Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Kwenye Cinematography Camera hua zinasetiwa kila upande hii husaidia kupata picha ya kila engo, lakini pia kuna jinsi ya kuchagua lenses na Camera za kutokana na aina ya Resolution atakayopenda Director. Halafu huku kwetu Director ndio huyo huyo anayeshika Camera wakati ni kazi ya Cinematographer.

Hua nashindwa kuelewa wanaseti vipi Camera hadi zinaonyesha sehemu nyemba na ndogo kama vile tundu, Bomba nk
 
Kwenye Cinematography Camera ...

Hua nashindwa kuelewa wanaseti vipi Camera hadi zinaonyesha sehemu nyemba na ndogo kama vile tundu, Bomba nk
Mkuu hapa huwa siyo setting ya camera kufanya tundu ila huwa ni real VX inatengenezwa alafu kamera inarekodi kisha inaingizwa kwenye komputa kwa ajili ya kuiboresha na kuitumia.
 
Mkuu hapa huwa siyo setting ya camera kufanya tundu ila huwa ni real VX inatengenezwa alafu kamera inarekodi kisha inaingizwa kwenye komputa kwa ajili ya kuiboresha na kuitumia.
Ahsante kwa kunijuza maana nilikua natazama series ya Breaking bad na Better call saul nikawa najiuliza sana wanawezaje kuonyesha ndani ya kitu ambacho unaona kabisa kamera haiwezi kuingiza na kuonyesha vizuri.
How they do it?
 
Hua nashangazwa sana ushirikiano uliop baina ya..
  • Screenwriter
  • Director
  • Cinematographer
  • Editor
  • Stunt Cordinator
  • VFX team/Cordinator
Hizi ni department tofauti tofauti na kila mmoja anafanya kazi kivyake (Dorector hua hahusiki kwenye Post Production) ila at the end muvi inatoka perfect. One day Lazima nisome haya mambo.. So interesting
images (88).jpeg
 
Ahsante kwa kunijuza maana nilikua natazama series ya Breaking bad na Better call saul nikawa najiuliza sana wanawezaje kuonyesha ndani ya kitu ambacho unaona kabisa kamera haiwezi kuingiza na kuonyesha vizuri.
How they do it?
Bundles zingekuwa haziliwi kama hapo nyuma ningekuwekea Hits videos uone jinsi tunavyofanya hayo madude!.
 
Bundles zingekuwa haziliwi kama hapo nyuma ningekuwekea Hits videos uone jinsi tunavyofanya hayo madude!.
Upo kwenye Industry hii?? Nataka kuuliza maswali mate.
Pia kama zipo docs za maandishi nipatie napenda kujisomea zaidi
 
Kwenye Cinematography Camera hua zinasetiwa kila upande hii husaidia kupata picha ya kila engo, lakini pia kuna jinsi ya kuchagua lenses na Camera za kutokana na aina ya Resolution atakayopenda Director. Halafu huku kwetu Director ndio huyo huyo anayeshika Camera wakati ni kazi ya Cinematographer.

Hua nashindwa kuelewa wanaseti vipi Camera hadi zinaonyesha sehemu nyemba na ndogo kama vile tundu, Bomba nk
brother asante kwa aya madini, huku bongo muvi wanaashoot na camera moja tu
 
Upo kwenye Industry hii?? Nataka kuuliza maswali mate.
Pia kama zipo docs za maandishi nipatie napenda kujisomea zaidi
Uliza tu comrade.

Kwa sasa documents sina, nikiziacha hata sijui niliziacha wapi!.
 
Uliza tu comrade.

Kwa sasa documents sina, nikiziacha hata sijui niliziacha wapi!.
Je Kwanini Director ndio hua credited and praised kua Katengeneza muvi nzuri wakati ni Screenwriter anaepangilia maongezi, matukio nk?? Why???
 
SWALI ZURI.
Je Kwanini Director ndio hua credited and praised kua Katengeneza muvi nzuri wakati ni Screenwriter anaepangilia maongezi, matukio nk?? Why???
Kwa maana ya msingi zaidi naweza kusema Director ni meneja mbunifu, wadau na wakuu wote wa idara umtegemeza yeye ili kuunda wazo na umoja katika nyanja zote mbalimbali za utengenezaji wa sinema.

Director had influences more of the finished product than the writer, so the director is more important than other.
 
SWALI ZURI.

Kwa maana ya msingi zaidi naweza kusema Director ni meneja mbunifu, wadau na wakuu wote wa idara umtegemeza yeye ili kuunda wazo na umoja katika nyanja zote mbalimbali za utengenezaji wa sinema.

