Jinsi Rais Samia anavyotoa mamilioni ya sadaka kwa Makanisa

Jinsi Rais Samia anavyotoa mamilioni ya sadaka kwa Makanisa

Ni juhudi za kuwa karibu na kanisa, anajua kama Kanisa likimtenga urais wake utakuwaje.
 
Hela zote hizo zingeje vituo vya afya vingapi? Mashule mangapi?
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Angetoa misikitini wangesema ni mzanzibar anatoa kwa sababu ni muislamu lakini hapa kimya mmmm zao!
 
Kwani yeye wa kwanza kuwa rais hatukuona kwa marais wengine wakigawa mamilioni kiasi hiki.
Ni heri huyu anatoa kwenye majumba ya ibada, kuliko yule aliyekuwa anatembea na mabulungutu na kuyagawa kwenye ziara zake!
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Hakuna sadaka, ni RUSHWA,pesa za kuuza Bandari!!
 
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa

2. Milioni 150 kwa KKKT Hai

3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.

4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.

5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha.

6. Milioni 100 kwa Kanisa Katoliki Babati.

7. Milioni “X” kwa Kanisa la Mwamposa.

8. Milioni 100 kwa Kanisa la AICT - DSM

9. Milioni 50 Kanisa la Wasabato Singida

10. Milioni 10 Kanisa Pentekoste Jimbo la Mashariki.

11. Milioni 5 Kanisa KKKT Mafinga

12. Millioni 50 Kanisa KKKT Dayosisi ya Tanganyika.

13. Millioni 30 Kanisa la Anglikana Kagera.

14. Millioni 50 Kanisa la KKKT Dodoma.

15. Millioni 50 Kanisa la KKKT Mennonite DSM.

16. Millioni 30 Kanisa Katoliki Musoma

17. Millioni 40 Kanisa Katoliki Mufindi

18. Millioni 100 Kanisa Katoliki Zanzibar (via Mwinyi).

19. Milioni 500 na kiwanja Kanisa Katoliki Arusha.

“Pongezi sana mama, watu wasiokuwa na macho ya roho hawawezi kukuelewa.”
Zinatusaidia nini wananchi!?
 
HATA ATOE VIPI ...ALIYE LAANIKA AMEKWISHA KULAANIKA TU ...HAPO.MWENYEWE USIKUTE ANAJARIBU KUJITAKASA NA LAANA ALIYO NAYO KWA KUTOA HIVYO VIPESA....
 

Attachments

  • FB_IMG_1730154930111.jpg
    FB_IMG_1730154930111.jpg
    62.6 KB · Views: 4
Back
Top Bottom