Jinsi TFF ilivyoamua kumuonea hadharani Feitoto na kuwatumikia Yanga Ni dhahiri zile ni hisia za bahasha kwenye ligi yetu

Jinsi TFF ilivyoamua kumuonea hadharani Feitoto na kuwatumikia Yanga Ni dhahiri zile ni hisia za bahasha kwenye ligi yetu

Umeuona huo mkataba? unajua ni taratibu zipi hazikufuatwa? Je, TFF wametaja taratibu zilizokiukwa na Feisal?
TFF hawajatoa sababu bado ila mpaka wanatoa maamuzi ya awali it means wamejiridhisha kuwa utaratibu haukufuatwa na Feisal, nawao wapo kwaajili ya kusimamia taratibu hivo wanamrudisha kwenye mstari kuwa akafuate utaratibu.
 
TFF hawajatoa sababu bado ila mpaka wanatoa maamuzi ya awali it means wamejiridhisha kuwa utaratibu haukufuatwa na Feisal,
Kwaioa tutegemee uamuzi kamili maana huu umesema ni wa awali? kama wametoa ufafanuzi walishindwaje kuvitaja vipengele vilivyokiukwa?
 
Ndugu mwandishi tulia kwanza! Hivi nanni anaweza kukubali kuweka kipengere cha kuvunja mkataba bila sababu? Mbona mnafanya mambo kihisia nani hiyo?

Hakuna mkataba wa mchezaji yeyote Dunian ambao unakosa kipengere cha kiterminate mkataba kwa kila upande, ila lazima kuwe na sababu zitazopelekea kuvunjwa kwa mkataba uo! Msije mkadhan hiko kipengere kitatumika eti kwasababu kuna ofa nzuri umepata basi uamke ukavunje mkataba, usije ukadhan hicho kipengere kiko uchi namna hiyo!

Onyango kipindi Mgunda hajaingia Simba alikuwa anakosa namba, unakumbuka iliibuka tetesi hapa kutaka kuondoka? Unajua angeondokaje? Basi nakuambia moja ya kipengere hichohicho ndicho akitaka kukitumia kwasababu alikuwa hapangwi, ila Onyango alikaa na waajiri wake wakayamaliza ila sio utoto kama wa Feisal kuwa umelala umeamka asubh bas unaenda kuterminate mkataba! Hakuna uo mwanya aisee.

Mwisho Feisal ni mchezaji wa Yanga kwa mujibu wa mkataba sio kwa mujibu wa hisia, Feisal atulize kitako atafute wanajua sheria aachane na washauri wabovu kama nyinyi mtampotosha na atapotea.
Mshauri wake Jemedari unategemea nini hapo.
 
Cas wakiwa wanasubiri kutoa hukumu kulingana na kesi huweza kumpa mchezaji Uhuru Hadi hukumu ili asiaribu kipawa chake. Na hili swala Ni jepesi Sana Ni la mkataba. Tff haioni pa kumbana fei
Kwani kakatazwa kucheza Yanga au wew unataka akacheze wap
 
Fei ni mpumbavu , hata kama kuna upenyo huo wa kuvunja mkataba , ni kuwakosea Yanga , tujiulize Yanga wamemkosea nn Fesal? Kulikuwa na malumbano yoyote ? Kama kulikuwa hamna shida kulikuwa na haja gani ya kuwatoroka....ikumbukwe mpira ni biashara , mchezaji anapopanda thaman , na ikatokea timu ikamhitaji tunatarajia mchezaji kulipwa vizur timu atakayokwenda ( hii ni faida Kwa mchezaji) , na pia timu anayotoka ambayo kimsingi ndo imempandisha thamani na wenyewe wapate , ..... Sasa yeye anatoroka kupitia mlango wa nyuma , timu ibaki haina kitu , ni Ujinga mkubwa Sana huo , dogo hafai hata kidogo , na hili ni tatizo la elimu duni Kwa hawa vijana ,

Yalianzia kwenye mziki akina harmonize, Ray-vanny ( yaan wanataka wachukue chote) na sasa yameanza kwenye mpira
Wacha ujinga, sheria zipo vitabuni sio mapenzi kama unavyodhani.
 
