Jinsi Premature Ejaculation inavyonitesa

Sawa mkuu ila kama anapiga nyeto aache inachangia pakubwa tatizo kuendelea.
 
ili linaweza kuwa tatizo la kiafya kama lilianza kabla hata ya kunyetuka;

na pia mwanamke anaweza akawa mzuri ila asikuvutie kingono hana hamasa ya kukufanya damu iende kasi.

na mda mwingine maybe unakuwa unapania sana game mpaka akili inatoka mchezoni na inakuwa hofu.

kwenye game jitahidi wewe ndiyo uwe controller with confidence, na amini kwamba swala la kukojoa maamuzi unayo wewe
 
Dah!!! Kwahiyo uko wapi.....
 
Kwenye kupania gemu kuna ukweli pia.
 
Sasa sii bora wee unafika ata dakika mbili.
Mie sekunde 20 chaliii and on top of that nina kibamia.
Wee jikubali kama mie muhimu wewe umekojowa mwanamke yeye akatafute wakumkojoza
We jamaa hauko serious,
Hakuna feeling mbaya kwa mwanaume kwenye sex, kama kujua mpenzi wako hajrizika.
Yaani, unajua kabisa hapa nimezingua, unatamani ujitetee, unakosa utetezi. Yaani acha tuu.
 
Kama kurudia unaweza ndani ya muda uliotajja basi sio shida kubwa kihivyo unavyojistress labda kama unadanganya maana kuna wale tako tatu wazungu haoo alafu kurudia ni kesho kutwa yake.
Mimi kurudia narudia. Mfano nikilala na demu usiku mzima naweza rudia mara mbili, na asbh nikapiga ya nne.
Tatizo ni kuwahi tuu, chini ya dkk 5.
 
Kanunue ujana utumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…