Jinsi Serikali inavyoweza kuzuia wizi wa mafuta Kigamboni

Jinsi Serikali inavyoweza kuzuia wizi wa mafuta Kigamboni

Geza Ulole

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
65,136
Reaction score
91,917
Kwako mama Samia,

Inasikitisha kuona wizi wa mafuta bado upo tena sasa ni unaendelea kuwadhulumu wafanyabiashara wa mafuta wanaotumia Kurasini Oil Jetty yaani baada ya kusomeka katika flowmeter mafuta yananyonywa na wanaonunua wanabaki wakipata mafuta pungufu. Hii si sawa!!

Nashauri bomba lote liwekwe leakage detection system yaani hata yakishasomwa na meter yaendelee kuwa controlled mpaka yanapoingia kwenye malori au treni.

Hii itaongeza imani ya Wanaofanya biashara nasi bandari ya Dar es Salaam yaani nchi za DRC, Burundi, Rwanda, Zambia, Malawi na nyinginezo. Chondechonde usilifumbie macho hili swala litaleta madhara makubwa pale nchi za Jirani zitakapoacha kutumia Bandari yetu.
 
Yaani hayo majizi yanafaulisha mafuta ya wateja kwenye channel zao? haya maujinga yamezidi sasa na lazima wanashirikiana na wahusika...
 
Inasikitisha sana kuona kuwa watu bado tu wanaiba Mafuta
 
Kwako mama Samia,

Inasikitisha kuona wizi wa mafuta bado upo tena sasa ni unaendelea kuwadhulumu wafanyabiashara wa mafuta wanaotumia Kurasini Oil Jetty yaani baada ya kusomeka katika flowmeter mafuta yananyonywa na wanaonunua wanabaki wakipata mafuta pungufu. Hii si sawa!!

Nashauri bomba lote liwekwe leakage detection system yaani hata yakishasomwa na meter yaendelee kuwa controlled mpaka yanapoingia kwenye malori au treni.

Hii itaongeza imani ya Wanaofanya biashara nasi bandari ya Dar es Salaam yaani nchi za DRC, Burundi, Rwanda, Zambia, Malawi na nyinginezo. Chondechonde usilifumbie macho hili swala litaleta madhara makubwa pale nchi za Jirani zitakapoacha kutumia Bandari yetu.
Hawawezi kukubali Bomba lifungwe sensor maana ule ni mradi wa watu. Aliyefunga flowmeter alitoa hiyo option Ila hawakutaka kuikubali maana walijua hapo watakomeshwa.

Sensor ikifungwa inadetect Ina a matter of five seconds na inakuonyesha exact point wewe ni kwenda kuangalia fasta kuna nini? Ila bahati mbaya ule ni mradi wa genge la watu
 
Hawawezi kukubali Bomba lifungwe sensor maana ule ni mradi wa watu. Aliyefunga flowmeter alitoa hiyo option Ila hawakutaka kuikubali maana walijua hapo watakomeshwa.

Sensor ikifungwa inadetect Ina a matter of five seconds na inakuonyesha exact point wewe ni kwenda kuangalia fasta kuna nini? Ila bahati mbaya ule ni mradi wa genge la watu
Nimeshangaa waziri wa nishati, katibu mkuu wake na wahusika wote wa kitengo Mafuta bandarini bado wanaendelea kutumikia nyadhifa zao baada ya mkuu wa mkoa wa Dsm kufichua ufisadi huu kupitia vyombo vya habari. Raisi Samia ameagiza kila anayekosoa serikali yake atoe na mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa ili kutatua tatizo husika. Haya ni mapendekezo yangu na naomba wasaidizi wake wamfikishie:-
1. Waziri mwenye dhamana ya mafuta hayo awajibishwe kwa kushindwa kuchukuwa hatua baada ya vyombo vya habari kufichua ufisadi huo na watendaji wote husika waliopo wizarani washtakiwe mahakani kwa kula njama ya wizi wa mafuta.
2. Wahusika wote waliokataa ushauri wa kuweka leackage detector kwenye bomba wakamatwe na kushtakiwa.
3.wasimamizi wa hilo bomba ambao wapo TPA wakamatwe, washtakiwe na wafukuzwe kazi.
4.Makala RC Dar aandikiwe barua na Rais kutambua kazi nzuri aliyofanya kwa kugundua wizi huo, kutoa taarifa na kuagiza wezi wakamatwe na kuchukuliwa hatua za kimahakama.
5.Magari yote yaliyokutwa yard zilizokuwa zinatumika kusambaza mafuta ya wizi yataifishwe.
6. Mali na pesa zilizopo kwenye akaunti za benki zilizofunguliwa na wezi zitaifishwe.
7.karibuni mpendkeze na hatua nyingine kwa muheshimiwa Raisi atakazochukuwa ili kuondoa kabisa hili tatizo la wizi wa mafuta na bidhaa nyingine za transit zinazopita kwenye bandari zetu kwenda nchi jirani. Kwa kufanya hivyo tutakuza biashara na uchumi wa nchi utakuwa na maisha ya wananchi yataboreka.
 
Wajipange kwa bomba kutoka Tanga hadi Uganda. La sivyo Utakuwa balaa! WaTz tuna hulka ya wizi, sijui kwa nini?
 
J
Wajipange kwa bomba kutoka Tanga hadi Uganda. La sivyo Utakuwa balaa! WaTz tuna hulka ya wizi, sijui kwa nini?
Je la tanzam linalo sensor detector au ndio Biashara kama kawaida
 
Kila mtu Tanzania ni mwizi katika nafasi yake. Hao wanaoiba mafuta nao wanalizwa na watanzania wengine na wanawaowaliza nao wanalizwa pia chain inaendelea na kuzunguka.

Unamlaumu mwengine mwizi na wewe ni mwizi katika nafasi yako WTF!

Wizi kama huu wa kuiba mafuta ni OFFENSE siyo CRIME Uhalifu kama KUBAKA, UJAMBAZI wakutumia nguvu na silaha BODILY HARM DRIVING CARELESSLY WHILE DRUNK CAUSING ACCIDENTS ni mbaya.

Kwa iyo tupotezee huu wizi wa mafuta tusonge mbele na tufanye kazi kwa bidii.
 
Back
Top Bottom