Jinsi Putin alivyoibadilisha Urusi kuwa na nguvu ya kibabe ulimwenguni

Jinsi Putin alivyoibadilisha Urusi kuwa na nguvu ya kibabe ulimwenguni

barabara nzuri Urusi ziko maeneo ya Magharibi tu: Kuanzia Ufa kurudi hadi Moscow na St Pettersberg. Eneo lote kutokea Ufa hadi vlavodostock ni barabara mbovu sana ispokuwa chache chache za mijini.
Labda wao ni wakorofi hao. Ni karibu na maeneo ya Chechnya? Samahani Geography ya Urusi siyo mzoefu nayo.
 
Angekuwa amejenga taifa lenye nguvu angekuwa haogopi Ukraine kujiunga na EU na NATO. Halafu maisha ya watu ni ya hali ya chini sana; kuna matajiri wachache tu. Alipopota mafuta na gesi, pesa yote akapeleka kwenye jeshi. Nchi haina barabara za maana za kuunganisha miji. Ni sehemu chache tu zilizoko Magharibi maneo ya Moscow na St Petersbug ndiko kuna maisha; ukishafika Ufa kutokea Mosco unakutana na barabara za hovyo sana kuliko hata za Burundi. Kwa mfano angalia hizi Highway za kutoka Ufa kwenda sehemu nyingine ispokuwa kwenda Moscow.

View attachment 2125684

View attachment 2125687
Oh maskiniii waafrika wanaifananisha Russia na Burundi . Russia ni mbabe pia hata katika teknolojia, huko katika space ndo hatari wao wanaongozA.
 
Labda wao ni wakorofi hao. Ni karibu na maeneo ya Chechnya? Samahani Geography ya Urusi siyo mzoefu nayo.
Hapana; Chechnya kuna nafuu kidogo, ingawa hizi pia zipo
1645468430143.png
 
US hainunui silaha kutok urusi. Zamani sana wakati wa utawala wa Reagan kabla na baada ya USSR kuvunjika, kulikuwa na kampuni fulani ya watu waliokuwa na connection kwenye serikali ya Reagan kupitia mgongo wa james baker ilikuwa na contract ya kuwa inanunua silaha kutoka Belarus kisiri na kuzipeleka Nicaragua kusaidia waasi wa Contra. Vile vile CIA ilikuwa inanunua silaha za Urusi na Korea ya kaskazini kwa siri kwa ajili ya kutathmini ubora wake ikiwa ni pamoja na kutafuta mbinu za kuzijam, lakini siyo kwa matumizi ya kijeshi. Wakati huo kituo chao cha kufanyia utafiti wa silaha hizo kilikuwa Ujerumani; siku hizi hawafanyi hivyo tena.
Duuuh .....CIA wako smart sana
 
Mbona marekani imeunganishwa yote; kusini mpaka kasikazini na kutokea magaharibi hadi mashariki. Hizo highway za urusi, ni barabara za vijijini kwenye mashamba ya wakulima wa marekani; siyo hata za serikali ya mtaa.

hii ni Highway A6 kutoka Tanga (urusi) kwenda Chita (urusi). Ndiyo barabara pekee inayounganisha majiji ya Irkutsk na Vladvostock

View attachment 2126202
Bado marekani inaingia Mara mbili kwa Russia
 
Hiyo mifumo ya ulinzi wa anga za Russia zinazosifiwa hazijajaribiwa popote pale duniani, zaidi ni mere business promotion.
Inaonekana iko Bora mkuu.....coz hiyo ndiyo inaifanya Iran kuvimba pale middle east
 
Nchi ni kubwa Sana ile ......Tz inaweza kuingia Mara 300.....so kuwa connected with quality infrastructures itachukua miaka 300
Wewe unajua unachoongea kweli;

Russia- Geographical Area--17,125,192 km2.

Tanzania- Geographical Area--945,087 km2.


Ina maana hapo Tanzania inaingia kwa Russia kama mara 17 hivi, sasa wewe unasema Tanzania inaingia kwa Russia mara 300..!!! Muwe mnakuwa serious mnapoandika humu.
 
Inaonekana iko Bora mkuu.....coz hiyo ndiyo inaifanya Iran kuvimba pale middle east
But what I say is that, the Russian air defence systems are completely untested something that makes their efficacy questionable.
 
Kuna kpindi NASA walikua wanaitegemea Russia kurusha rocket zake
Siyo kweli unapotumia maneno kuwa "walikuwa wanaitegemea Russia kurusha rocket zake." Baada ya NASA kustaafisha space shuttle zake na kuamua kubinafsisha usafiri wa anga za juu, walikuwa wanatumia Soyuz Capsule za urusi kwenda kwenye International space station kutokea Kazakhstan. Baada ya Elon Musk kukamilisha CrewDragon ya SpaceX, NASA wakaanza kuitumia mwaka jana, na vile vile Wanaanga wa urusi pia wameanza kutumia hiyo CrewDragon kwenda huko anga za juu. Ushrikiano baina ya Urusi na marekani kuhusu mambo ya anga za juu siyo kutegemeana. In fact inapokuwa urushaji wa roket, Marekani wana station nyingi sana za kurushia rocket kuliko Urusi. Kwa wakati huu zinazofanya kazi ni 14, wakati urusi wanazo 2 pamoja na hiyo ya Kazakhstan anbayo ndiyo kubwa zaidi ya zote.
 
Putin awekeze kuinua wananchi wake kiuchumi aachane na mambo ya Kununua silaha za kivita, huwezi amini Canada yenye watu million 30+ imewapita Russia kwa GDP yenye watu million 130+
 
Wewe unajua unachoongea kweli;

Russia- Geographical Area--17,125,192 km2.

Tanzania- Geographical Area--945,087 km2.


Ina maana hapo Tanzania inaingia kwa Russia kama mara 17 hivi, sasa wewe unasema Tanzania inaingia kwa Russia mara 300..!!! Muwe mnakuwa serious mnapoandika humu.
Hizo ni hesabu tu mkuu......but in reality Russia ni kubwa
 
But what I say is that, the Russian air defence systems are completely untested something that makes their efficacy questionable.
It's untested because of there quality since it create fear to the enemies......

Mfano ....Saud Arabia walinunua mifumo ya ulinzi wa anga kwa USA ambayo iliaminika kuwa Bora .......lakin.

Drone za waasi wa Yemen .....ziliangamiza vituo vya mafuta .....lkn Iran haijapigwa kutokana na ubora wa hiyo mitambo
 
Siyo kweli unapotumia maneno kuwa "walikuwa wanaitegemea Russia kurusha rocket zake." Baada ya NASA kustaafisha space shuttle zake na kuamua kubinafsisha usafiri wa anga za juu, walikuwa wanatumia Soyuz Capsule za urusi kwenda kwenye International space station kutokea Kazakhstan. Baada ya Elon Musk kukamilisha CrewDragon ya SpaceX, NASA wakaanza kuitumia mwaka jana, na vile vile Wanaanga wa urusi pia wameanza kutumia hiyo CrewDragon kwenda huko anga za juu. Ushrikiano baina ya Urusi na marekani kuhusu mambo ya anga za juu siyo kutegemeana. In fact inapokuwa urushaji wa roket, Marekani wana station nyingi sana za kurushia rocket kuliko Urusi. Kwa wakati huu zinazofanya kazi ni 14, wakati urusi wanazo 2 pamoja na hiyo ya Kazakhstan anbayo ndiyo kubwa zaidi ya zote.
Ohoo kumbe...
 
Back
Top Bottom