Jinsi smartphone used ilivyonipeleka polisi

Jinsi smartphone used ilivyonipeleka polisi

K
Sikuhizi simu hasa hizi zilizo nje ya maboks, hata kama ni dukani usiingie kichwa kichwa...

1. Ukinunua simu nenda kwenye Phone status hakikisha ni Official sio Custom, hizo ni za mbio wanazibadilisha imei, ndio Kwa kupitia imei UNAWEZA usikamatwe ila siku uka restore tuu, kwisha habari yako., haitashika network, ukilazimisha kuirudisha upo nyavuni..

2. Hakikisha pamoja na kupewa Risiti ya ki electronic (hizi mimi hua sizikubali kabisa, hua hazioneshi model, imei n.k) omba risiti ya mkono, model ya simu iandikwe,
Imei number iandikwe, hii imei ifanane na ya kwenye boksi, ndani ya simu/software na oia i match na ya kwenye hardware yasimu, namaanisha nyuma ya simu(kama ipo)

3. Piga picha pale pale dukani,
4. Haikisha unapata mhuri na risiti ni ya duka lao,
5. Hakikisha unauziwa ndani ya duka lao(kuna mawinga wanajisogeza na fremu ya mtu anajifanya ni yake, kumbe umesetiwa, mkimaliza biashara anasepa, siku umepata la kupata, unaenda unakuta mawingu.

Simu ya Mkononi..

1. Hakikisha namba Mnayotumia kuwasiliana na muuzaji ni yake, imesajiliwa kwa ID yake..
2. Omba kitambulisho, kipige picha kikiwa na simu, na pesa unayompa.
3. Piga naye Selfie/record video akiwa ameshika ID yake na makubaliano ya mauziamo..

4. Fanya biashara hio nyumbani/ofisini au basi uchukue namba ya mtu wake wa karibu, huyo mtu umtafte wewe..

Shtuka ukiona haya.
1. Muuzaji wa simu anasema ni yake lakini haitumii inasoma imergence.
2. Phone status inasoma Custom.
3. Muuzaji anakuambia exchange allowed lakini haweki conditions zozote na ukiangalia simu ni ya gharama.
4. Muuzaji ana namba za simu nyingi kupitiliza,
Nimepiga sana u winga, Nina scenario nyingi sana ambazo ziliniokoa.

YOTE HAYA YANAWEZA KUA MATESO,
NENDA SHOP YA KUELEWEKA ZAMA MFUKONI VIZURI, NUNUA KITU SEALED.
NOTE : SEALED na FULLBOX ni vitu viwili tofauti.
Kaka hebu fafanua vizuri hapo kwenye official/custom ststus nipate mwanga kidogo
 
Nililala mahabusu ya pale Msimbazi polisi station till morning, kesho yake majira ya saa nane mchana nikaja kutolewa na yule askari nikachukuliwa kutoka pale Msimbazi hadi kituo cha Mbweni kilichopo Bagamoyo road.

Nililala pale hadi kesho yake nikatolewa dhamana na mzazi wangu tukaifuatilia kesi mwisho wa siku ile simu ililetwa akaleta vielelezo vyake(warranty card), imei ilikuwa inasoma tofauti na ile simu.

Wakati huo kielelezo changu ambacho kilitumwa kilikuwa kinaendana na ile simu nikashinda nikaondoka na ile simu ila askar alinambia tu kuongeza umakini zaidi maana naweza kununua simu ya marehemu nikapewa kesi ya uuaji.

Nikatolewa mfano kuna mtu miaka mitatu yupo mahabusu kisa aliokota simu akaanza kutumia kumbe mmiliki mwenye ile simu aliuawa na watu wasiojulikana.
 
Sikuhizi simu hasa hizi zilizo nje ya maboks, hata kama ni dukani usiingie kichwa kichwa...

