Bauntu asukile
JF-Expert Member
- Aug 17, 2020
- 324
- 442
We ni tahira haki gani sasa hapo ,, Feisal katoroka kambini bila ruhusa kavunja mkataba bila maridhiano, yote kwa yote anamkataba na Yanga ,,. So ulitaka haki ganiHaki tu Kaka. Sio itendeke Bali ionekane imetendeka.
TFF ndo waletee hapa.Mwambie hiyo Mwanasheria wa Fei akupatie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watuuu mmmh hapanaaa.Nmeskia rais alimuomba fei jicho,akagoma[emoji13][emoji13][emoji13]kasema harudi bora akavue vibua
Wewe ndiye mpuuzi, hivi kwakuwa anataka maisha ndio aondoke pasina kufuata utaratibu??. Kamasi kabisa hili jamaa...Tuache ujinga sisi Yanga. Fei anataka maisha bora aende. Ni Ujinga kusema kaikosea Yanga.
🤣🤣🤣 Tulia usitokwe povuWewe ndiye mpuuzi, hivi kwakuwa anataka maisha ndio aondoke pasina kufuata utaratibu??. Kamasi kabisa hili jamaa...
[emoji848][emoji848] acha ukuda bint mdgo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watuuu mmmh hapanaaa.
Rais ana kidampa wakee bhanaaa, hawezi muomba fei, lol
Acha kuwachafua watuNmeskia rais alimuomba fei jicho,akagoma[emoji13][emoji13][emoji13]kasema harudi bora akavue vibua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwendraaaaah huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watuuu mmmh hapanaaa.
Rais ana kidampa wakee bhanaaa, hawezi muomba fei, lol
Mmmmh hapanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We unamjua rais !?[emoji28][emoji28]alimuomba bhn
ulishawahi kusaini na kutumikia mkataba sehemu yeyote hapa duniani?1. Walianza na barua ya kingereza iliyomtoa uarabuni kwenye program zake wakitaka aje bila kubainisha makosa aliyoshitakiwa nayo ili awe tayari kuandaa utetezi wake. Barua ilikuwa fupi sana. Na kikubwa swala Hilo Feitoto angeweza kulijibu kwa maandishi tu bila kuwepo Sababu Ni la kimkataba. Lkn wanalazimisha arudi.
2. Wakaja na maamuzi yaliyo upande wa Yanga bila kushirikisha wapi Feitoto alikosea. Wakasema ufafanuzi Jana. Lkn maamuzi walishirikisha kwenye vyombo vya habari.
3. Jana hawakutoa ufafanuzi Bali Tuzo zilizoegemea Simba ili kuwazima washabiki wa Simba wanaofatilia swala la Feitoto.
Tff wanajua muda wa dirisha dogo Ni mfupi. Wanajua umuhimu wa uamuzi wa haraka kwa Feitoto kuliko Yanga. Dogo anatakiwa apate timu Kama akishinda. Kutotoa ufafanuzi tu baada ya masaa 72 baada ya hukumu kutolewa kunamyima fursa Feitoto kutafuta haki akiona ameonewa.
Hii Ni roho mbaya Kama sio ushetani. Toka hukumu ya Feitoto itolewe hakuna ata mwanasheria moja wa soka aliyeweza kuja kufafanua Ni vipengere vipi ambavyo vilimbana fei asivunje mkataba wake bila sababu wakati mkataba wake ulikuwa na vipengere hivyo.
Zaidi utasikia oh "mkataba hauvunjwi kihuni".
Fei aliweka kipengere Cha kuvunja mkataba bila Sababu kwa kulipa tsh m 100. (Nakumbusha bila Sababu) na mishahara mitatu.
Tulitegemea Tff ije iseme hakuna kipengere hicho kwenye mkataba wa Feitoto au itoe tafsiri ya hicho kipengere.