Director had influences more of the finished product than the writer, so the director is more important than other.
Kama ni hivyo basi kwanini Screenwriter asiwe director yeye mwenyewe yaani kipengele cha Director wakiondoe. Maana Muvi hua ni wazo la Screenwriter
 
Kama ni hivyo basi kwanini Screenwriter asiwe director yeye mwenyewe yaani kipengele cha Director wakiondoe. Maana Muvi hua ni wazo la Screenwriter
Mkuu tutakuwa na ma director wangapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] (Jokes Mkuu)
 
Martin Scorsese kwny The IRISHMAN 2019 alitumia technology ya De-aging VFX,akishoot kwa hii kwa camera
EMBaf5eU8AAPCSQ.jpg


kweny hii movie tunapata kuona the way technology ya de-aging ilivyoweza kuwafanya JOE PESCI,AL PACINO,NA ROBERT DE NIRo.,wakiwa katika mionekano ya ujana na uzee...

yah!!ni tofauti na mfumo unatumika kwny movie tulizozizoea......!!walio iona benjamin button watakua wameelewa



d223e7c6e94f7639377e3ed8c18ebd51d2-09-irishman-sfx-04.2x.h473.w710.jpg

Huyu ni JOE Pesci(ukicheki home alone utamuona huyu mwamba au moon walker by MJ anamiaka 79)

Culture_deniroinline_wsp0090.crop.sidexside.jpg


ROBERT DE NIRO miaka 78 lakini humu ndani kuna hadi muoneko wake wa mwaka 1976 "ule wa kwny muvi ya taxi"

TheIrishman_Netflix_ILM_VFX.jpg

AL PACINO miaka 78 .

SO hii pia ni De-aging VFX tech ila hii wakat wa set haiitaji marker point!!
 
Martin Scorsese kwny The IRISHMAN 2019 alitumia technology ya De-aging VFX,akishoot kwa hii kwa camera
View attachment 2126623

kweny hii movie tunapata kuona the way technology ya de-aging ilivyoweza kuwafanya JOE PESCI,AL PACINO,NA ROBERT DE NIRo.,wakiwa katika mionekano ya ujana na uzee...

yah!!ni tofauti na mfumo unatumika kwny movie tulizozizoea......!!walio iona benjamin button watakua wameelewa




View attachment 2126647
Huyu ni JOE Pesci(ukicheki home alone utamuona huyu mwamba au moon walker by MJ anamiaka 79)

View attachment 2126654


ROBERT DE NIRO miaka 78 lakini humu ndani kuna hadi muoneko wake wa mwaka 1976 "ule wa kwny muvi ya taxi"

View attachment 2126660
AL PACINO miaka 78 .

SO hii pia ni De-aging VFX tech ila hii wakat wa set haiitaji marker point!!
Thanks owa mchango wako niliwahi kulizungumzia hili huko nyuma..
Ila de-aging nzuri niliyoipenda ni ya Michael Douglas/Hank Pym Ant-Man, Will Smith/Gemini Man na Samuel L jackson/Nick Fury Captain Marvel.

Hiyo kamera hapo sidhani kama bongo hii ipo, hata serikalini
Yeap mate some knowledge in order to have them to burst your ass coz nobody is gonna teach you.

Kuna hii technology ya digital de-aging inatumika VFX pia kubadirsha sura ya mtu mzee anaonekana kijana.
View attachment 2094087View attachment 2094088

Lakini kuna wengine utawaona kwenye muvi ukadhani ni VFX kumbe ni make up imefanyika. Watu wana vipaji asee. Kama night king wa game of thrones ni macho yake tu ndio yalifanyiwa VFX ili yaonekane blue ila kila kilichobaki ni Make Up!View attachment 2094089
 
Sina imani kama umeelewa swali nililouliza...![emoji124]
Nimeelewa sana ila nimejitoa ufahamu, umezungumzia kwann ktk kipengele a,b kisiondolewe kibakie b pekee Mkuu labda hujanielewa kwa kuwa sijajazia vzr maelezo mm nimechukulia kwa hapa Tanzania kati ya huyo muongoza filamu na mwandishi wa filamu ndio mana nikaja ni ujinga wangu ukimfuta director na kazi hiyo ukampa mwandishi je kibongo bongo watakuwa wangapi ila nimesemA ni (joke)
 
Ila de-aging nzuri niliyoipenda ni ya Michael Douglas/Hank Pym Ant-Man, Will Smith/Gemini Man na Samuel L jackson/Nick Fury Captain Marvel.
Aisee Mkuu 'Da'Vinci" ukiniambia Gemini Man ni De-aging nzuri Kwako nitashindwa kukushangaa..na may be utakua umeichek kwny 720p 🙂🙂 haaha jokes!!

Ni hiv ukichek scene nying sana za "will smith Jr" utagundua hich kitu,kwanza akiwa anafight na dingi yake anakua yuko fasta sana (ile film sio ya maheroes ile ni about cloning science)kias kwamb unashindwa kumdetail yaan yupo kama character wa game,Hii hapa chini ni scene moja wapo ambayo Jr anaonekana ni ''FULL BODY CGI'' kitu kinachopelekea kuonekana kama plastic zaid!!
sasa uwez fanya de-aging kwa full body cgi yaan unakuta The lighting, the textures, the muscle movement vyote vinabadilika nakuleta bad look expression,,,ila wangetumia double stunt then wakamalizia na hyo face mocap kama walivyofanya .


NyiPd3sTrQDu9aPvCuxJRJ-1200-80.jpg


Ila nick fury de-aging yake iko fresh!!
 
Back
Top Bottom