Utopolo hawana haki yoyote kwenye hili, TFF nao ni wahuni wanaoibeba Yanga, na wale mashabiki wanaoitetea Yanga kwenye hili ni wajinga tu hawajui chochote, hili nitalisema siku zote mpaka mwisho wa dunia, wacha wanune.

Yanga walitakiwa waje na kipengele kingine kinachowabeba wao toka kwenye mkataba walioingia na Fei, lakini wako kimya, haya TFF nanyi semeni Fei amekiuka kipengele gani kwenye mkataba na Yanga, nao wako kimya, kwenye hali hii ni mjinga pekee atakaeendelea kuamini Yanga wana haki kwenye hili suala.

Siku zote hakuna mambo ya taratibu yaliyoko juu ya sheria, hizo taratibu ni mazoea tu, hazina uzito wowote wala hazimbani vyovyote atakaezikiuka, muhimu afanye kulingana na vipengele vya mkataba, nyie mnaoshikilia sababu za taratibu ni vihiyo, hamuijui sheria.
 
Kwaioa tutegemee uamuzi kamili maana huu umesema ni wa awali? kama wametoa ufafanuzi walishindwaje kuvitaja vipengele vilivyokiukwa?
Ushawah kuwa na kesi mahakaman? Siku waliyokusomea hukumu nakala ya hukumu ulipata siku hiyohiyo?
 
Si bora Dejan alikaa kwenye mkataba kuwa mashart ya mkataba hayakutekelezwa na kwa mujibu wamkataba waoasharti hayo yasipotekelezwa automatic mkataba unakuwa umevunjika?
Weka hayo masharti ya mkataba wa dejan na simba halafu weka mkataba wa fei n uto tuone
 
TFF hawajatoa sababu bado ila mpaka wanatoa maamuzi ya awali it means wamejiridhisha kuwa utaratibu haukufuatwa na Feisal, nawao wapo kwaajili ya kusimamia taratibu hivo wanamrudisha kwenye mstari kuwa akafuate utaratibu.
Utaratibu gani hebu tuwekeeni hapa pamoja na hivyo vifungu vya utaratibu tuone
 
TFF hawajatoa sababu bado ila mpaka wanatoa maamuzi ya awali it means wamejiridhisha kuwa utaratibu haukufuatwa na Feisal, nawao wapo kwaajili ya kusimamia taratibu hivo wanamrudisha kwenye mstari kuwa akafuate utaratibu.
We punguani hizo taratibu mbona hitajwi wala kutolewa ufanunuzi ? Mmekazia taratibu taratibu hebu ziwekeni hapa tuzione?
 
Fei ni mpumbavu , hata kama kuna upenyo huo wa kuvunja mkataba , ni kuwakosea Yanga , tujiulize Yanga wamemkosea nn Fesal? Kulikuwa na malumbano yoyote ? Kama kulikuwa hamna shida kulikuwa na haja gani ya kuwatoroka....ikumbukwe mpira ni biashara , mchezaji anapopanda thaman , na ikatokea timu ikamhitaji tunatarajia mchezaji kulipwa vizur timu atakayokwenda ( hii ni faida Kwa mchezaji) , na pia timu anayotoka ambayo kimsingi ndo imempandisha thamani na wenyewe wapate , ..... Sasa yeye anatoroka kupitia mlango wa nyuma , timu ibaki haina kitu , ni Ujinga mkubwa Sana huo , dogo hafai hata kidogo , na hili ni tatizo la elimu duni Kwa hawa vijana ,

Yalianzia kwenye mziki akina harmonize, Ray-vanny ( yaan wanataka wachukue chote) na sasa yameanza kwenye mpira
Ametoroka vipi? Mbona ameondoka officially kabisa kama mkataba unavyomtaka?
 
