Jinsi Rais Samia anavyotoa mamilioni ya sadaka kwa Makanisa

Jinsi Rais Samia anavyotoa mamilioni ya sadaka kwa Makanisa

Acha uongo 500 milioni Jimbo la Arusha ilikuwa dhulma zilizofanywa na watendaji wasio waadilifu ya kupora eneo la kanisa na tukaambiwa tulipe Kwa kulinunua tena
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Rushwa tu hiyo,zaidi ya bilioni moja hapo,kodi zetu zinapanywa sana.
 
Hizi sadaka hazina baraka wala kibali mbele za macho ya Mungu.. Sadaka/zaka ni tendo la kiimani na la siri sana ndio maana unapotoa hata mkono wako wa kushoto hautakiwi kujua
Pili sadaka ni utayari wa kutoa vile vyote ulivyo navyo na si sifa za kutoa mamilioni ndio maana yule mama mjane aliyetoa shekeli moja tu aliyokuwa nayo alibarikiwa kuliko wote wakiwemo mafarisayo, masadukayo na watoza ushuru
Sadaka yako yaweza kukuletea laana ama baraka kulingana na malengo yako ya utoaji na matendo yako kiroho
Mama mjane alibarikiwa kwa kuwa alitoa sehemu ya chote ya alichonacho lakini hawa watoza ushuru walitoa tu ziada.
 
Afadhali zingetumika kujenga barabara ya kipande cha Dar Hadi Chalinze kwa njia mbili walau kama njia 3 alizoanzisha JPM inashindikana.
Barabara hiyo itanufaisha Watu bila kujali dini zao na hata wasio na dini maana binadamu wote wote ni Sawa mbele ya sheria.

Kuliko kupeleka zikapigwe na kamati za ujenzi na Viongozi wa dini kuwa machawa wa kusifu na kuabudu .
 
Barabara kipande cha DSM hadi Chalinze Kwanini hakijengwi kwa njia 3 ?
Huyu Waziri wa ujenzi Mbona kama mzito fulani hivi au ?
Hata kule bungeni sijuwahi kumsikia akiwasilisha hoja kwa kuonesha kuwiwa ?!

Magari kila siku yanakwama masaa 5 na kuendelea mfululizo .
Barabara inayounganisha mikoa na nchi za jirani wapakani zote,
Tangu Uhuru iko single ? 🙆‍♂️🤦‍♀️😭
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Bakwata wao wanapewa mgao wao kupitia CCM kama Jumuia ndani ya CCM, ila Sheikh wa Mkoa wa Arusha ya kwake imepitia kwa RC Makonda
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”

Tuwekee jumla pale chini
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Mama anapanda mbegu, anasubiri mavuno tu basi!

Hawa walio pewa hizi pesa, kweli watapiga kampeni, au ananunua kimya chao; wasiseme chochote juu yake?

Hii pesa ni uwekezaji, ili izae mara dufu na zaidi.
Hawa viongozi wa dini wote kwa hakika wanazo akili za kutosha kuwaelewesha maana ya michango hii waliyo pewa.
Sasa kama kweli mungu wao wanaye mtumikia wao haya ndiyo yanayo mpendeza, sina shaka yoyote na walakini wa mungu huyo.

'Curiously', mkuu 'Quinine', hao wengine kwenye dini nyingine wao wamepewa ngapi? Hatuwezi kusema hapa kwamba matoleo haya yana lengo (ajenda) maalum?

Kiongozi wa nchi, kweli anadiriki kufanya haya bila ya kuhojiwa chochote juu ya hatma ya taifa analo liongoza?
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”

ni rushwa kama zilivyo rushwa nyengine
 
Hivi hizi hela anatoa wapi?
EEEeeeenHEEEee!
Hivi kweli bado unauliza swali la namna hii hapa?
Huoni tuna nunuliwa kama bidhaa, tena enzi hizi, jameni!

Acha atuuze; lakini kati yetu watumwa hapatakosekana watakao kataa; kama ilivyo kataliwa enzi zile za giza.

Mi nilidhani Magufuli ni shetani katika kiwili wili cha binaadam, lakini huyu mwanamke,; hata sijui nimwelezee vipi?
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Tuwekee na Misikitini mkuu maana huko hazitangazwi ni kimya kimya. Anza na ile Range Rover ya Mufti wa Jamhuri ya Arusha
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”

Bila kuwasahau Kuna sheikh was Arusha, gari 100m/-.

Yawezekana Kuna biashara nzuri ya wapiga kura makanisani na misikitini huko.

Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah au nasema uongo ndugu zangu?
 
kiasi chote bila kujumlisha "X" ni Shilingi 1,485,000,000.
Sasa baada ya hapo, ongeza na zile za pikipiki 4 kila kata (Tanganyika)!

Na bado sana. Watu bado hawajanunuliwa. Subiri wakati wa Kampeni na kupiga kura.

Mkuu 'lzy', usisahau kuwa na kinoti buku chako karibu; kwani safari hii tutashuhudia ambacho hatujawahi kukishuhudia, na pengine haitatokea tena katika historia ya nchi hii.
 
Sasa baada ya hapo, ongeza na zile za pikipiki 4 kila kata (Tanganyika)!

Na bado sana. Watu bado hawajanunuliwa. Subiri wakati wa Kampeni na kupiga kura.

Mkuu 'lzy', usisahau kuwa na kinoti buku chako karibu; kwani safari hii tutashuhudia ambacho hatujawahi kukishuhudia, na pengine haitatokea tena katika historia ya nchi hii.
Mkuu, walisema Lowassa alikuwa na uchu wa madaraka lakini huyu mama ni namba nyingine. Naona ni fedha za waarabu hizi. Wanaogopa asije kutolewa 2025 wakati wanataka kuendelea kuchuma.
 
Back
Top Bottom