Jinsi Rais Samia anavyotoa mamilioni ya sadaka kwa Makanisa

Jinsi Rais Samia anavyotoa mamilioni ya sadaka kwa Makanisa

1730181723294.png


1730181937959.png


Hayati JPM Magufuli akikagua msikiti mkubwa wa Kinondoni aliowajengea waisilamu kwa kushirikiana na Mfalme wa Morocco
 
Hiyo ni sadaka au michango? Sadaka hutolewa wakati wa ibada, lini aliingia ibani mwa makanisa hayo akatoa sadaka? Iweje sadaka ya mtu mmoja ijulikane ni kiasi gani na watu wengine wasijulikane wametoa kiasi gani?
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Kuna kijiji huko mpwapwa, hawana huduma yoyote ya kijamii hata zahanati hawana, wanawake kujifungulia nyumbani ni kawaida, umeme hawana kule, shule ni changamoto, maji hawana kabisa, huko monduli wananchi wanakunywa maji yaliyotumika yaani dimbwi, na hilo dimbwi linalindwa usiku ili wanyama wasije wakamaliza ikawa tabu zaidi, hiyo mifano miwili tu. Halafu mnasema mama anaupiga mwingi
 
Hii habari haina ukweli hiyo # 15 inatia shaka.
Kwa hiyo namba zingine ni za kweli? Kamata hiyo ukitaka na link tutakuwekea.

RAIS MHE. DKT. SAMIA ACHANGIA MILIONI 50 KANISA LA MENNONITE

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akitoa hotuba kwa niaba ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Elimu Mkamba cha Kanisa la Mennonite Tanzania, Jijini Dar es salaam.

waziri-na-askofu-1024x683.jpg
 
Bibi chaudele yuko vizuri sana kwenye kuhonga
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Obviously, they are printing money!
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Hizo ni show off.
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Tuliosoma Cuba nadhani tumeelewana
 
Kuna kijiji huko mpwapwa, hawana huduma yoyote ya kijamii hata zahanati hawana, wanawake kujifungulia nyumbani ni kawaida, umeme hawana kule, shule ni changamoto, maji hawana kabisa, huko monduli wananchi wanakunywa maji yaliyotumika yaani dimbwi, na hilo dimbwi linalindwa usiku ili wanyama wasije wakamaliza ikawa tabu zaidi, hiyo mifano miwili tu. Halafu mnasema mama anaupiga mwingi
Inawezekana lengo la Samia ni kuwawezesha manabii kina Mwamposa ili waweze kuwaombea waumini wapone bila kuhitaji zahanati. ,😆😆😆😆😆
 
Inawezekana lengo la Samia ni kuwawezesha manabii kina Mwamposa ili waweze kuwaombea waumini wapone bila kuhitaji zahanati. ,😆😆😆😆😆
si wangeweka kambi mloganzila, Amana, Muhimbili kuombea watu wapone ili serikal isitumie pesa nyingi kuwekeza kwenye eneo la matibabu?

Hayo makanisa yana shule, gusa ada zake uone, hayo makanisa yana hospitali, gusa gharama zake sasa sio rafiki kwa waumini wake
 
Utakuta mbele ya kanisa barabara za tope
Hana mshahara wa kugawa
 
Back
Top Bottom