Jinsi Premature Ejaculation inavyonitesa

Huna tatizo
Pata mafunzo ya jando na unyago pia hudhuria semina za ndoa....itakusaidia kujua namna njema ya kumuandaa mwanamke,namna ya kumshika,kumtekenya,kumfinya na kumpapasa.
 
KUna kipindi hata mimi niliwahi kurudia gemu, demu akachoka, nikaacha bila kumwaga.
 
Huna tatizo
Pata mafunzo ya jando na unyago pia hudhuria semina za ndoa....itakusaidia kujua namna njema ya kumuandaa mwanamke,namna ya kumshika,kumtekenya,kumfinya na kumpapasa.
NAdhani hii inaweza kuwa kweli, nakili kwenye kumuandaa mwanamke mimi ni mvivu, naweza kumuandaa dk mbili, tayari nishachomeka.

Hayo mafunzo nahudhuria wapi.
 
Haraka ya nini mwanamke akishakupa nafasi ya kuwa nae kitandani usiwe na haraka cheza na mwili wake usiogope mshike kila mahala hakikisha kalegea haswa kingine jifunze kujizuia piga tako 5 chomoa mchezee dakika 2 chomeka piga 5 tena chomoa ivo ivo Kama anashanga unatumia shanga zake pia na akili yako isiwaze sana hapo chukulia kitu Cha kawaida inapendeza kufanya michezo iyo ukiwa kimkojo kidogo kimekubana ikikubali unaweza unga ata bao 4
 
Sasa sii bora wee unafika ata dakika mbili.
Mie sekunde 20 chaliii and on top of that nina kibamia.
Wee jikubali kama mie muhimu wewe umekojowa mwanamke yeye akatafute wakumkojoza
 
Hii nadharia ya akili yako isiwaze sana hapo ni uwongo mzeya.
Sasa pisi kali ipo mbele yako, tako tako, titi titi kweli kweli akili inahamaje kwemda kwengine?
 
Hiyo ndo nzuri KAZI ya kuwaridhisha wanawake ni masikini

Sasa ivi jikite kwenye kutafuta Doo sana wakija unapiga unavuta mbele kama ajaridhika atajua yeye
 
Hapo tatizo ni la kisaikolojia, peer pressure na ukosefu wa elimu ya masuala ya ngono.

Kwa mtu wa kawaida ambaye yupo sawa anapaswa kumwaga kati ya dakika tatu hadi saba kwa round ya kwanza.

Baada ya hapo ni LAZIMA uingie kwenye refractory period; ambayo huchukua si chini ya dakika 15. Round ya pili inapaswa uende dakika 20 hadi 30, ya tatu 45 hadi 60, n.k.

Ni muhimu uzingatie foreplay. Achana na habari za kuunganisha sijui saa nzima unapiga haujamwaga... Hayo ni kwa wanaotumia viagra, na madawa mengine ambayo yana madhara makubwa kiafya baadaye.

Unaweza kupiga kimoja kwa ustadi na wote mkainjoi. Unaweza kukomaa kifuani kwa mwanamke saa nzima na msi-enjoy, ukaishia tu kumuumiza mtoto wa watu.

Sex is an art, be creative, be natural.
 
hata kabla ya nyeto ( miaka minne baada ya kuanza sex)
Nilikuwa ni hivyohivyo.

Nikimaliza naweza kurudia sema inachukua hadi dkk10 mpaka nusu saa.
Kurudia narudia hata mara nne.
Kama kurudia unaweza ndani ya muda uliotajja basi sio shida kubwa kihivyo unavyojistress labda kama unadanganya maana kuna wale tako tatu wazungu haoo alafu kurudia ni kesho kutwa yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…