Hivi mtu mwenye Dm, anakuwa na PE au ED? Au vyote.Pole sana! Hilo ni suala la mfumo wa mwili.Kuna mahali haipo sawa ila hujawahi gundua.Hiyo kukojoa mapema ni reflection ya shida uliyonayi mahali fulani kwenye mfumo wako wa mwili na mara nyingi ni suala la mzungunguko sahihi wa damu.Unaweza kuta hata mishipa ya damu imesinyaa kupita kiasi kitu ambacho kinathiri mzunguko,lakini pia kwenye misuli ya uume kuna udhaifu.
Pamoja na changamoto hiyo usijaribu hata kidogo kutumia booster maana utazidi kujiua zaidi na kuwa tegemezi.Hayo mavumbi ya kongo na viagra yatakuharibu zaidi na utakuja kufeli kila kitu baada ya matumizi kwa muda fulani.Tiba nzuri ni ile inayoweza kutibu hanzo cha tatizo na nguvu za kuperform zikarejea automaticaly.
Kama utahitaji ushauri zaidi au tiba unaweza kuuliza.
Duuh aisee means chin ya dakika 1 hiyoMi kumuandaa tu wazungu hao
Ondoa kwanza hayo mawazo ya kutojiamini..... Amini uwezo wako. Tiba nyingine zifate kama ni aina ya chakula na mazoezi wataalamu watakuambia.Nipe ushauri shangazi, usipige
Una mpa ya kujaribia..?Ondoa kwanza hayo mawazo ya kutojiamini..... Amini uwezo wako. Tiba nyingine zifate kama ni aina ya chakula na mazoezi wataalamu watakuambia.
Ukiwa fiti kuna papuchi ya majaribio mahali, ndo maana nlitaka kukupigia kwanza.
Ipo mahaliUna mpa ya kujaribia..?
Asante sana,Ondoa kwanza hayo mawazo ya kutojiamini..... Amini uwezo wako. Tiba nyingine zifate kama ni aina ya chakula na mazoezi wataalamu watakuambia.
Ukiwa fiti kuna papuchi ya majaribio mahali, ndo maana nlitaka kukupigia kwanza.
utofauti ni dk?Kutumia condom na kavu utofauti ni kidogo.