Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sawa mkuu ila kama anapiga nyeto aache inachangia pakubwa tatizo kuendelea.Ashakwambia tatizo limemuanza kabla hata hajaanza kunyetuka!!
Jf kila mwenye tatizo kunako 6×6 ataambiwa acha nyeto..
Inaonekana ni ushauri mliokaliki kwenye kila posts za namna hii.
Kuna nyeto za aina nyingi, na nyingi hazilwgezi mishipa ya uume, hii acha nyeto mara nyingi sio msaada kabisa.
Sio kweli ndgu.Sawa mkuu ila kama anapiga nyeto aache inachangia pakubwa tatizo kuendelea.
watu hawawezi kuelewa hii, ila nyeto sio nzuri piaSio kweli ndgu.
Nyeto inaathiri baadhi ya watu na sio wote, huyo ni hana hana tu, akijitibia na akawa vizuri hata hiyo nyeto atapunguza tu kuipiga bila kushauriwa.
Ni nzuriwatu hawawezi kuelewa hii, ila nyeto sio nzuri pia
Dah!!! Kwahiyo uko wapi.....Habari Wakuu,
Nimeamua kushusha uzi huu hapa baada ya hiki kilichotekea leo.
Kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja mzuri tuu.
Katika kipindi hicho, tumeshakutana kimwili mara tatu, na mara zote hizo sijafanikiwa kuzidi dkk 3.
TAtizo hili limeanza toka siku ya kwanza nilipoanza kusex.
Nilienda nalo.
Baadae sana nikaanza kukwea mnazi.
Nikaendelea nalo. Hadi leo hii.
Nimeamua kuandika haya ili kutoa ya moyoni , maana hii hali inauma sana.
Yaani uko na demu mzuri kitandani, then unapiga chini ya dk 2.
Demu unamuona kabisa hajapenda, unatka kujitetea unashidwa, unabaki kuwa mnyonge tuu.
KUna demu pia alishawahi kuniacha kisa tatizo hili, huyu alinichana kabisa, kwamba hawezi kuendelea na mimi sababu simridhishi, zaidi tuu namuumiza kihisia. Iliniuma ila nitafanyeje sasa.
Hata huyu wa sasa nawaza ni bora nimuache tuu aendelee na maisha yake.
Mimi pingine nijitkite kutafuta tiba.
au kama vipi niachane tuu na swala la mpenzi, sitooa, niwe hata mlevi tu.
Maana kwakweli inauma sana.
Nyongeza.
Umri wangu ni karibu 30
Si mlevi mwili wangu ni mwembamba (kg 57,-59)
Najitahidi kupiga pushups mara kwa mara.
Nakula matunda na mboga za majani mara kwa mara.
kwanni mkuu?Ni nzuri
Kwenye kupania gemu kuna ukweli pia.ili linaweza kuwa tatizo la kiafya kama lilianza kabla hata ya kunyetuka;
na pia mwanamke anaweza akawa mzuri ila asikuvutie kingono hana hamasa ya kukufanya damu iende kasi.
na mda mwingine maybe unakuwa unapania sana game mpaka akili inatoka mchezoni na inakuwa hofu.
kwenye game jitahidi wewe ndiyo uwe controller with confidence, na amini kwamba swala la kukojoa maamuzi unayo wewe
Unatapa utamu bila gharama na kuepuka vizinga na mahonjwa.kwanni mkuu?
We jamaa hauko serious,Sasa sii bora wee unafika ata dakika mbili.
Mie sekunde 20 chaliii and on top of that nina kibamia.
Wee jikubali kama mie muhimu wewe umekojowa mwanamke yeye akatafute wakumkojoza
Nikupigie kwanza.....Unataka unisaidie.
Mimi kurudia narudia. Mfano nikilala na demu usiku mzima naweza rudia mara mbili, na asbh nikapiga ya nne.Kama kurudia unaweza ndani ya muda uliotajja basi sio shida kubwa kihivyo unavyojistress labda kama unadanganya maana kuna wale tako tatu wazungu haoo alafu kurudia ni kesho kutwa yake.
Kanunue ujana utumieHabari Wakuu,
Nimeamua kushusha uzi huu hapa baada ya hiki kilichotekea leo.
Kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja mzuri tuu.
Katika kipindi hicho, tumeshakutana kimwili mara tatu, na mara zote hizo sijafanikiwa kuzidi dkk 3.
TAtizo hili limeanza toka siku ya kwanza nilipoanza kusex.
Nilienda nalo.
Baadae sana nikaanza kukwea mnazi.
Nikaendelea nalo. Hadi leo hii.
Nimeamua kuandika haya ili kutoa ya moyoni , maana hii hali inauma sana.
Yaani uko na demu mzuri kitandani, then unapiga chini ya dk 2.
Demu unamuona kabisa hajapenda, unatka kujitetea unashidwa, unabaki kuwa mnyonge tuu.
KUna demu pia alishawahi kuniacha kisa tatizo hili, huyu alinichana kabisa, kwamba hawezi kuendelea na mimi sababu simridhishi, zaidi tuu namuumiza kihisia. Iliniuma ila nitafanyeje sasa.
Hata huyu wa sasa nawaza ni bora nimuache tuu aendelee na maisha yake.
Mimi pingine nijitkite kutafuta tiba.
au kama vipi niachane tuu na swala la mpenzi, sitooa, niwe hata mlevi tu.
Maana kwakweli inauma sana.
Nyongeza.
Umri wangu ni karibu 30
Si mlevi mwili wangu ni mwembamba (kg 57,-59)
Najitahidi kupiga pushups mara kwa mara.
Nakula matunda na mboga za majani mara kwa mara.