Jinsi Putin alivyoibadilisha Urusi kuwa na nguvu ya kibabe ulimwenguni

Lkn sijawahi sikia kuwa wanakopa Sana WB
 
Hiyo ni moja ya dalili kwamba huyo uliemjibu hajui hata makala inazungumzia Nini,pia haijui siasa za kimataifa lakini kubwa zaidi amechangia kwa kuiga michango ya baadhi ya wachangiani humu.
Kwa kifupi sana hajui lolote.
[emoji23][emoji23]
 
Leo hii nchi kama china ana nguvu kwa sababu ana influence kubwa sana kiuchumi nchi nyingi zinamtegemea azalishe bidhaaa wakanunue kwake

Marekani technologia ndo inayombeba, Sasa Putin anataka influence kupitia mtutu wa bunduki he has nothing to offer in economy point of view, ndo maana nchi kama Ukraine wanaona wawe upande wa ulaya kuliko urussi
 
Hujajibu swali ulilo ulizwa
Sijajibuje ananunua kwa local manufactures ambapo serekali Ina share na anawekeza kwenye research and development kote huku ni ela inatumika au unadhani zile silaha zinashushwa kutoka mbinu hakunaga cha bure ndugu

Haya ndo baadhi ya makampuni ya urussi
Almaz-Antey – air defense systems
United Aircraft Corporation – fixed-wing airplanes

Tactical Missiles Corporation – air- and naval-based missiles

Russian Helicopters – helicopters
Uralvagonzavod – main battle tanks

United Shipbuilding Corporation- submarines, corvettes, frigates, aircraft carriers.
 
Kuna mbibi fulani wa Ukraine alihojiwa na BBC wakati wanapewa silaha akasema yeye anachukua silaha ila haamini kama kuna mtu anaweza vamia ndugu zake 😝😝
 
Putin awekeze kuinua wananchi wake kiuchumi aachane na mambo ya Kununua silaha za kivita, huwezi amini Canada yenye watu million 30+ imewapita Russia kwa GDP yenye watu million 130+
Warusi wananunua silaha kutoka....
 
Amna mkuu.. Russia ili dicline after collapse of USSR .....

TOFAUTISHA. KATI YA USSR na RUSSIA
Najua tafauti baina ya USSR na Russia lakini usijidanganye kwamba Russia imepungua nguvu zake.

Bado anao mkono wa chuma kwa yale mataifa yote yaliyokuwa chini ya himaya ya USSR na hawafurukuti kwa lo lote lile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…