ngoja waje wazee wa vifungu vya biblia na quran kuja kukukemea.
ukwel ni kwamba hii dunia ilipo hapa haijafika kwa bahat mbaya, kila ukionacho ujuwe kuwa kimekuja/tokea kwa makusudi na sio bahat mbaya.
kumekuwapo machafuko mengi dunian mpaka sas yapo machafuko yazauilikayo na yapo yasiyozuilika, na si kwel kwamba hayazuilik, ila kuna mission za watu kupitia machafuko hayo ili dunia ifikie yale malengo wanayotaka.
ni juzi tu kulkuwa na mkutano wa Umoja wa mataifa kujadili mabadiriko ya tabia nchi, na kwel ukiangalia kabla na baada ya mkutano huo kumekuwa na mabadiriko ya kutisha dunian, ikiwepo joto kali kuongezeka, mvua kupungua, haya yote hayatokei kwa bahati mbaya.
matetemeko na mafuriko/tsunami hazitokei kwa bahat mbaya, bali kuna makusudi ya watu wachache kurun dunia vile watakavyo kwa kuibua majanga/matatizo ili kupitisha agenda zao na mission zao.
magonjwa makubwa yasiyotibika na yanayotibika yanayoibuka, si bahat mbaya, bal kuna mikono ya watu ili kutimiza ajenda zao.
vita ya1&2 zote hazikutokea kibahat mbaya, na bado kuna nyingne kubwa tukae mkao wa kula kuipokea vita ya3 ya dunia ambayo itafyeka wengi zaid ya wale waliofyekwa na 1&2 world wars, na hii inaweza ihusishe siraha kubwa na zakutisha ili kuleta ufanisi mkubwa wa kuuwa&kuharibu sehem zilizotergetiwa.
pia vita hiyo inaweza isihusishe siraha hizo za moto, bali ikahusisha biological weapons au majanga ya dunia,
siraha hizo za kibaolojia znaweza kuwa kama magonjwa yaambukizwayo kwa njia nyepesi na kuuwa watu wengi bila kuwa na tiba,
pia siraha zingine ni kusababisha majanga ya dunia sehem iliyotargetiwa, mfano vimbunga, mafuriko, joto kali, tsunami, na matetemeko,
haya yote ni aina za siraha za maangamizo ambazo hufanya attacting bila kumjua msababishaji ni nani,
mfano kwa majanga ya milipuko ya magonjwa/matetemeko watu hasa wajinga wanabaki kumsingizia Mungu wao kuwa anatoa adhabu dunian sabbu ya dhambi, na wengine hawa wasomi uchwara watabaki kusingizia mabadiriko ya tabia nchi, kumbe nyuma ya pazia kuna wasababishaji wanapiga ambush ya bila wao kujulkana, na mpka watajulkana itakuwa agenda zao zmetimia.
dunia imebadrika sana, kizaz hiki si kile cha kupigana na kutishana kwa masiraha ya kutisha tokea kwa adui yako, bali ni kizaz cha usiri ambacho mjanja anafanya mission zake kisiri na kupata matokeo makubwa ambayo yanaangamiza iyo target yake, bila ya watu kumjua muhusika.
wengi hupenda kubisha kuwa, kama hao watu wananguv why wasitupige mara moja tufe? jibu ni tupo ktk nyakat ambazo kuna jamii mbili zote zenye nguvu, yaan jamii ya haki ambayo inajumuisha makundi ya utetezi wa haki za binadamu, ndiomaana hata utumwa wa afrika ulikemewa na hao hao walioleta utumwa, sababu haki za binadamu hazibagui znataka usawa wa usarama kwa jamii zote.
hivyo bas hata ile pande ya pili ambayo inawajumuisha waharibifu, ni ngumu kufanya uharibifu hadharani.
matatizo yote hayo yanafanyika ili kuandaa dunia mpya, yenye jamii mpya ya watu waliostaharabika kwa mujibu wao, pia jamii ya watu wachache watakao balance ulaji wa rasilimali za dunia bila magomvi,
target kuu ni kuondoa weak race include black people, pia kupunguza population ya watu, ili lengo la wachache watakaotawala , dunia na rasilimali,
mbinu hizi hazijaanza leo wala jana, zmekuwa zkifanyika kisiri na kutimilika kwa ukamilifu, sabbu ya watu wengi kugoma kupokea maarifa ya kupambana na uo ushenz wao ndiomaana wanafanikiwa.
dunia si sehem sarama na hapo uishipo haijarish unalindwa kinamna gani, lkn ujuwe kuwa hatuko sarama, hii dunia ina wenyew na tuendako ni kubaya kulko tuliko toka....subirini ujio wa.........naishia hapa
View attachment 2006377