Kuvunja kwa Sababu zilizoanishwa na FIFA fei asingelipa chochote.. ikiwa Ni pamoja na kutolipwa mshahara au kukaa benchi 90% ya muda kwa mechi kumi bila sababu
Msitumie tuzo kwa Mgunda na Chama kuzima kimya kimya Swala la Feitoto.
Mliwapa muda kijanja Yanga wa kumrudisha bongo Feitoto ili wapate na gepu waongee nae. Nazani imeshindikana.
Ni muda Sasa wa swala lake kuwa wazi tu.
Mmmmh hapanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alivyotoka singida united kuja yanga singida walipata Nini?Fei ni mpumbavu , hata kama kuna upenyo huo wa kuvunja mkataba , ni kuwakosea Yanga , tujiulize Yanga wamemkosea nn Fesal? Kulikuwa na malumbano yoyote?
Kama kulikuwa hamna shida kulikuwa na haja gani ya kuwatoroka....ikumbukwe mpira ni biashara , mchezaji anapopanda thaman , na ikatokea timu ikamhitaji tunatarajia mchezaji kulipwa vizur timu atakayokwenda ( hii ni faida Kwa mchezaji) , na pia timu anayotoka ambayo kimsingi ndo imempandisha thamani na wenyewe wapate.
Sasa yeye anatoroka kupitia mlango wa nyuma , timu ibaki haina kitu , ni Ujinga mkubwa Sana huo , dogo hafai hata kidogo , na hili ni tatizo la elimu duni Kwa hawa vijana ,
Yalianzia kwenye mziki akina harmonize, Ray-vanny (yaan wanataka wachukue chote) na sasa yameanza kwenye mpira
sijui kwanini hua una akili mbovu kiasi hikiNmeskia rais alimuomba fei jicho,akagoma[emoji13][emoji13][emoji13]kasema harudi bora akavue vibua
sijui kwanini hua una akili mbovu kiasi hiki
Utajua nini wewe shabiki ambaye sharti ni lazima akili zako ziwe za nyani?Ukipewa ndizi na hela unachukua nini kama si ndizi ambayo unataka na Fei aifurahie?Fei ni mpumbavu , hata kama kuna upenyo huo wa kuvunja mkataba , ni kuwakosea Yanga , tujiulize Yanga wamemkosea nn Fesal? Kulikuwa na malumbano yoyote?
Kama kulikuwa hamna shida kulikuwa na haja gani ya kuwatoroka....ikumbukwe mpira ni biashara , mchezaji anapopanda thaman , na ikatokea timu ikamhitaji tunatarajia mchezaji kulipwa vizur timu atakayokwenda ( hii ni faida Kwa mchezaji) , na pia timu anayotoka ambayo kimsingi ndo imempandisha thamani na wenyewe wapate.
Sasa yeye anatoroka kupitia mlango wa nyuma , timu ibaki haina kitu , ni Ujinga mkubwa Sana huo , dogo hafai hata kidogo , na hili ni tatizo la elimu duni Kwa hawa vijana ,
Yalianzia kwenye mziki akina harmonize, Ray-vanny (yaan wanataka wachukue chote) na sasa yameanza kwenye mpira
I hii kesi iko wapi?Bado unahitaji kujifunza brother! Hicho kipengere kipo sio kwa mujibu wa Feisal, ila kipo kwa mujibu wa muongozo wa Fifa, Feisal labda angekuwa na akili kipindi anasaini uo mkataba 2020 angeweza kusema mshahara uongezeke kama atakuwa na perfomance nzuri na akatwe akiwa na perfomance mbovu!
Nakusisitiza tena kuwa kila mkataba unavunjika, ila kuwe na sababu maalumu ambazo zitapelekea mkataba uvunjike, sio uamke tu useme naenda kununua mkataba niondoke uo ni ujuha.
Na ukae ukijua kila upande una haki ya kuvunja mkataba, ata Yanga nao wanakipengere chao cha kuvunja mkataba katika ya msimu ila lazima kuwe na sababu ila nje ya hapo lazima biashara ifanyike mezani.