Mimi sio shabiki wa Utopolo ila Feisal na hao wanaotaka kumsajiri wamezingua sana.! Hawa wachezaji wetu kutokua na elimu ya kutosha ni tatizo kubwa huwezi kuamka asubuhi tu huna tatizo lolote na timu yako kisa umepewa hela mlango wa nyuma ukavuje mkataba kihuni tu.!
Kihuni kivipi? Si ameuvunja kihaki kama mkataba unavosema au?
 
We punguani hizo taratibu mbona hitajwi wala kutolewa ufanunuzi ? Mmekazia taratibu taratibu hebu ziwekeni hapa tuzione?
Mzee kuvunja mkataba sio sawa na kuamka kwenda kununua nazi mpemba
 
1. Walianza na barua ya kingereza iliyomtoa uarabuni kwenye program zake wakitaka aje bila kubainisha makosa aliyoshitakiwa nayo ili awe tayari kuandaa utetezi wake. Barua ilikuwa fupi sana. Na kikubwa swala Hilo Feitoto angeweza kulijibu kwa maandishi tu bila kuwepo Sababu Ni la kimkataba. Lkn wanalazimisha arudi.

2. Wakaja na maamuzi yaliyo upande wa Yanga bila kushirikisha wapi Feitoto alikosea. Wakasema ufafanuzi Jana. Lkn maamuzi walishirikisha kwenye vyombo vya habari.

3. Jana hawakutoa ufafanuzi Bali Tuzo zilizoegemea Simba ili kuwazima washabiki wa Simba wanaofatilia swala la Feitoto.

Tff wanajua muda wa dirisha dogo Ni mfupi. Wanajua umuhimu wa uamuzi wa haraka kwa Feitoto kuliko Yanga. Dogo anatakiwa apate timu Kama akishinda. Kutotoa ufafanuzi tu baada ya masaa 72 baada ya hukumu kutolewa kunamyima fursa Feitoto kutafuta haki akiona ameonewa.


Hii Ni roho mbaya Kama sio ushetani. Toka hukumu ya Feitoto itolewe hakuna ata mwanasheria moja wa soka aliyeweza kuja kufafanua Ni vipengere vipi ambavyo vilimbana fei asivunje mkataba wake bila sababu wakati mkataba wake ulikuwa na vipengere hivyo.

Zaidi utasikia oh "mkataba hauvunjwi kihuni".

Fei aliweka kipengere Cha kuvunja mkataba bila Sababu kwa kulipa tsh m 100. (Nakumbusha bila Sababu) na mishahara mitatu.

Tulitegemea Tff ije iseme hakuna kipengere hicho kwenye mkataba wa Feitoto au itoe tafsiri ya hicho kipengere.

Kuvunja kwa Sababu zilizoanishwa na FIFA fei asingelipa chochote.. ikiwa Ni pamoja na kutolipwa mshahara au kukaa benchi 90% ya muda kwa mechi kumi bila sababu

Msitumie tuzo kwa Mgunda na Chama kuzima kimya kimya Swala la Feitoto.

Mliwapa muda kijanja Yanga wa kumrudisha bongo Feitoto ili wapate na gepu waongee nae. Nazani imeshindikana.

Ni muda Sasa wa swala lake kuwa wazi tu.


Kwa hiyo TFF haiongozwi na sheria na miongozo? Inaongozwa na hisia
 
Kwaio kumbe hukumu ishasomwa bado nakala tu? Msingi wa "HUKUMU" wamerejea kanuni gani au vipengere gani vya mkataba?
Basi nakala ya hukumu ikitoka ndo utaisoma then utaichukua na kwenda kuikatia rufaa au hilo nalo hujui?
 
Basi nakala ya hukumu ikitoka ndo utaisoma then utaichukua na kwenda kuikatia rufaa au hilo nalo hujui?
Hilo hata layman analijua ila wote tunakubaliana kuwa hatujui msingi wa maamuzi ya TFF
 
Mzee kuvunja mkataba sio sawa na kuamka kwenda kununua nazi mpemba
Sawa weka hizo taratibu na vifungu pamoja na huo mkataba wa fei full tusome tujue kakosea wapi na sio tuamini maneno ya kuambiwa
 
Back
Top Bottom