Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

Wewe ni muoga tu wa kifo. Sijaona hoja yako.
 
Maziwa na asali ni kwamba kuna mito ya maziwa na asali🤣🤣🤣🤣🤣🤣 AISEE.
 
Kutokujua yanayoendelea mkuu.. hapa watu hawajui kuwa sasa hivi kuna binadamu wanajaribu kupasua mwamba mkubwa huko anga za mbali kama majaribio ikitokea kuna mwamba ukaielekea dunia basi yasitokee yaliyowahi kutokea. HAWAJUI YAFANYIKAYO.
waafrika tulio wengi hata hatujui Dunia inaendeshwaje watu wapo field wanapiga kazi,watu tupo busy japo angalau tuwahabarishe ndugu zetu huku Afrika wajue Nini kinaendelea ila utakuta jitu Zima Tena jingine somi na liprofessor la Mwaka 70 Huko linakuja na ubishi wa kijinga hapa,Dunia inabadilika Kwa Kasi sana wao wakinywa Bia na kitimoto na kufuatilia Simba na Yanga + Siasa za kina
Lipumba & co waona ndio maishaaa kuja shtuka kumbe mchina katoa infinix nyingine Ngoja nikanunue niendelee kufuatilia ubuyu!
Shame!shame!shame!
 
Giza.. tupo nyuma sana.
Ikitokea mmarekani au mwingereza kwa kutumia tecknolojia akaja kama YESU alivyoandikwa kwenye biblia kuna watu watamwabudu.
 
Huo ni mpango wa yule Lucifer ambapo hatafanikiwa na hata hivyo itoshe kusema kuwa anang'ang'ana kuzidi kuwapatia wafuasi wake maarifa ya juu kiakili lakini ndiyo kwaaanza wameshafikia 50% tu ya matumizi ya ubongo wa Binadamu alioumbiwa na Mungu.

Sasa ikiwa dunia imeshachukua takribani zaidi ya miaka billions ndipo hao freemasons wamefanikiwa kutumia 50% tu ya ubongo kiakili kwa usahihi wake, kwanini usichague fungu jema pekee la kumuabudu na kumtumikia Mungu muumba mbingu na nchi, muumba viumbe hai/visivyo hai, na viumbe vinavyoonekana/ visivyoonekana?

Au hujui Mungu ni zaidi ya yote katika yote na juu ya yote duniani na hata mbinguni?
 
Wewe ndo uko brainwashed Sasa. Hizo movie, we know only 5% kuhusu Universe ndomana wanakuambia part kubwa ni Dark Matter sababu hawajui kitu, kwenye bahari tunajua 1% tu, sisi ni wa hapa hapa hizo kelele tu.
 
Watu wengi kama mleta uzi huwa wanajiua. Na hiyo ni kwasababu ya kuamini mambo kama hayo na kujiona hawana thamani maishani, wakiamini dunia si sehemu salama kabisa.

Haya madude huwa nayasoma kujifurahisha tu, mengi ni uongo tu. Kuyaamini ni kujipa stress na kuona haupo salama kabisa ilhali usalama unao.
 
😂😂😂😂
 
Wewe ndo uko brainwashed Sasa. Hizo movie, we know only 5% kuhusu Universe ndomana wanakuambia part kubwa ni Dark Matter sababu hawajui kitu, kwenye bahari tunajua 1% tu, sisi ni wa hapa hapa hizo kelele tu.
hahahahaha yaani hiyo takwimu ya kuhusu bahari wamekupa wao na wewe ukaamini,kiufupi hawawezi kuweka wazi Kila kitu ukijue
Wamekupumbaza Kwa hiyo 1%
Wakati wao washaichunguza Kwa 50%
Wewe umekomaa na Moja wao wanapiga tukio ukija stuka umechelewa Hii Dunia haipo Kama unavyoaminishwa wewe Aisee Kila kitu kina behind the scene!
Elewa hivyo vitu unavyoviona katika uhalisia Ni asilimia chache ya vile vingi vinavyoendeshwa katika dark power!
 
acha porojo bwana mkubwa hiyo mbingu umewahi fika na huyo Mungu wenu mmewahi muona zaidi ya hekaya za wayahudi,Waarabu na wagiriki wa kale?
 
We are not the intelligent generation, angalia pyramids ndo ujue sisi ni bado Sana, we are not the happiest either, Kuna generation bora Sana zimepita kwenye uso huu wa Dunia na hawajaenda popote, we are just the comfortable generation na hapo ndo tutaishia. They have money to spend waache wapambane.
 
Nakumbuka zamani wakubwa waliniambia... Ukiona MTU kashika sigara mbele kubwa afu nyuma nyembamba... Kimbia... Kwa sababu inachukua miaka sabaa (7) kuondoka kwenye kichwa ya MTU.. Na hiyo ni pafu moja,
 
Hiyo ni kamba mkuu
Hii ni kamba Kwa watu wajinga wasiopenda kushuhurisha bongo zao timamu wapate maarifa mapya,
Hebu subiri project ya
Artificial intelligence (AI)
Ya Elon musk
Ikamilike vizuri halafu uone maajabu yake jinsi Gani unafanya kazi,wewe umekalia ubishi hapa
Wakati watu wanaenda kuunganisha mfumo wa ubongo na computer mtu ukiwa na gari lako la kisasa unaweza kuliwasha Kwa kutoa rock na password Kwa kufikiria tu gari inawaka yenyewe Kwa kusensor kama Bluetooth vile,Hii Dunia wanaume wapo kazini acha sisi tuendelee kubishana hapa nyuma ya keyboard!
😁😁
 
Kwann? Mbona watu wanakaa hewani uko pasipo na oxygen miezi na miezi? Na curiosity ipo kule inapiga picha ina maana kunafikika.
Kufika na kuishi ni vitu viwili tofauti, unafika sawa lakini baada ya kufika wanaishiji hao watu katika mazingira gani kukabiliana na hali ya huko. Je mazingira hayo yatawezesha kundi kubwa la watu kuishi kwa muda mrefu? Au wanafika wakiwa na vifaa maalumu na wezeshi kwa mazingira hayo in a limited period of time.
 
Space station unajua wanakaa muda gani huko ndo wanashuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…