Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Hayo makasiriko yako wapelekee TFFSawa weka hizo taratibu na vifungu pamoja na huo mkataba wa fei full tusome tujue kakosea wapi na sio tuamini maneno ya kuambiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo makasiriko yako wapelekee TFFSawa weka hizo taratibu na vifungu pamoja na huo mkataba wa fei full tusome tujue kakosea wapi na sio tuamini maneno ya kuambiwa
Acha porojo tunataka evidence za kisheria hapa. Sio vitisho vitisho tuHakuna sehemu Feisal anaweza kushinda ata hiyo kesi yake isikilizwe na Infantino Feisal hatoshinda zaidi atapewa onyo kali.
Kwani yeye ndo TFF nenda TFF watakusikilizaAcha porojo tunataka evidence za kisheria hapa. Sio vitisho vitisho tu
Aende casMleta mada uko sahihi kwa 100%. Mpaka sasa TFF haijatenda haki kwa Feitoto, wamemuhukumu pasipo sheria. Waje watuambie, ni sheria zipi zimevunjwa?
Bado ila namuonea huruma namshauri awapmbe msamaha ya ngaMchana huu umeshakula?
UmewasikianTff kuhusu hili. ?Fei aliweka kipengere Cha kuvunja mkataba bila Sababu kwa kulipa tsh m 100. (Nakumbusha bila Sababu) na mishahara mitatu.
Haki ni mpaka ashinde yeye??Mleta mada uko sahihi kwa 100%. Mpaka sasa TFF haijatenda haki kwa Feitoto, wamemuhukumu pasipo sheria. Waje watuambie, ni sheria zipi zimevunjwa?
Wajinga wengi nchi hii, kila mchezaji aibuke anataka kuvunja mkataba huo mpira utachezwa kweli?Sio kila kitu ni cha kukaa na mwajir, mnapenda sana reference ya onyangoy,, ngja aende CAS atakapo waumbua yanga na TFf yenu..suala hili limetatuliwa kisasa tu, huku sheria zikiwekwa pembeni.. kwanini hadi Leo hakuna ufafanuz wa kisheria... Mpira ni biashara huwez kulazimisha patnership katika biashara Kama maridhiano hayapo..fei aliweka wazi kipengeëele alichotumia,, hao tifutifu wameweka vipengeële walivyotumia?? Badala ya kutoa ufafanuzi kisheria wanafanya media tour kweli??
Uliwah kuona wapi hakimu anamfunga mtuhumiwa bila kutumia vifungu vya sheria.. au anamfunga Halfu anasema siku fulani atakuja kutoa ufafanuzi kwanini nimemfunga...?
CaS Dogo atapta haki yake htakama itaamliwa Bado ni mali ya yanga lkan hukumu yake itatoa mwelekeo Nini fei anatakiwa kufanya kuondoka ynga.. sio hao tifutifu wamekalia stor za vijiweni na za wanasiasa..
Kwani we kuna kipengere ch sheria umekiweka hapa?Acha porojo tunataka evidence za kisheria hapa. Sio vitisho vitisho tu
Hakuna kitu kidichovunjika.. cha msingi utimize kukivunja suala la kukaa na mwajir wako sio lazma.. yeye unampa taarifa Kwa mujibu wa mkataba..sio kila mtu anatka kuvunja mkataba...wengine wamerudhika na mazingira yaoWajinga wengi nchi hii, kila mchezaji aibuke anataka kuvunja mkataba huo mpira utachezwa kweli?
Acha ujuaji wa kijinga mchezaji hua ni mali ya club kwa maana nyingine mchezaji ni asset ya timu thamani ya club ni pamoja na mikataba ya wachezaji ndio maana ni kwenye michezo pekee mtu analipwa signing fee au ana nunuliwa kutoka timu nyingine niambie ni professional gani ambayo mtu ana pewa signing fee au kuuzwa kwenda kampuni nyingine? ukipata jibu hapo ujue Feisal ni mjinga kama weweHakuna kitu kidichovunjika.. cha msingi utimize kukivunja suala la kukaa na mwajir wako sio lazma.. yeye unampa taarifa Kwa mujibu wa mkataba..sio kila mtu anatka kuvunja mkataba...wengine wamerudhika na mazingira yao
Na nyinyi muache kulialia bila ya sababu za msingi. Kama hamjaridhika na hayo maamuzi, nendeni mkaungane na lile jopo la mawakili wake, mkate rufaa ngazi zinazofuata.1. Walianza na barua ya kingereza iliyomtoa uarabuni kwenye program zake wakitaka aje bila kubainisha makosa aliyoshitakiwa nayo ili awe tayari kuandaa utetezi wake. Barua ilikuwa fupi sana. Na kikubwa swala Hilo Feitoto angeweza kulijibu kwa maandishi tu bila kuwepo Sababu Ni la kimkataba. Lkn wanalazimisha arudi.
