Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Mkuu naona kama kwa afrika hii nikijifunza hichi kitu sitapata kile nachotaka. Ndio maana option yangu ni UK or Us basi kama itashindikana huko basi nitaachana na hili wazo maana hata aina ya vitu navyofikiria kutengenezea Film adaptation kwa bongo au afrika technology au bajeti yake hatumudu.

Au nihamishie upande wa uandishi tu kawaida..kuandika Majarida, Article, Books. Connection sasa🤔
nitaku PM kuna project kama utakuwa interested waweza wekeza your writing skills there
 
connection sio kila kitu....ni mara mia uhustle ujenge your brand itakayokuingizia unlimited money kwa kuweka subra hapa mwanzoni palipo pagumu,kuliko connection zisizo na maisha
Ni kweli kabisa tatizo pa kuanzia ndio sijui ukizingatia sina elimu ya masuala haya it's just a passion and ambition
 
katika maarifa ambayo huwezi kufundishwa chuo kikuu au film school ni teknolojia hii ya kutengeneza filamu za animation sambamba na haya masuala ya motion capture.

it's all about dedicating your time in self learning and investing in tools.
Yeap mate some knowledge in order to have them to burst your ass coz nobody is gonna teach you.

Kuna hii technology ya digital de-aging inatumika VFX pia kubadirsha sura ya mtu mzee anaonekana kijana.
images (44).jpeg
images (45).jpeg


Lakini kuna wengine utawaona kwenye muvi ukadhani ni VFX kumbe ni make up imefanyika. Watu wana vipaji asee. Kama night king wa game of thrones ni macho yake tu ndio yalifanyiwa VFX ili yaonekane blue ila kila kilichobaki ni Make Up!
images (43).jpeg
 
Nami nimepata kitu hapa..hivi zile movie za zombies..nini kipo nyuma ya pazia ambacho wengine hatukijui? Je tunaandaliwa kisaikolojia? (Najua nimetoka nje ya mada kidogo)
 
Nami nimepata kitu hapa..hivi zile movie za zombies..nini kipo nyuma ya pazia ambacho wengine hatukijui? Je tunaandaliwa kisaikolojia? (Najua nimetoka nje ya mada kidogo)
Tuchukulie mfano series ya walking dead, nadhani ndio maarafu katika genre ya post apocalyptic.
Kwanza wale mazombie hutengenezwa kwa special effects make Up wengine wanavishwa mask tu.

Nadhani hapa katika swala lako kuna nadharia mbili
1: Wanaonyesha tu jinsi gani labda tukichezea vitu hayo mambo yanaweza kutokea.. Tuseme wanafundisha na kuburudisha
2: Inaweza kua hua wanatuandaa kiakili kwa mambo wanayotaka kuja kufanya
 
Back
Top Bottom