Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Kuna wadau unamkuta mtu anakuwa emotional hadi kufikia kulia [emoji16], Kusikitika, au kuhuzunika sana. Akiamini kilicho tokea ni kweli.

Ila mimi aisee sina upenzi na siwezi kuangalia movie zenye mambo ya kufikirika (Fiction). Fic

Huu mzigo niliishia njiani aiseee...
Usikute ata muvi ya yesu tulipigwa[emoji44]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikute ata muvi ya yesu tulipigwa[emoji44]

Sent using Jamii Forums mobile app
Utengenezaji wa Filamu ya Yesu (Jesus of Nazareth 1979) Brian Deacon.
Ni Filamu iliyo engenezwa mwaka 1979 ikionyesha maisha ya Yesu kristu ilitengenezwa na
John Heyman na kuongozwa na Peter Sykes na John Krish. Ilitengenezwa kupitia injili ya mtakatifu Luka. ilifadhiliwa na Campus Crusade for Christ bajeti yake ikiwa ni $6Mil. ilishutiwa Israel.
Project nzimma ilisimamiwa na Jesus Film Project ambayo ilikua chini ya Evangelical Organization.
Brian Deacon ndie alikua mwigizaji mkuu kama Yesu.
Deacon alikua mwigizaji pekee aliyeshinda kwenye mchujo waigizaji 263 ambao walitaka kuigiza kama Yesu.

Sasa ipo hivi...
Leonardo da Vinci alimchora Caesar Borgia mtoto wa Papa Alexander 8 ile picha akailemba kidogo ikawa na mwonekano tofauti

Kama unapenda Conspiracy theory naweza kuendelea pia...
 
Kuna movie naiandaa, budget yake ni M280$
Hii itakuwa historia ulimwenguni, sema watu wa…wanalitea chokochoko eti nimetoa wapi hela..!! Daahh
Utakuwa umelala wewe. Amka mkuu tujifunze mambo magumu.
 
Utengenezaji wa Filamu ya Yesu (Jesus of Nazareth 1979) Brian Deacon.
Ni Filamu iliyo engenezwa mwaka 1979 ikionyesha maisha ya Yesu kristu ilitengenezwa na
John Heyman na kuongozwa na Peter Sykes na John Krish. Ilitengenezwa kupitia injili ya mtakatifu Luka. ilifadhiliwa na Campus Crusade for Christ bajeti yake ikiwa ni $6Mil. ilishutiwa Israel.
Project nzimma ilisimamiwa na Jesus Film Project ambayo ilikua chini ya Evangelical Organization.
Brian Deacon ndie alikua mwigizaji mkuu kama Yesu.
Deacon alikua mwigizaji pekee aliyeshinda kwenye mchujo waigizaji 263 ambao walitaka kuigiza kama Yesu.

Sasa ipo hivi...
Leonardo da Vinci alimchora Caesar Borgia mtoto wa Papa Alexander 8 ile picha akailemba kidogo ikawa na mwonekano tofauti

Kama unapenda Conspiracy theory naweza kuendelea pia...
Endelea chief.....[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utengenezaji wa Filamu ya Yesu (Jesus of Nazareth 1979) Brian Deacon.
Ni Filamu iliyo engenezwa mwaka 1979 ikionyesha maisha ya Yesu kristu ilitengenezwa na
John Heyman na kuongozwa na Peter Sykes na John Krish. Ilitengenezwa kupitia injili ya mtakatifu Luka. ilifadhiliwa na Campus Crusade for Christ bajeti yake ikiwa ni $6Mil. ilishutiwa Israel.
Project nzimma ilisimamiwa na Jesus Film Project ambayo ilikua chini ya Evangelical Organization.
Brian Deacon ndie alikua mwigizaji mkuu kama Yesu.
Deacon alikua mwigizaji pekee aliyeshinda kwenye mchujo waigizaji 263 ambao walitaka kuigiza kama Yesu.

Sasa ipo hivi...
Leonardo da Vinci alimchora Caesar Borgia mtoto wa Papa Alexander 8 ile picha akailemba kidogo ikawa na mwonekano tofauti

Kama unapenda Conspiracy theory naweza kuendelea pia...
Ikaweje?
 