1. Ukinunua simu nenda kwenye Phone status hakikisha ni Official sio Custom, hizo ni za mbio wanazibadilisha imei, ndio Kwa kupitia imei UNAWEZA usikamatwe ila siku uka restore tuu, kwisha habari yako., haitashika network, ukilazimisha kuirudisha upo nyavuni..View attachment 2989845

2. Hakikisha pamoja na kupewa Risiti ya ki electronic (hizi mimi hua sizikubali kabisa, hua hazioneshi model, imei n.k) omba risiti ya mkono, model ya simu iandikwe,
Imei number iandikwe, hii imei ifanane na ya kwenye boksi, ndani ya simu/software na oia i match na ya kwenye hardware yasimu, namaanisha nyuma ya simu(kama ipo)

3. Piga picha pale pale dukani,
4. Haikisha unapata mhuri na risiti ni ya duka lao,
5. Hakikisha unauziwa ndani ya duka lao(kuna mawinga wanajisogeza na fremu ya mtu anajifanya ni yake, kumbe umesetiwa, mkimaliza biashara anasepa, siku umepata la kupata, unaenda unakuta mawingu.

Simu ya Mkononi..

1. Hakikisha namba Mnayotumia kuwasiliana na muuzaji ni yake, imesajiliwa kwa ID yake..
2. Omba kitambulisho, kipige picha kikiwa na simu, na pesa unayompa.View attachment 2989836
3. Piga naye Selfie/record video akiwa ameshika ID yake na makubaliano ya mauziamo..View attachment 2989839

4. Fanya biashara hio nyumbani/ofisini au basi uchukue namba ya mtu wake wa karibu, huyo mtu umtafte wewe..

Shtuka ukiona haya.
1. Muuzaji wa simu anasema ni yake lakini haitumii inasoma imergence.
2. Phone status inasoma Custom.
3. Muuzaji anakuambia exchange allowed lakini haweki conditions zozote na ukiangalia simu ni ya gharama.
4. Muuzaji ana namba za simu nyingi kupitiliza,
5. Muuzaji kaweka tangazo, hajaweka namba ya simu anakumbia weka yako, au nenda PM
Nimepiga sana u winga, Nina scenario nyingi sana ambazo ziliniokoa.

YOTE HAYA YANAWEZA KUA MATESO,
NENDA SHOP YA KUELEWEKA ZAMA MFUKONI VIZURI, NUNUA KITU SEALED.
NOTE : SEALED na FULLBOX ni vitu viwili tofauti.
Duh..
Muongozo mzuri..
Ila kwa maelezo haya ingefaa iwe Uzi kabisa wadau wafunguke macho.
Hayo yote sidhani kama wanunuzi wa kawaida wanatekeleza, labda wanunuaji wa jumla
 
Sikuhizi simu hasa hizi zilizo nje ya maboks, hata kama ni dukani usiingie kichwa kichwa...

1. Ukinunua simu nenda kwenye Phone status hakikisha ni Official sio Custom, hizo ni za mbio wanazibadilisha imei, ndio Kwa kupitia imei UNAWEZA usikamatwe ila siku uka restore tuu, kwisha habari yako., haitashika network, ukilazimisha kuirudisha upo nyavuni..View attachment 2989845

2. Hakikisha pamoja na kupewa Risiti ya ki electronic (hizi mimi hua sizikubali kabisa, hua hazioneshi model, imei n.k) omba risiti ya mkono, model ya simu iandikwe,
Imei number iandikwe, hii imei ifanane na ya kwenye boksi, ndani ya simu/software na oia i match na ya kwenye hardware yasimu, namaanisha nyuma ya simu(kama ipo)

3. Piga picha pale pale dukani,
4. Haikisha unapata mhuri na risiti ni ya duka lao,
5. Hakikisha unauziwa ndani ya duka lao(kuna mawinga wanajisogeza na fremu ya mtu anajifanya ni yake, kumbe umesetiwa, mkimaliza biashara anasepa, siku umepata la kupata, unaenda unakuta mawingu.

Simu ya Mkononi..

1. Hakikisha namba Mnayotumia kuwasiliana na muuzaji ni yake, imesajiliwa kwa ID yake..
2. Omba kitambulisho, kipige picha kikiwa na simu, na pesa unayompa.View attachment 2989836
3. Piga naye Selfie/record video akiwa ameshika ID yake na makubaliano ya mauziamo..View attachment 2989839

4. Fanya biashara hio nyumbani/ofisini au basi uchukue namba ya mtu wake wa karibu, huyo mtu umtafte wewe..

Shtuka ukiona haya.
1. Muuzaji wa simu anasema ni yake lakini haitumii inasoma imergence.
2. Phone status inasoma Custom.
3. Muuzaji anakuambia exchange allowed lakini haweki conditions zozote na ukiangalia simu ni ya gharama.
4. Muuzaji ana namba za simu nyingi kupitiliza,
5. Muuzaji kaweka tangazo, hajaweka namba ya simu anakumbia weka yako, au nenda PM
Nimepiga sana u winga, Nina scenario nyingi sana ambazo ziliniokoa.