2. Wakaja na maamuzi yaliyo upande wa Yanga bila kushirikisha wapi Feitoto alikosea. Wakasema ufafanuzi Jana. Lkn maamuzi walishirikisha kwenye vyombo vya habari.
3. Jana hawakutoa ufafanuzi Bali Tuzo zilizoegemea Simba ili kuwazima washabiki wa Simba wanaofatilia swala la Feitoto.
Tff wanajua muda wa dirisha dogo Ni mfupi. Wanajua umuhimu wa uamuzi wa haraka kwa Feitoto kuliko Yanga. Dogo anatakiwa apate timu Kama akishinda. Kutotoa ufafanuzi tu baada ya masaa 72 baada ya hukumu kutolewa kunamyima fursa Feitoto kutafuta haki akiona ameonewa.
Hii Ni roho mbaya Kama sio ushetani. Toka hukumu ya Feitoto itolewe hakuna ata mwanasheria moja wa soka aliyeweza kuja kufafanua Ni vipengere vipi ambavyo vilimbana fei asivunje mkataba wake bila sababu wakati mkataba wake ulikuwa na vipengere hivyo.
Zaidi utasikia oh "mkataba hauvunjwi kihuni".
Fei aliweka kipengere Cha kuvunja mkataba bila Sababu kwa kulipa tsh m 100. (Nakumbusha bila Sababu) na mishahara mitatu.
Tulitegemea Tff ije iseme hakuna kipengere hicho kwenye mkataba wa Feitoto au itoe tafsiri ya hicho kipengere.
Kuvunja kwa Sababu zilizoanishwa na FIFA fei asingelipa chochote.. ikiwa Ni pamoja na kutolipwa mshahara au kukaa benchi 90% ya muda kwa mechi kumi bila sababu
Msitumie tuzo kwa Mgunda na Chama kuzima kimya kimya Swala la Feitoto.
Mliwapa muda kijanja Yanga wa kumrudisha bongo Feitoto ili wapate na gepu waongee nae. Nazani imeshindikana.
Ni muda Sasa wa swala lake kuwa wazi tu.
Haya walete wazi hivyo vipengele vingine vya mkataba ili tuone kosa la Fei toto.
Profesional Ziko nyingi tu ambazo mtu anashift kutokana na ujuzu wake au talenti yake..so hio haiapply tu kwenye michezo ndg...hta kwenye kada zingne hicho kitu Kipo..tatizo umezaliwa sigimbi na unaishi sigimbi sasa unajua tu kwenye michezo tu.. kampuni kubwa Dunian zikimtaka mtu fulani, wanaongea na kampuni yake wanachumkua. Au wanaongea namna ya kumalizanaAcha ujuaji wa kijinga mchezaji hua ni mali ya club kwa maana nyingine mchezaji ni asset ya timu thamani ya club ni pamoja na mikataba ya wachezaji ndio maana ni kwenye michezo pekee mtu analipwa signing fee au ana nunuliwa kutoka timu nyingine niambie ni professional gani ambayo mtu ana pewa signing fee au kuuzwa kwenda kampuni nyingine? ukipata jibu hapo ujue Feisal ni mjinga kama wewe
Huyu dogo anakwenda kukiharibia carrier yake kwa ujinga wake na wale walio nyuma yake.Fei ni mpumbavu , hata kama kuna upenyo huo wa kuvunja mkataba , ni kuwakosea Yanga , tujiulize Yanga wamemkosea nn Fesal? Kulikuwa na malumbano yoyote?
Kama kulikuwa hamna shida kulikuwa na haja gani ya kuwatoroka....ikumbukwe mpira ni biashara , mchezaji anapopanda thaman , na ikatokea timu ikamhitaji tunatarajia mchezaji kulipwa vizur timu atakayokwenda ( hii ni faida Kwa mchezaji) , na pia timu anayotoka ambayo kimsingi ndo imempandisha thamani na wenyewe wapate.
Sasa yeye anatoroka kupitia mlango wa nyuma , timu ibaki haina kitu , ni Ujinga mkubwa Sana huo , dogo hafai hata kidogo , na hili ni tatizo la elimu duni Kwa hawa vijana ,
Yalianzia kwenye mziki akina harmonize, Ray-vanny (yaan wanataka wachukue chote) na sasa yameanza kwenye mpira
Kolo hili ,yamezoea vya kunyonga kuchinja hayaweziBro mbona hii issue inakusumbua sana? Ni ushabiki au?
Post moja hapo juu katoa povu kubwa hatari ila aliyemtolea povu kamjibu kiungwana.Hayo makasiriko yako wapelekee TFF