Salute
Kipindi cha nyuma kabla sijawa na ufahamu wa masuala ya teknolojia nilikua nikiangalia muvi kama vile KingKong, Jurasic Park,Godzila,RoboCop, Cyborg , Terminator nk nilikua najua kwamba vile viumbe vya ajabu kwenye muvi hizi nilizotaja ni watu waliovaa vinyago/costume natumaini sio mimi pekee niliyokua nina fikra hizi bali ni watu wengi wanawaza hivi na mpaka leo hii wengi hujua hivi. Ukweli ni kwamba katika muvi hizi kuna teknolojia kubwa nyuma yake hadi muvi inapokamilika basi kazi kubwa imefanyika hapo ndio Application ya Physics hua inaonekana, wenzetu wazungu wameendelea sana huwa hawaendi tena location kurekodi matukio bali kila kitu kinamaliziwa ndani ya ukumbi.

Makampuni mengi ya utengenezaji wa muvi kama Disney,marvel,warner Bro, Sony nk muvi zao nyingi wanazitengenezea kwenye studio yaani ukumbi ambao unaweza kuset kila kitu kutokana na mazingira ya muvi unayotaka halafu wanamalizia kwa computer. Lakini wenzetu wanawezaje kutengeneza vitu vya kufikirika tunavyoona kwenye muvi mabalimbali?

Kwenye miaka 60 Bwana mmoja aitwae Lee Harrison III ambae alikua ni mtengenezaji wa katuni aligundua kwamba circuits, cathode ray tubes, na adjustable resistors zinaweza kurekodi na kuweza mjongeo wa mtu kupitia idea yake hii dunia iipata teknolojia mpya ambayo ilikuja kuboresha utengenezaji wa muvi.

Motion Capture
Ni mfumo wa kurekodi mjongeo wa kitu au mtu mara nyingi mfumo huu hutumiwa jeshini,michezo,afya na burudani. Katika utengenezaji wa filamu mfumo huu hutumiwa kurekodi matendo ya mwigizaji na kwa kutumia mjongeo huo unaweza kutengeneza kiumbe au kitu chochote unachokitaka katika mfumo wa 3D au 2D kwenye computer. Katika mfumo huu mwigizaji huvaa suti maalumu ambayo inakua imewekewa Dots (vinafahamika kitaalamu Marker) maalumu ambazo zinakua zina sensor..senesors hizi zinawezesha kamera kuona position ya hivyo vidot, dots hizi huwa kila sehemu ambapo kuna maunaganisho ya ya viungo (joints) hivyo basi kamera inakua inarekodi position na mjongeo wa hivyo vidot.

Kwa kutumia vidot hivyo basi unaweza kutengeneza kiumbe au mtu yoyote unayetaka, kupitia teknolojia hii inawezesha kurekodi mjongeo wa muigizaji na matendo ya muigizaji kwa wakati mmoja….Kwa ufupi ni kwamba hua hawarekodi mtu bali matendo na mjongeo wa viungo vyake.

images-34-jpeg.2092814

View attachment 2092818
[Muigizaji Akiwa na mavazi ya motion capture yenye marker/Dots kwenye Joints]

Sasa teknolojia hii inakua tofauti kidogo kama unataka kurekodi mjongeo wa sura ya mtu ili iwe halisi, mfumo huu wa kurekodi mjongeo wa sura ya mtu huitwa facial capture. Katika mfumo huu sura ya mtu huwekewa vidot hasa kwenye kope,nyusi,kidevu, lips,kisha huvishwa kamera /scanner za kidigitali ziitwazo lasser Scanner ambazo hurekodi /scan mjongeo wa sura kama vile kucheka,kutabasam,kukapua,kununa kushangaa nk.

