😂😂😂inawezekana upo sahihi mkuu..ila wanawake sio gharama maybe utake weweUnatapa utamu bila gharama na kuepuka vizinga na mahonjwa.
Na kama hujanjunja muda mrefu basi unaistua mashine ikumbuke kazi yake ya kutema risasi
Tatizo lako ni dogo kula sana matundw hasa maparachichi na fanya sana mazoezi hasa ya kergel,utanishukuru.KUna kipindi hata mimi niliwahi kurudia gemu, demu akachoka, nikaacha bila kumwaga.
Huna tatizo ndugu, kinachokutesa ni hiko chakufukiria kuwa una tatizo.Habari Wakuu,
Nimeamua kushusha uzi huu hapa baada ya hiki kilichotekea leo.
Kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja mzuri tuu.
Katika kipindi hicho, tumeshakutana kimwili mara tatu, na mara zote hizo sijafanikiwa kuzidi dkk 3.
TAtizo hili limeanza toka siku ya kwanza nilipoanza kusex.
Nilienda nalo.
Baadae sana nikaanza kukwea mnazi.
Nikaendelea nalo. Hadi leo hii.
Nimeamua kuandika haya ili kutoa ya moyoni , maana hii hali inauma sana.
Yaani uko na demu mzuri kitandani, then unapiga chini ya dk 2.
Demu unamuona kabisa hajapenda, unatka kujitetea unashidwa, unabaki kuwa mnyonge tuu.
KUna demu pia alishawahi kuniacha kisa tatizo hili, huyu alinichana kabisa, kwamba hawezi kuendelea na mimi sababu simridhishi, zaidi tuu namuumiza kihisia. Iliniuma ila nitafanyeje sasa.
Hata huyu wa sasa nawaza ni bora nimuache tuu aendelee na maisha yake.
Mimi pingine nijitkite kutafuta tiba.
au kama vipi niachane tuu na swala la mpenzi, sitooa, niwe hata mlevi tu.
Maana kwakweli inauma sana.
Nyongeza.
Umri wangu ni karibu 30
Si mlevi mwili wangu ni mwembamba (kg 57,-59)
Najitahidi kupiga pushups mara kwa mara.
Nakula matunda na mboga za majani mara kwa mara.
Jamaa acheki na demu mwingine. Ulichosema kipo kweli kwa asilimia 100. Kuna wanawake ukiwa nao unaweza twanga hata nusu saa hushushi ila kuna ambao unakuta tu hata hzo 7mnt hufiki ushashusha japo la 2Ila hili suala la kurudia game nadhani inategemea na nyie wawili hapo, mfano mm kuna mtu niko nae sa h game la kwanza ntamaliza vzr ila game la pili siwezi kumwaga bali ntachoka na kuacha game mpaka badae sana.
Ila kuna wengine naweza kwenda nao ht game tano.
Wengine watamwambia atafute hela...Kuna wapuuzi watakuja kukwambia unywe maji.
ukiona hivo chomoa na usibane makalio yako wakati wa kupump(kumshughulilia mwenza), pia sukuma taratibu maana speed ikiwa kubwa utamwaga haraka.NAdhani hii inaweza kuwa kweli, nakili kwenye kumuandaa mwanamke mimi ni mvivu, naweza kumuandaa dk mbili, tayari nishachomeka.
Hayo mafunzo nahudhuria wapi.
Mkuu sildenafil haina uhusiano na premature ejaculationYAani imefikia natamni nitumie hata sildenafil(ila naogopa nisije pata heart complication) ili nirudishe heshima kwa huyu demu, maana kanidharau sana.
Hii kitu ndio ilinitokea hivi majuzi, demu aliniambia niongeze speed, nilivyoongeza tuu tako 5 nyingi., whites hawa hapa.ukiona hivo chomoa na usibane makalio yako wakati wa kupump(kumshughulilia mwenza), pia sukuma taratibu maana speed ikiwa kubwa utamwaga haraka.
Dawa ya kutibu nguvu za kurudia kiume,kushindwa kurudia tendo,kuwahi kumwaga,ola hakikisha unapata original maana wahuni wengi, angalia star TV kipindi cha dira ya dunia hujitangaza hapoUjana ndio kitu gan?
Mkuu, shida yangu namwaga kabla mwenzangu hajafika.Kwani wewe kwa akili yako unadhani muda wa kawaida wa mwanaume kusex ni dakika ngapi?
Hebu fanya utafiti wa hilo kwanza, achana na stori za vijiweni za kukaa juu ya kiuno saa nzima!
Unatakiwa umsukutue dk 30 goli la kwanzaKwani wewe kwa akili yako unadhani muda wa kawaida wa mwanaume kusex ni dakika ngapi?
Hebu fanya utafiti wa hilo kwanza, achana na stori za vijiweni za kukaa juu ya kiuno saa nzima!
Speed unaongeza muda wa kushusha ukiona hivyo mwandae kwanza then choloa mleate ya kutoshwa nyonya lemtindz na kitovu chapa mataqo yake kidgo afu mpe mjegejo sasa tena aikalie yeyeHii kitu ndio ilinitokea hivi majuzi, demu aliniambia niongeze speed, nilivyoongeza tuu tako 5 nyingi., whites hawa hapa.
Shida yako ni ya kisaikolojia unaogopa madem wakat wa tendo unakuwa na hofu ndomana unawahi kukitupaHabari Wakuu,
Nimeamua kushusha uzi huu hapa baada ya hiki kilichotekea leo.
Kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja mzuri tuu.
Katika kipindi hicho, tumeshakutana kimwili mara tatu, na mara zote hizo sijafanikiwa kuzidi dkk 3.
TAtizo hili limeanza toka siku ya kwanza nilipoanza kusex.
Nilienda nalo.
Baadae sana nikaanza kukwea mnazi.
Nikaendelea nalo. Hadi leo hii.
Nimeamua kuandika haya ili kutoa ya moyoni , maana hii hali inauma sana.
Yaani uko na demu mzuri kitandani, then unapiga chini ya dk 2.
Demu unamuona kabisa hajapenda, unatka kujitetea unashidwa, unabaki kuwa mnyonge tuu.
KUna demu pia alishawahi kuniacha kisa tatizo hili, huyu alinichana kabisa, kwamba hawezi kuendelea na mimi sababu simridhishi, zaidi tuu namuumiza kihisia. Iliniuma ila nitafanyeje sasa.
Hata huyu wa sasa nawaza ni bora nimuache tuu aendelee na maisha yake.
Mimi pingine nijitkite kutafuta tiba.
au kama vipi niachane tuu na swala la mpenzi, sitooa, niwe hata mlevi tu.
Maana kwakweli inauma sana.
Nyongeza.
Umri wangu ni karibu 30
Si mlevi mwili wangu ni mwembamba (kg 57,-59)
Najitahidi kupiga pushups mara kwa mara.
Nakula matunda na mboga za majani mara kwa mara.
Mi kumuandaa tu wazungu haoSpeed unaongeza muda wa kushusha ukiona hivyo mwandae kwanza then choloa mleate ya kutoshwa nyonya lemtindz na kitovu chapa mataqo yake kidgo afu mpe mjegejo sasa tena aikalie yeye