizuri, basi itakuwa rahisi yeye kukuchorea ramani ya kukuibia.
1. Kwanza huenda anakuwa ashajua wewe haumiliki silaha au unayo lkn huwa unakuwa nayo muda gani.
2. Anakuwa ashajua kwamba wewe ukitoka katika biashara zako, au nyumbani kwako hupitia njia gani na wapi akienda kutinga au akituma watu wakutinge utapatikana kiurahisi.
3. Pia anajua au wanajua kwamba wewe ukitoka huwa peke yako, au unaongozana na nani kwenda kazini au kurudi nyumbani.
Kifupi ukijulikana sana nchi kama hizi huwa ni shida, kwa sababu ni rahisi sana watu kuchora mfumo mzima wa maisha yako, na hivyo kuyaweka hatarini maisha yako.
Maralia yaani tuache unyamwezi na usukuma wetu tuufuate uarabuu......na adithi zake kufikirika za mabikira 72..Pole sana. Kama wewe muislam basi zidisha swala na omba dua na toa swadaka. Kama sio muislam basi haraka uingie ktk uislam ili ukifa ufe ukiwa muislam ili ukaishi maisha mazuri
Sweden waarabu na wasomali na waafrika na raia wa nchi za ulaya,wasio wazungu wameshaharibu mambo...Hata huko mbona watu wanauwana tena kwa bunduki mkuu, au wewe huwa haufatilii taarifa za mauaji ya USA.
Sehemu salama kuishi ni Nordic countries kama Norway, Sweden na Denmark japo kifo kikikuhitaji kutakufuata mpaka huko kukumaliza.
Asante 🙏🙏🙏Poleni kwa matatiz mkuu
These words are true my friend 💯"The most dangerous enemy in your life is your closer friends, be careful of whom you chose to be your friend."
Aisee...Maralia yaani tuache unyamwezi na usukuma wetu tuufuate uarabuu......na adithi zake kufikirika za mabikira 72..
Ebu kua seriously na sisi wabantu
Nimeshapoa mkuu, ubarikiwe sana kwa ushaur mzuri ulionipa 🙏Duhhh kama move Anya way poleni sana Ila tahadhari ni nzuri
😂😂Hawa wajukuu wa madiba ni washenzi sana
Haha highway za SA ukikosea outlet tu mpaka upate nyingine ni KM za kutosha..mbali na yote lakini 🙌🏻mkaburu alijenga bwanaNilikuwa katika highway, na vituo au kituo cha polisi kipo ndani ya area (kwa ndani ndani) kama KM kadhaa kutoka barabarani kubwa.
Yani SA ni copy ya USA kwa kila kitu, kuanzia style ya maisha, utawala wa kimajimbo na kila jimbo lina fursa zake na linajitegemea, miundombinu bora, uvaaji wa askari na kila askari ana silaha kiunoni na pia wana magari ya kisasa kwa ajili ya kupakia wahalifu, maendelea makubwa, na mambo mengine mengi yanayoendana na nchi za dunia ya kwanza.Haha highway za SA ukikosea outlet tu mpaka upate nyingine ni KM za kutosha..mbali na yote lakini 🙌🏻mkaburu alijenga bwana