View attachment 2092824
View attachment 2092825
View attachment 2092827
[Picha zikionyesha Dots za Facial capture na Lasser scanner ambazo zinasaidia kurekodi movement za uso kama tabasam, kununa nk]

Baada ya kurekodi mjongeo/movement za mwigizaji , movements hizo huingizwa kwenye mfumo wa Visual effects (VFX) . VFX ni mfumo mtindo wa kutengeneza picha/viumbe au mazingira ya kufikirikana kuyafanya yaonekane halisi kwa kutumia movements zilizorekodiwa kwenye motion capture….kwa ufupi VFX ni mfumo ambao hutumika kutengeneza vitu vya kufikirika baada ya kurekodi vitu, nimesema hivi ili isikuchanganye na SFX.
View attachment 2092838
View attachment 2092839
View attachment 2092840
[Picha zikionyesha kabla na baada ya kufanyika Visual Effects VFX]

Special Effects (SFX) ipo kama VFX ila yenyewe hutumika muda ule wa kurekodi tukio yenyewe hutumika kutengenea illusions kama vile milipuko, mlio wa risasi, mvua kunyesha,vidonda,upepo,mawingu,nk

View attachment 2092844
[Mfano wa Special Effects]

Computer Generated Image (CGI), hii hutumika kutengeneza vitu ambavyo ningumu kuvipata au ni ghalama kuvipata hivyo hutumia kutengeneza picha ya kitu kitu ambacho hakipo kabisa. Mfano mtu anaweza kuwa kaonekana kashika bunduki lakini kiuhalisia hajashika kitu. Kwa ujumla ni kua CGI na SFX ni vipande vilivyomo ndani ya VFX.
View attachment 2092845
View attachment 2092847
[Mfano wa CGI, mtu huyu hajashika kitu hapo]

Chroma key compositing
Ni mtindo wa kuunganisha video au picha mbili kwa kuzingatia mfumo wa rangi, katika mfumo huu sehemu ya nyuma(background) ya video au picha huondolewa na kuwekwa kitu kingine kutegemea na mahitaji ya mtu.katika mfumo huu rangi maalumu huwekwa kama background kisha huondolewa kwa kutumia Visual effects (VFX) , rangi zinazotumika zaidi katika mfumo huu ni Kijani na Blue.Rangi ya blue ilikua inatumika kipindi cha nyuma ila kwasasa rangi ya kijani ndio hutumiwa zaidi kutokana na sababu kadhaa.

Rangi ya kijani ilitumika sana kama backgroung kwenye vituo vya TV kwenye kutangaza utabiri wa hali ya hewa kwa sababu watangazaji wengi hupenda kuvaa nguo/suti za rangi ya blue hivyo hii huleta changamoto wakati wa kufanya VFX maana nguo ya blue ikichanganyikana na background ya blue inafanya mtangazji aonekane hana mwili maana sehemu yenye rangi ya blue yote hufutika.

Hivyo suluhisho ilikua ni kutumia Background ya kijani. Kwakua nguo za rangi ya kijani hua hazivaliwi na watu sana basi waliona kwamba rangi ya kijani itafaa zaidi kuliko rangi ya blue, pia rangi ya kijani hua ipo sensitive zaidi katika rangi ya kijani hivyo ikaonekana rangi ya kijani inafaa zaidi na inatoa picha safi zaidi baada ya kufanya Edit kuliko blue.

Hivyo basi katika filamu background zote mbili blue na kijani hutumika kutokana na mtaumizi ya scene husika, japo kijani ndio inatumika zaidi maana kuna watu wengine wana macho ya blue hivyo huleta changamoto kidogo katika kufanya editing.


View attachment 2092851
View attachment 2092850
-Vinjiii
na vipi movie zetu kama Spartacus,G.O.T,Power n.k yale mambo yanayofanyika mule ni real au wanaunganisha tu miili 'ke' na 'me'?
 
Endelea chief.....[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok naendelea..

Lakini ile picha hàkua amemchora Borgia Alikua kamchora Anti christ. Brian Deacon kapita kwenye mchujo huo wa watu 260 kilichokua kinatafutwa ni mtu atakayefanana na ile picha aliyechora Leonardo da Vinci ambae ni mpinga Kristo mwenyewe. Sasa bahati ikaangukia kwa Deacon akafanyiwa na make up kidogo akawa amefanana nae. Picha imechezwa na lengo lao limetimia. Leo hii mtu akiona picha ya Deacon atasema ni Yesu.

Lengo ni kwamba Watu tukalili kua yule tunayemwona kwenye picha tuseme ndie Yesu Tukishakua na Mentality hio ikifika ule wakati wa mpinga kristo kuja duniani watu wengi watamfuata kwasababu watakua wamekariri kua ndie Kristo Masihi. na atakua na uwezo wa kutenda miujiza kama Yesu kristo.
 
