Jinsi smartphone used ilivyonipeleka polisi

Jinsi smartphone used ilivyonipeleka polisi

Fungua class umu jf ufundishe watu jinsi ya kuandika vzr sio unaleta ujuaji kwa uzi wa mtu mwingne
Mbona tunakuaga wajuaji sana ktk vtu vidogo cha msingi umelewa nn kaandika
Fungua class umu jf ufundishe watu jinsi ya kuandika vzr sio unaleta ujuaji kwa uzi wa mtu mwingne
Mbona tunakuaga wajuaji sana ktk vtu vidogo cha msingi umelewa nn kaandika
Nadhani ume-overreact kusikokuwa na umuhimu. Nadamini ephen_ alikuwa anakuelewesha na hakuwa na nia mbaya. Tunajifunza kutokana na makosa ujue, na hapa JF ni shule tosha
 
Ndio maana sijamjibu chochote, ningetaka kumsahihisha mtoa mada ningefanya hivyo bila kutoa taarifa

Nilitania kupitia comment yangu, halafu hajaona wote walioongea kaona comment yangu tu
Nimempotezea🚮
Nadhani ume-overreact kusikokuwa na umuhimu. Nadamini ephen_ alikuwa anakuelewesha na hakuwa na nia mbaya. Tunajifunza kutokana na makosa ujue, na hapa JF ni shule tosha
 
Nililala mahabusu ya pale msimbazj polisi station till morning,kesho yake majira ya saa nane mchana nikaja kutolewa na yule askari nikachukuliwa kutoka pale msimbazi hadi kituo cha mbweni kilichopo bagamoyo road,nililala pale hadi kesho yake nikatolewa dhamana na mzazi wangu tukaifuatilia kesi mwisho wa siku ile simu ililetwa akaleta vielelezo vyake(warranty card) imei ilikua inasoma tofauti na ile simu wakati huo kielelezo changu ambacho kilitumwa kilikua kinaendana na ile simu nikashinda nikaondoka na ile simu ila askar alinambia tu kuongeza umakini zaidi maana naweza kununua simu ya marehemu nikapewa kesi ya uuaji nikatolewa mfano kuna mtu miaka mitatu yupo mahabusu kisa aliokota simu akaanza kutumia kumbe mmiliki mwenye ile simu aliuwawa na watu wasiojulikana.
Uwe makini sana
 
Kwa faida ya wengi reyzzap ungeelezea simu ikiwa sealed na fullbox maana yake ni nini
SEALED brandnew kabisa unaitoa BIKIRA

FULLBOX simu imetoka DUBAI box limeagizwa china Backglass imenunuliwa Aggrey
Simu utaikuta MAKUMBUSHO fullbox

Kwa kifupi FULLBOX ni kama gari iliyochezewa mileage ikasoma O KILOMETER ikapigwa rangi fullu new interior
Kisha unaambiwa mpya hii gari
 
Ndio maana sijamjibu chochote, ningetaka kumsahihisha mtoa mada ningefanya hivyo bila kutoa taarifa

Nilitania kupitia comment yangu, halafu hajaona wote walioongea kaona comment yangu tu
Nimempotezea🚮
Uzi umeisha tusiwe na misunderstanding
 
Kuna kipindi nilichalala sana, nilikua natumia simu niliyopewa na ofisi tu kama simu yangu binafsi. Mi simu yangu imefia kwa fundi wakati huo. Nikaona tangazo la simu used inauzwa nikatamani kuinunua.

Dogo anayeuza ananiambia yuko Magomeni. Nikachoma wese mpaka Magomeni, dogo akaja, ni pale Morocco karibu kabisa na Kanisa Katoliki. Nikaikagua simu iko vizuri, na sio ya mkopo, nikaridhika nayo. Dogo anasema simu ni ya dada yake. Tukapatana tena bei pale mambo yakawa mukide.

Kipengele kikaja, dogo hana ID. Na mahali tulipo sio sehemu official ni pembezoni tu mwa barabara. Nikamwambia dogo asiponipa ID sinunui simu. Dogo akasema ID hana ana namba ya NIDA ambayo hata hivyo, haikumbuki. Nikaingia NIDA web nikafanya mchakato nikapata NIDA namba yake. Nikaangalia namba ya simu tuliyowasiliana ina jina lake.

Dogo akaanza kupata wasi wasi huenda mimi ni pot. Akaghairi hauzi anaogopa isje kuwa mimi askari. Nikamtoa hofu, nikamwambia hii ni kwa usalama wangu. Just imagine dogo kazaliwa 2001, tukio la kwaka 2023.

Nikamlipa. Nikabeba simu. Sikupata usumbufu wowote.
 
Nihalali kwa mtazamo wako. Unajuaje kama haikua ya wizi?
Kwani ulipewa na risiti?
Mkuu kiufupi nilienda polisi kesi iliwekwa mezani ikasikilizwa pande zote mbili.
Warrabty card ya ile simu ilipatikana ikawekwa mezani

Pia warranty card ya anaedai kua simu ni yake iliweka mezani

Mwishowe imei ya warranty yangu inaendana na ile simu lakini ya anayesema simu ni yake haikufanana kwahiyo nilikabidhiwa simu kesi ikawa imeisha
 
Mkuu kiufupi nilienda polisi kesi iliwekwa mezani ikasikilizwa pande zote mbili.
Warrabty card ya ile simu ilipatikana ikawekwa mezani

Pia warranty card ya anaedai kua simu ni yake iliweka mezani

Mwishowe imei ya warranty yangu inaendana na ile simu lakini ya anayesema simu ni yake haikufanana kwahiyo nilikabidhiwa simu kesi ikawa imeisha
Sasa kule kulala kwako lupango siku 2 analipia nani?
 
Sasa kule kulala kwako lupango siku 2 analipia nani?
Jamaa aliomba msamaha na alitoa laki na nusu maana nilikua na plan ya kuingia mahakaman alistukia maan ningempigia ela kubwa zaidi ya hiyo mambo yakaisha
 
Back
Top Bottom