Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama anaupiga mwingiPiki piki nne za CCM Kila Kata Tanzania!!
Uzuri kanisa Katoliki halijawahi kujipendekeza atawapata kina Mwamposa.Ni juhudi za kuwa karibu na kanisa, anajua kama Kanisa likimtenga urais wake utakuwaje.
Angetoa misikitini wangesema ni mzanzibar anatoa kwa sababu ni muislamu lakini hapa kimya mmmm zao!1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.
6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.
7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM
9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida
10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.
11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga
12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.
13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.
14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.
15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.
16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma
17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi
18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).
19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.
“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Acha kumfananisha mzee lowassa na vitu vya kipumbavuHuyu ni Lowassa kasoro jinsia
Hilo lilikua la zamani sio la sasa hivi.Uzuri kanisa Katoliki halijawahi kujipendekeza atawapata kina Mwamposa.
Ni heri huyu anatoa kwenye majumba ya ibada, kuliko yule aliyekuwa anatembea na mabulungutu na kuyagawa kwenye ziara zake!Kwani yeye wa kwanza kuwa rais hatukuona kwa marais wengine wakigawa mamilioni kiasi hiki.
Hakuna sadaka, ni RUSHWA,pesa za kuuza Bandari!!1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.
6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.
7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM
9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida
10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.
11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga
12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.
13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.
14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.
15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.
16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma
17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi
18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).
19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.
“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Zinatusaidia nini wananchi!?1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.
6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.
7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.
8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM
9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida
10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.
11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga
12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.
13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.
14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.
15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.
16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma
17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi
18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).
19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.
“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Takwimu ya misikiti itakushangaza zaidi.Sijaona misikiti, au misikiti hujengwa na waarabu wa nje?
Huko kwenye ziara ndipo tulipo wananchi, huko makanisani zinaishia kwa wapigaji tu.Ni heri huyu anatoa kwenye majumba ya ibada, kuliko yule aliyekuwa anatembea na mabulungutu na kuyagawa kwenye ziara zake!
afadhali lowasa tulikuwa tunafahamu miradi yake na biashara zake ana hela, huyu bibi kizimkazi anajichotea tu pesa ya umma bila aibu hafai kuwa raisi mtoa rushwaHuyu ni Lowassa kasoro jinsia
HATA ATOE VIPI ...ALIYE LAANIKA AMEKWISHA KULAANIKA TU ...HAPO.MWENYEWE USIKUTE ANAJARIBU KUJITAKASA NA LAANA ALIYO NAYO KWA KUTOA HIVYO VIPESA....
Zinatolewa kwa malengo maalum.