Jinsi Premature Ejaculation inavyonitesa

Jinsi Premature Ejaculation inavyonitesa

Pole sana kwa hilo tatizo Mkuu

Nashauri kama mnaweza, hakikisha hilo goli la kwanza linatoka wakati wa foreplay i.e wakati binti anakuimbia mistari na maiki

Baada ya hapo, akufute kisha mnaanza tena maandalizi.

Mkifanya this time, lazima uchelewe kufika. Unaweza kusogea japo dakika 7 hadi 15
 
Sorry bro najua jinsi unavyojickia vby mbele ya manzi ako,,,, unaonekana huna shida kubwa, tatzo ni saikolojia yako tu ilivyokaa,,, Nakushauri jiamini, jifunze fore play vizuri, badili madem ili upate kujiamini , ikiwezekana kanunue malaya,,, lengo ni kutengeneza kujiamini kwanza,,,mazoez pia usisahau
 
Pole sana! Hilo ni suala la mfumo wa mwili.Kuna mahali haipo sawa ila hujawahi gundua.Hiyo kukojoa mapema ni reflection ya shida uliyonayi mahali fulani kwenye mfumo wako wa mwili na mara nyingi ni suala la mzungunguko sahihi wa damu.Unaweza kuta hata mishipa ya damu imesinyaa kupita kiasi kitu ambacho kinathiri mzunguko,lakini pia kwenye misuli ya uume kuna udhaifu.
Pamoja na changamoto hiyo usijaribu hata kidogo kutumia booster maana utazidi kujiua zaidi na kuwa tegemezi.Hayo mavumbi ya kongo na viagra yatakuharibu zaidi na utakuja kufeli kila kitu baada ya matumizi kwa muda fulani.Tiba nzuri ni ile inayoweza kutibu hanzo cha tatizo na nguvu za kuperform zikarejea automaticaly.
Kama utahitaji ushauri zaidi au tiba unaweza kuuliza.
Hivi mtu mwenye Dm, anakuwa na PE au ED? Au vyote.
 
Back
Top Bottom