Jinsi Rais Samia anavyotoa mamilioni ya sadaka kwa Makanisa

Jinsi Rais Samia anavyotoa mamilioni ya sadaka kwa Makanisa

Tuwekee na Misikitini mkuu maana huko hazitangazwi ni kimya kimya. Anza na ile Range Rover ya Mufti wa Jamhuri ya Arusha
Watu tunapoteza lengo hapa.
Kwani kusudio la hii ni nini. Huko hata asipotoa chochote kwa sasa hivi, ataeleweka, na hatapoteza chochote. Hivi watu hamuoni picha pana inayotengenezwa hapa? Tunawekwa rasmi kwenye makundi. Ni wazi sasa hivi CCM ni mali ya kundi moja.
 
Mkuu, walisema Lowassa alikuwa na uchu wa madaraka lakini huyu mama ni namba nyingine. Naona ni fedha za waarabu hizi. Wanaogopa asije kutolewa 2025 wakati wanataka kuendelea kuchuma.
Sina shaka yoyote na kunako patikana pesa hiyo; na sijui kwa nini watu wawe na mashaka juu yake. Tatizo la huyu ni kuwa hana simile; hana akili ya kufikiri jinsi atakavyo dhaniwa kwa matendo yake haya.
Hili linanishangaza sana juu yake.
 
Sina shaka yoyote na kunako patikana pesa hiyo; na sijui kwa nini watu wawe na mashaka juu yake. Tatizo la huyu ni kuwa hana simile; hana akili ya kufikiri jinsi atakavyo dhaniwa kwa matendo yake haya.
Hili linanishangaza sana juu yake.
Watu wenye info za ndani wanasema kichwa chake siyo smart hata kidogo. Yaani ni kuwa alikuwa amewekwa pale kwenye umakamu kama msindikizaji tu. Na mbaya zaidi watu walimzunguka sasa hivi wengi wana akili kama zake. Yule jamaa mvaa mapete na Abdul na watu wa aina hiyo ndiyo think tank yake.
 
kiasi chote bila kujumlisha "X" ni Shilingi 1,485,000,000.
Hiyo orodha siyo kamili.

Kuna milioni 10 zilitolewa mapema kabisa kwa Askofu Ruaichi wa Dar es Salaam kama zawadi ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwake.

Hela kiasi gani hadi sasa kimetolewa kwa wasanii mbalimbali, kuna anayejuwa?

Usikae mbali na 'kinoti buku' mkuu, kazi ndio kwanza inaanza.
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Umesahau Gari la M 100 kwa Sheikh wa Arusha. Yaani ni rushwa mwanzo mwisho
 
Hizi sadaka hazina baraka wala kibali mbele za macho ya Mungu.. Sadaka/zaka ni tendo la kiimani na la siri sana ndio maana unapotoa hata mkono wako wa kushoto hautakiwi kujua
Pili sadaka ni utayari wa kutoa vile vyote ulivyo navyo na si sifa za kutoa mamilioni ndio maana yule mama mjane aliyetoa shekeli moja tu aliyokuwa nayo alibarikiwa kuliko wote wakiwemo mafarisayo, masadukayo na watoza ushuru
Sadaka yako yaweza kukuletea laana ama baraka kulingana na malengo yako ya utoaji na matendo yako kiroho
Punguzeni jazba, mama hajatoa sadaka katoa msaada. Tàtizo liko wapi?
 
Hiyo ya Arusha Kanisa lilirudishiwa haki yake wala si msaada! Btw Kanisa Katoliki wameupiga mwingi
 
Ha
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Hahaha duh
 
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Mkuu,
1. Umeweka anazotoa makan̈isani pekee, ungeonyesha na za misikitini pia, maana huko anatoa vile vile.
2. Lengo la hizo "sadaka" ni nini hasa?
3. Hizo pesa anazotoa ni zake au za walipa kodi?
 
Back
Top Bottom