Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Aisee ndio maana bajeti inafika $400mil asee kazi ina process ndefu sana. Mimi kitu kinachonishangaza ni jinsi wanavyozipatia details ndogondogo kwenye kiumbe/mtu aliyetengenezwa hasa animation. Details kama vile vinyweleo, matundu ya jasho nk.
Ni umakini wa hali ya juu asee yaani hadi nyuzi/sufi sufi zailizopo kwenye mguo hua wanazionyeshaView attachment 2127894View attachment 2127895
Jacket alilovaa is so realistic asee
View attachment 2127896
Details nazosema angalia nguonza huyu mdada, japo hii ni picha ya kuchora ila mchoraji alizingatia small details hadi picha imekua Realistic
View attachment 2127899
Hio picha ya mwisho sio ya kuchorwa kwenye computer. Imechorwa kawaida tu ila mchoraji ndio alikuwa hatari.

Hio ya huyo bibi wa coco sio picha ya kuchorwa bali ni picha ya mtu halisi (huyo bibi ni mmexico walitumia picha yake halisi )
 
Fikiria mtu kama huyu anafanya Face riging kwa kutumia only computer without mocap!!
na face expression imetulia


anafanya human modelling utafikir ni real ,huyu jamaa ni balaa

modelling yake anachora hadi neva za jicho!!

na vyote amefanyia kwny blender 3d

View attachment 2128249
View attachment 2128251
View attachment 2128264
Hilo jicho kama la ukweli.
Inaonekana miaka ijayo waigizaji hawaitajika tena itakuwa ni cabinet inakaa tu ndani wanatengeneza characters wao kwa kutumoa software alaf movie inatengenezwa.
 
Respect mkuu Da'vinci .hahahah kuhusu blender nimetolea mfano tu mkuu{si kwmba niko deep sana},kwasababu ukiacha hyo BLender,software zote zilizobaki zinauzwa,,sijajua kwanini hiii iko free lakin ukwel ni kwamba inapiga kazi sawsaw na Maya 3d!!!

na cku hiz raia weng hapa Tz even kenya,naona wanafanya animation bila shaka itakua wanatumia hii blender,,,kwny masuala ya CGi ,maanimation haya inahitajika sana powerful computer ,hv vijicore i3 vyetu havina ata graphics card then uinstall blender ujikite kutengeneza animation huo utakua uongo!!

then mkuu najua "YOUTUBE" imekua mzito sana kwako lakini nikwambie kule ndio kuna kila elimu kwa kuanzia unayotaka kujifunza ata mwenye hii blender anachannel yake na anafundisha vitu vipya vinavyojiupdate kweny software yake.

kwa upande wangu nilijifunza maxon c4d nikaishia njian hapo zaman za kale,maya 3d ilikua mzto kwa pc yangu ni vtu vichache sana nilijfunza basics ila inavitu ving kama kitabu cha "LAMBERT",pixology zbrush {hii unaweza design charcter,maship,robot,unaumba chocote tu kwa kifupi unafanya modeling yeyote }hii tamu sana lakin nayo niliishia njian,,blender naifahamu basics lakin kwny video editing nilikua na enjoy tu kama kuangalia movie hakuna tofauti na adobe!!

kama utaweza jifunza blender bas hautashindwa kuilewa maxon au maya siku ukikutanayo,point znakua ni zlezle!!!

anza kupenda youtube kama vile unavyopenda vitabu!!🙂🙂🙂 jokes
Ahsante kwa maelezo yako bro. Youtube,Insta na Twitter ni vitu vimenishinda kutumia...FB kiasi naingia marachache kutazama fan Pages za Marvel.
Sorry for late reply sipo sana online wiki hii, siipendi kufunya vitu vya kuunga unga kama nitajifunza vitu hivi basi itapidi niende darasani.
 
Respect mkuu Da'vinci .hahahah kuhusu blender nimetolea mfano tu mkuu{si kwmba niko deep sana},kwasababu ukiacha hyo BLender,software zote zilizobaki zinauzwa,,sijajua kwanini hiii iko free lakin ukwel ni kwamba inapiga kazi sawsaw na Maya 3d!!!

na cku hiz raia weng hapa Tz even kenya,naona wanafanya animation bila shaka itakua wanatumia hii blender,,,kwny masuala ya CGi ,maanimation haya inahitajika sana powerful computer ,hv vijicore i3 vyetu havina ata graphics card then uinstall blender ujikite kutengeneza animation huo utakua uongo!!

then mkuu najua "YOUTUBE" imekua mzito sana kwako lakini nikwambie kule ndio kuna kila elimu kwa kuanzia unayotaka kujifunza ata mwenye hii blender anachannel yake na anafundisha vitu vipya vinavyojiupdate kweny software yake.

kwa upande wangu nilijifunza maxon c4d nikaishia njian hapo zaman za kale,maya 3d ilikua mzto kwa pc yangu ni vtu vichache sana nilijfunza basics ila inavitu ving kama kitabu cha "LAMBERT",pixology zbrush {hii unaweza design charcter,maship,robot,unaumba chocote tu kwa kifupi unafanya modeling yeyote }hii tamu sana lakin nayo niliishia njian,,blender naifahamu basics lakin kwny video editing nilikua na enjoy tu kama kuangalia movie hakuna tofauti na adobe!!

kama utaweza jifunza blender bas hautashindwa kuilewa maxon au maya siku ukikutanayo,point znakua ni zlezle!!!

anza kupenda youtube kama vile unavyopenda vitabu!!🙂🙂🙂 jokes
Umeutendea vyema uzi shukran mkuu vp huko u tube niserch kwa jina gani nipate hayo maujuzi
 
blessed!!mkuu

ukiandika tu blender 3d begginer,,zitakuja result nyingi tu na utachagua mwenyew chanel ip itakufaa,,!!video zko kibao na znaelezea fresh dot kwa dot from nothng to samthng!!!
Hivi kuna utofauti gani kati ya IMAX camera na Camera zingine??
 
Kikwazo kikubwa kinachotokea katika kubadirsha Background ya kijani kwenye filam au picha hua ni kivuli, Kivuli hua ni ngumu kukiondoa hasa kwa watu wanaotumia Low budget production maana hua kinaonekana kama doa/duara kubwa nyuma ya mtu. Ili kuondoa hilo kweye studio hua wanafanya setting ya Lighting ambayo inawezesha kuondoa Uzito/Weight ya kivuli ili kiwezwe kuondolewa kwa urahisi kwenye post-production.

Kama umeangalia Background photos nyingi hua hazina kivuli ajili ya Mataa walivyoyaseti.

NB: Picha hii haihusiani na swala la kivuli bali ni Animators wakitengeneza Animation film ya Spirit Untamed
FB_IMG_16228151145661223.jpg
FB_IMG_16228151063693108.jpg
 
ni rahisi kwa kusimulia tuu lakini kumbuka wanakaa site over 2years plus na kuandaa movie moja cost kwanzia 150m$
 
Tomo Cruise hua anaifanyia sura yake Digital De-aging in reale au ni vipi. Jamaa hazeeeki asee (ana miaka 59)
FB_IMG_16531657137459231.jpg
 
Back
Top Bottom