YOTE HAYA YANAWEZA KUA MATESO,
NENDA SHOP YA KUELEWEKA ZAMA MFUKONI VIZURI, NUNUA KITU SEALED.
NOTE : SEALED na FULLBOX ni vitu viwili tofauti.
Yaan hata nyumba hatununui kwa masharti yote hayo..ukipenda kitonga lazima unyee debe simu zipo mpya ww unataka za mkononi ama refub harafu vitu km simu kua na duka lako moja tena sio wale wa vizimba unakuta duka moja linavimeza kumi 🤣🤣🤣Na simu mpya unaunua ikiwa haijapasuliwa ile karatasi ya nje ya box
 
Sikuhizi simu hasa hizi zilizo nje ya maboks, hata kama ni dukani usiingie kichwa kichwa...

1. Ukinunua simu nenda kwenye Phone status hakikisha ni Official sio Custom, hizo ni za mbio wanazibadilisha imei, ndio Kwa kupitia imei UNAWEZA usikamatwe ila siku uka restore tuu, kwisha habari yako., haitashika network, ukilazimisha kuirudisha upo nyavuni..View attachment 2989845

2. Hakikisha pamoja na kupewa Risiti ya ki electronic (hizi mimi hua sizikubali kabisa, hua hazioneshi model, imei n.k) omba risiti ya mkono, model ya simu iandikwe,
Imei number iandikwe, hii imei ifanane na ya kwenye boksi, ndani ya simu/software na oia i match na ya kwenye hardware yasimu, namaanisha nyuma ya simu(kama ipo)

3. Piga picha pale pale dukani,
4. Haikisha unapata mhuri na risiti ni ya duka lao,
5. Hakikisha unauziwa ndani ya duka lao(kuna mawinga wanajisogeza na fremu ya mtu anajifanya ni yake, kumbe umesetiwa, mkimaliza biashara anasepa, siku umepata la kupata, unaenda unakuta mawingu.

Simu ya Mkononi..

1. Hakikisha namba Mnayotumia kuwasiliana na muuzaji ni yake, imesajiliwa kwa ID yake..
2. Omba kitambulisho, kipige picha kikiwa na simu, na pesa unayompa.View attachment 2989836
3. Piga naye Selfie/record video akiwa ameshika ID yake na makubaliano ya mauziamo..View attachment 2989839

4. Fanya biashara hio nyumbani/ofisini au basi uchukue namba ya mtu wake wa karibu, huyo mtu umtafte wewe..

Shtuka ukiona haya.
1. Muuzaji wa simu anasema ni yake lakini haitumii inasoma imergence.
2. Phone status inasoma Custom.
3. Muuzaji anakuambia exchange allowed lakini haweki conditions zozote na ukiangalia simu ni ya gharama.
4. Muuzaji ana namba za simu nyingi kupitiliza,
5. Muuzaji kaweka tangazo, hajaweka namba ya simu anakumbia weka yako, au nenda PM
Nimepiga sana u winga, Nina scenario nyingi sana ambazo ziliniokoa.

YOTE HAYA YANAWEZA KUA MATESO,
NENDA SHOP YA KUELEWEKA ZAMA MFUKONI VIZURI, NUNUA KITU SEALED.
NOTE : SEALED na FULLBOX ni vitu viwili tofauti.
Kwa faida ya wengi reyzzap ungeelezea simu ikiwa sealed na fullbox maana yake ni nini
 
Kuna mtu anaenda kupigwa muda si mrefu samsung noye 10 full box😁
 
Fungua class umu jf ufundishe watu jinsi ya kuandika vzr sio unaleta ujuaji kwa uzi wa mtu mwingne
Mbona tunakuaga wajuaji sana ktk vtu vidogo cha msingi umelewa nn kaandika
IMG-20240513-WA0019.jpg
dear msomi....nacha ft stamina...
 
Back
Top Bottom