Boay Hotay
Senior Member
- Jul 8, 2023
- 103
- 142
Acha uongo 500 milioni Jimbo la Arusha ilikuwa dhulma zilizofanywa na watendaji wasio waadilifu ya kupora eneo la kanisa na tukaambiwa tulipe Kwa kulinunua tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rushwa tu hiyo,zaidi ya bilioni moja hapo,kodi zetu zinapanywa sana.1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.
6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.
7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM
9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida
10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.
11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga
12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.
13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.
14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.
15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.
16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma
17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi
18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).
19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.
“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Mama mjane alibarikiwa kwa kuwa alitoa sehemu ya chote ya alichonacho lakini hawa watoza ushuru walitoa tu ziada.Hizi sadaka hazina baraka wala kibali mbele za macho ya Mungu.. Sadaka/zaka ni tendo la kiimani na la siri sana ndio maana unapotoa hata mkono wako wa kushoto hautakiwi kujua
Pili sadaka ni utayari wa kutoa vile vyote ulivyo navyo na si sifa za kutoa mamilioni ndio maana yule mama mjane aliyetoa shekeli moja tu aliyokuwa nayo alibarikiwa kuliko wote wakiwemo mafarisayo, masadukayo na watoza ushuru
Sadaka yako yaweza kukuletea laana ama baraka kulingana na malengo yako ya utoaji na matendo yako kiroho
Kodi zetu leo zinaitwa sadaka!!!????Tofautisha kati ya rushwa na sadaka. Wanaotoa sadaka siku zote huwa hawajitangazi.
Bakwata wao wanapewa mgao wao kupitia CCM kama Jumuia ndani ya CCM, ila Sheikh wa Mkoa wa Arusha ya kwake imepitia kwa RC Makonda1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.
6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.
7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM
9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida
10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.
11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga
12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.
13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.
14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.
15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.
16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma
17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi
18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).
19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.
“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.
6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.
7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM
9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida
10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.
11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga
12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.
13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.
14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.
15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.
16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma
17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi
18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).
19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.
“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Kodi zetu hizo, anajichotea tu hapo Hazina.Hivi hizi hela anatoa wapi?
Mama anapanda mbegu, anasubiri mavuno tu basi!1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.
6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.
7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM
9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida
10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.
11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga
12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.
13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.
14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.
15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.
16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma
17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi
18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).
19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.
“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.
6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.
7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM
9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida
10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.
11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga
12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.
13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.
14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.
15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.
16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma
17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi
18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).
19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.
“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
EEEeeeenHEEEee!Hivi hizi hela anatoa wapi?
EEEeeenHEEeeee!Hilo lilikua la zamani sio la sasa hivi.
Tuwekee na Misikitini mkuu maana huko hazitangazwi ni kimya kimya. Anza na ile Range Rover ya Mufti wa Jamhuri ya Arusha1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.
6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.
7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM
9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida
10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.
11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga
12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.
13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.
14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.
15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.
16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma
17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi
18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).
19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.
“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.
6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.
7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM
9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida
10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.
11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga
12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.
13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.
14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.
15. Millioni 50 Kanisa la Mennonite DSM.
16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma
17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi
18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).
19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.
“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Sasa baada ya hapo, ongeza na zile za pikipiki 4 kila kata (Tanganyika)!kiasi chote bila kujumlisha "X" ni Shilingi 1,485,000,000.
Wewe nawe hujui vijembe?Tofautisha kati ya rushwa na sadaka. Wanaotoa sadaka siku zote huwa hawajitangazi.
Mkuu, walisema Lowassa alikuwa na uchu wa madaraka lakini huyu mama ni namba nyingine. Naona ni fedha za waarabu hizi. Wanaogopa asije kutolewa 2025 wakati wanataka kuendelea kuchuma.Sasa baada ya hapo, ongeza na zile za pikipiki 4 kila kata (Tanganyika)!
Na bado sana. Watu bado hawajanunuliwa. Subiri wakati wa Kampeni na kupiga kura.
Mkuu 'lzy', usisahau kuwa na kinoti buku chako karibu; kwani safari hii tutashuhudia ambacho hatujawahi kukishuhudia, na pengine haitatokea tena katika historia ya nchi hii.