DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Asante Sana mleta mada,
Ila Hii kitu sidhan Kama Ni rahisi kuitekeleza kama unavoielezea.
Wachina, wahindi, wakorea n.k wanatpa muvi kila kukicha.
Ilahata wachina udukuzi wao kwenye technology,bado wameshindwa kabisa kutengeneza muvi quality kama za hawa Hollywood.
Hii teknolojia nmeoiona kwnye muvi pia ya RoboCop (miaka ya 1960s)
Ila mpaka leo mataifa kibao bado wanafeli kutoa muvi Kama hizo.
Nadhan Hollywood wameifanya Hii kitu siri yao.
Unalizunguziaje hili
Ila Hii kitu sidhan Kama Ni rahisi kuitekeleza kama unavoielezea.
Wachina, wahindi, wakorea n.k wanatpa muvi kila kukicha.
Ilahata wachina udukuzi wao kwenye technology,bado wameshindwa kabisa kutengeneza muvi quality kama za hawa Hollywood.
Hii teknolojia nmeoiona kwnye muvi pia ya RoboCop (miaka ya 1960s)
Ila mpaka leo mataifa kibao bado wanafeli kutoa muvi Kama hizo.
Nadhan Hollywood wameifanya Hii kitu siri yao.
Unalizunguziaje hili