Ok naendelea..

Lakini ile picha hàkua amemchora Borgia Alikua kamchora Anti christ. Brian Deacon kapita kwenye mchujo huo wa watu 260 kilichokua kinatafutwa ni mtu atakayefanana na ile picha aliyechora Leonardo da Vinci ambae ni mpinga Kristo mwenyewe. Sasa bahati ikaangukia kwa Deacon akafanyiwa na make up kidogo akawa amefanana nae. Picha imechezwa na lengo lao limetimia. Leo hii mtu akiona picha ya Deacon atasema ni Yesu.

Lengo ni kwamba Watu tukalili kua yule tunayemwona kwenye picha tuseme ndie Yesu Tukishakua na Mentality hio ikifika ule wakati wa mpinga kristo kuja duniani watu wengi watamfuata kwasababu watakua wamekariri kua ndie Kristo Masihi. na atakua na uwezo wa kutenda miujiza kama Yesu kristo.
Aisee akili kubwa sana hio na imefanikiwa kwa asilimia kubwa
 
Aisee akili kubwa sana hio na imefanikiwa kwa asilimia kubwa
Ndio hivyo mkuu hizi film company kama Hollywood hua zinalenga kipi tuone na kwa sababu gani. Anyway mimi naangalia tu kuinjoi sio kuchunguza ya nyuma ya pazia. The less you know, the better
 
Ndio hivyo mkuu hizi film company kama Hollywood hua zinalenga kipi tuone na kwa sababu gani. Anyway mimi naangalia tu kuinjoi sio kuchunguza ya nyuma ya pazia. The less you know, the better
Hii ndio kama ile ya kwenye series ya midnight Texas malaika akawa shoga
 
Hii ndio kama ile ya kwenye series ya midnight Texas malaika akawa shoga
Au kama series ya Dominion Mungu alikimbia makazi yake Gabriel akawa adui halafu Michael ndio sterling. Ila wote wana mademu pia, upuuzi mtupu
 
Ila wazungu bwana watabaki kua juu yetu.
Pichani ni Henry Cavill muigizaji wa muvi ya Justice League/Superman, picha ya kushoto ni muonekano alivyokua kwenye muvi ya Mission Impossible Fallout .

Hizi muvi mbili Mission Impossible na Justice League zilikua zinashutiwa wakati mmoja, Kwenye Mission Impossible alitakiwa kua na Mustache ila kwenye Justice League hakutakiwa kua na Mustache. Sasa Kwakua waandaaji wa Mission Impossible ndio walikua na right juu ya Henry Cavill hivyo waliwambia waandaaji wa Justice League walipe Dollar million 3 sawa na Billion 7 za kibongo ili wamruhusu anyoe hizo Mustache

Waandaaji kusikia 3Million wakakataa wakamuacha aigize hivo hivo na mustache ila kwenye Post Production walitumia VFX kuondoa hizo Mustache
images (85).jpeg


Angalia hapa picha akiwa anaigiza na Mustache Halafu na picha akiwa hana mustache baada ya kufanyiwa VFX
images (86).jpeg

Cc
Daisy
 
FB_IMG_16451777084755774.jpg

Aliyekaa ni Taika Waititi (Korg), upande wake wa kushoto asiyeonekana vizuri ni Sean Gunn(Rocket), Aliyevaa hilo lidude ni Mark Rufalo (Hulk), aliye katikati ni Director Joe Russo na mwenye kitambi ni Chriss Hemsworth (Thor)

Chris hemsworth alivaa mwili wa kutengeneza ndio maana anaonekana ana kitambi ila kiuhalisia ana Six pack, yeye hakufanya Diet ya kunenepesha mwili!

Ushajiuliza kwanini viumbe wenye miili mikubwa kwenye muvi kama Hulk waigizaji wake hua wanavaa hayo madude makubwa?? Reasons ni kwamba wanavaa hivyo ili Marker/Dots ziwe zina zimetanuka/pana/zipo mabalimbali kuliko mwili wa mwanadamu ulivyo

Unajua huwezi kutanua position ya Dots/Marker kwa kutumia computer ndio maana wanavaa miili minene ili kutengeneza umbo linalohitajika.

Sijui kama maelezo haya yameeleweka hata🤔
 
Back
Top Bottom