boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Kinachonisikitisha Tanroad imekufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka figures acha unafiki kamamakezakoMilioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
Imefia wapi na imezikwa lini?Kinachonisikitisha Tanroad imekufa
Mungu anayetazama rohoni ndiye anayeijua nia ya kweli ya mtoaji wa hizo pesa.Tofautisha kati ya rushwa na sadaka. Wanaotoa sadaka siku zote huwa hawajitangazi.
Hayati JPM alikuwa anazigawa pesa njiani kila anapopita.Kwani yeye wa kwanza kuwa rais hatukuona kwa marais wengine wakigawa mamilioni kiasi hiki.
Imeandikwa sadaka ya mtu muovo ni chukizo kwa Mungu. Nilitegemea wanaopokea wamwambie ukweli kuwa tumepokea lakini Mungu hajairidhia nenda ukajioshe mikono yako na damu ulizomwagaTofautisha kati ya rushwa na sadaka. Wanaotoa sadaka siku zote huwa hawajitangazi.
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.
6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.
7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM
9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida
10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.
11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga
12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.
13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.
14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.
15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.
16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma
17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi
18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).
19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.
“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Mbona hizi Hela za Waarabu zinapelekwa Makanisani tu ..... Au Misikitini wao wanapelekewa directo!!?
Kwa nini wachunga kondoo wa Mungu wanakubali haya au yamesahau habari ya shekeli za Yuda Eiskarote[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Jumlisha 635M + 850M + X ( Mwamposa). Ongezea na magoli, Ongezea na Tour za wasaniii, Ongezea Sherehe za Kisiwa X, Ongezea na Zile nasikia sijui mtoto wa nan anakula nn.1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.
6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.
7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM
9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida
10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.
11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga
12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.
13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.
14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.
15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.
16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma
17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi
18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).
19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.
“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Wajukuu wa wajuu zetu lazima watafukua makaburi yetu kuangalia tulikwa binadamu wa aina gani. Imagine unagawa hela zote hilzo kwa makanisa ambayo tayari yanajiendesha vizuri kwa michango ya waumini wake huku upande mwingine hadi vyoo mashuleni unasaidiwa na wahisani.1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.
6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.
7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM
9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida
10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.
11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga
12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.
13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.
14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.
15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.
16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma
17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi
18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).
19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.
“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Hapo inaeleweka kwenye post umeandika KKKT Mennonite kitu ambacho sidhani kama kipo.Kwa hiyo namba zingine ni za kweli? Kamata hiyo ukitaka na link tutakuwekea.
RAIS MHE. DKT. SAMIA ACHANGIA MILIONI 50 KANISA LA MENNONITE
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akitoa hotuba kwa niaba ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Elimu Mkamba cha Kanisa la Mennonite Tanzania, Jijini Dar es salaam.
![]()
Mwanamke kuwa fisadi aibuafadhali lowasa tulikuwa tunafahamu miradi yake na biashara zake ana hela, huyu bibi kizimkazi anajichotea tu pesa ya umma bila aibu hafai kuwa raisi mtoa rushwa
Kufanya niniNenda mahakamani!
Mama yako ana kopoWeka figures acha unafiki kamamakezako
Kamamakezake wewe unazingia mtoto wa mtaa utapasuka unajua kudanga kutoka Tanga au sio?Mama yako ana kopo
Ni kosa la kiuandishi tuHapo inaeleweka kwenye post umeandika KKKT Mennonite kitu ambacho sidhani kama kipo.