Jinsi Rais Samia anavyotoa mamilioni ya sadaka kwa Makanisa

Tuwekee na Misikitini mkuu maana huko hazitangazwi ni kimya kimya. Anza na ile Range Rover ya Mufti wa Jamhuri ya Arusha
Watu tunapoteza lengo hapa.
Kwani kusudio la hii ni nini. Huko hata asipotoa chochote kwa sasa hivi, ataeleweka, na hatapoteza chochote. Hivi watu hamuoni picha pana inayotengenezwa hapa? Tunawekwa rasmi kwenye makundi. Ni wazi sasa hivi CCM ni mali ya kundi moja.
 
Mkuu, walisema Lowassa alikuwa na uchu wa madaraka lakini huyu mama ni namba nyingine. Naona ni fedha za waarabu hizi. Wanaogopa asije kutolewa 2025 wakati wanataka kuendelea kuchuma.
Sina shaka yoyote na kunako patikana pesa hiyo; na sijui kwa nini watu wawe na mashaka juu yake. Tatizo la huyu ni kuwa hana simile; hana akili ya kufikiri jinsi atakavyo dhaniwa kwa matendo yake haya.
Hili linanishangaza sana juu yake.
 
Sina shaka yoyote na kunako patikana pesa hiyo; na sijui kwa nini watu wawe na mashaka juu yake. Tatizo la huyu ni kuwa hana simile; hana akili ya kufikiri jinsi atakavyo dhaniwa kwa matendo yake haya.
Hili linanishangaza sana juu yake.
Watu wenye info za ndani wanasema kichwa chake siyo smart hata kidogo. Yaani ni kuwa alikuwa amewekwa pale kwenye umakamu kama msindikizaji tu. Na mbaya zaidi watu walimzunguka sasa hivi wengi wana akili kama zake. Yule jamaa mvaa mapete na Abdul na watu wa aina hiyo ndiyo think tank yake.
 
kiasi chote bila kujumlisha "X" ni Shilingi 1,485,000,000.
Hiyo orodha siyo kamili.

Kuna milioni 10 zilitolewa mapema kabisa kwa Askofu Ruaichi wa Dar es Salaam kama zawadi ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwake.

Hela kiasi gani hadi sasa kimetolewa kwa wasanii mbalimbali, kuna anayejuwa?

Usikae mbali na 'kinoti buku' mkuu, kazi ndio kwanza inaanza.
 
Umesahau Gari la M 100 kwa Sheikh wa Arusha. Yaani ni rushwa mwanzo mwisho
 
Punguzeni jazba, mama hajatoa sadaka katoa msaada. Tàtizo liko wapi?
 
Hiyo ya Arusha Kanisa lilirudishiwa haki yake wala si msaada! Btw Kanisa Katoliki wameupiga mwingi
 
Ha
Hahaha duh
 
 
Mkuu,
1. Umeweka anazotoa makan̈isani pekee, ungeonyesha na za misikitini pia, maana huko anatoa vile vile.
2. Lengo la hizo "sadaka" ni nini hasa?
3. Hizo pesa anazotoa ni zake au za walipa kodi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…