Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Kuna wadau unamkuta mtu anakuwa emotional hadi kufikia kulia 😁, Kusikitika, au kuhuzunika sana. Akiamini kilicho tokea ni kweli.

Ila mimi aisee sina upenzi na siwezi kuangalia movie zenye mambo ya kufikirika (Fiction). Fic
Hii hali hua yanikuta sana kwa sababu nikiangalia muvi/Series hua nazama kabisa ndani yake nakua kama nami ni mmoja wa character. Hii Hali ilinipata kwenye series ya walking dead wakati Glenn anauawa. Sababu ya kua naingia ndani ya series ndio pia ilinifanya nisiwe nasoma simulizi. Maana nyingi zasikitisha na muvi za kusikitisha hua sitazami

This scene was too hard for me 😞
View attachment 2096503View attachment 2096504
Huu mzigo niliishia njiani aiseee...
 
Mkuu niliona kuna kwenye titanic maji yalivyoingia ndani milango ikawa inafumuka, nikaona behind the scenes nikachoka, yani wametengeneza vimilango vidogo kweli harafu kuna limpira linaachia maji kama ya zimamoto yananguvu kweli ndo yanavisukuma vile vi milango harafu kuna camera ndogo inakimbia speed kweli kuchukua hiyo scene nikasema huyu bwana James atatuua😂😂
Titanic 😁😁😁 hii dunia kunawatu hawaendi mbinguni kwa wanacho tufanyiaa😁😁😁
 
Hii hali hua yanikuta sana kwa sababu nikiangalia muvi/Series hua nazama kabisa ndani yake nakua kama nami ni mmoja wa character. Hii Hali ilinipata kwenye series ya walking dead wakati Glenn anauawa. Sababu ya kua naingia ndani ya series ndio pia ilinifanya nisiwe nasoma simulizi. Maana nyingi zasikitisha na muvi za kusikitisha hua sitazami

This scene was too hard for me 😞
View attachment 2096503View attachment 2096504
Mkuu hii idea ya thread yako ni nzuri sana, wengi watapata mwanga na elimu kwa kiasi chake kuhusu technology ya movie hasa kwa wenzetu.
 
Sasa mkuu director ameanzia kushoot kwenye harusi then akaona kashakua mtaalamu wewe unategemea nini hapo? Kwanza bongo hakuna mgawanyo wa majukumu unakuta director ni huyo, Cinematographer ni huyo,Pengine hadi kuigiza aaigiza yeye.

Binafsi moja ya ndoto yangu kubwa ni kufanya kazi Screenwriting japo sina abc nikipata bahati nikaenda huko duniani kama nikisoma hichi ndio nitakachosomea maana I'm very good in "Thinking and imaging"
Ngoja tuone huko miaka 60 ya uhuru mingine labda tutapiga hatua
Nafikiri suala ni uwekezaji tu,naamini wataalam wapo. Suala la kujiuliza kwanini matajiri hawawekezi kwenye hii Tasnia?,au hailipi?.
 
Hii hali hua yanikuta sana kwa sababu nikiangalia muvi/Series hua nazama kabisa ndani yake nakua kama nami ni mmoja wa character. Hii Hali ilinipata kwenye series ya walking dead wakati Glenn anauawa. Sababu ya kua naingia ndani ya series ndio pia ilinifanya nisiwe nasoma simulizi. Maana nyingi zasikitisha na muvi za kusikitisha hua sitazami

This scene was too hard for me [emoji20]
View attachment 2096503View attachment 2096504
Hali kama hiyo ilinikuta kwenye series ya American Scandal. Mpaka leo nikiwaona characters kwenye page zao za Twitter na Instagram nahisi kabisa nafahamiana nao personally.
 
Si zote nyingine zipo kwenye site tofauti na YouTube.

Labda kama unaongelea darasa (japo si kwa kina) kuhusu VFX na GFX.
Darasa lipo na mengine kwenye websites nyingi tu. Yaani mtu akiamua kutaka kujua ni rahisi tu si jambo kuuuubwa
 
Horror Movies Without Special Effects.jpg
 
Nafikiri suala ni uwekezaji tu,naamini wataalam wapo. Suala la kujiuliza kwanini matajiri hawawekezi kwenye hii Tasnia?,au hailipi?.
Haya tuseme bongo wataalam wapo na na teknolojia ipo pia. Je wewe upo tayari kununua muvi original kwa 10K???
Diamond alikua anauza nyimbo kwa sht 300. Ila ilibidi afunge platform hiyo pesa kidogo tu watu walishindwa kuitoa.

Nadhani sisi pia hatupo tayari kupokea vitu vyenye ubora, sio kwa kupenda bali hali zetu
 
Mkuu hii idea ya thread yako ni nzuri sana, wengi watapata mwanga na elimu kwa kiasi chake kuhusu technology ya movie hasa kwa wenzetu.
Kuna kitu kinaitwa stop motion animation, ukiona animation film imetengenezwa kwa mtindo huu heshimu sana maana ni kazi sana
 
Je hawa watu kama wanatumia technology kubwa kama hizi pia gharama nazo ni pesa ndefu !!! Huwa wanafaidika vipi namaanisha mauzo , maana naona kama movie moja inaweza kutengenezwa na watu kama 200 hivi [emoji2][emoji2] uwalipe waigizaji , maproducer , waandishi wa story , wasambazaji !! Kuna sisi pia tunadownload bure (hii sijui ikoje)
 
Je hawa watu kama wanatumia technology kubwa kama hizi pia gharama nazo ni pesa ndefu !!! Huwa wanafaidika vipi namaanisha mauzo , maana naona kama movie moja inaweza kutengenezwa na watu kama 200 hivi [emoji2][emoji2] uwalipe waigizaji , maproducer , waandishi wa story , wasambazaji !! Kuna sisi pia tunadownload bure (hii sijui ikoje)
Vitu vya bure kupakua online mnapenda nyie waafrika ila wazungu hawapo hivo. Watu wanapesa mkuu kutoa $20000 kwenda kutazama muvi haoni ajabu.

Hii ni bajeti na mauzo ya muvi ya Spiderman No way home 2021, Je bado unadhani hawapati faida??
Budget
$200 millions
Box office
$1.739 billion
 
Back
Top Bottom