Fei ni mpumbavu , hata kama kuna upenyo huo wa kuvunja mkataba , ni kuwakosea Yanga , tujiulize Yanga wamemkosea nn Fesal? Kulikuwa na malumbano yoyote?
Kama kulikuwa hamna shida kulikuwa na haja gani ya kuwatoroka....ikumbukwe mpira ni biashara , mchezaji anapopanda thaman , na ikatokea timu ikamhitaji tunatarajia mchezaji kulipwa vizur timu atakayokwenda ( hii ni faida Kwa mchezaji) , na pia timu anayotoka ambayo kimsingi ndo imempandisha thamani na wenyewe wapate.
Sasa yeye anatoroka kupitia mlango wa nyuma , timu ibaki haina kitu , ni Ujinga mkubwa Sana huo , dogo hafai hata kidogo , na hili ni tatizo la elimu duni Kwa hawa vijana ,
Yalianzia kwenye mziki akina harmonize, Ray-vanny (yaan wanataka wachukue chote) na sasa yameanza kwenye mpira