green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Wazenji wana jifanya wameshika dini lakini wanapenda ngono sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kbisa kuchu kua maji na kuchamba. Ukigusa kinyesi bahati mbaya unapotumia karatasi hata unawe na sabuni harufu haiishi. Je kushika na kuosha sehemu yote na vimaji vya kopo moja itaisha? Mmezoea harufu.
Wanapenda sana kitu gani?Wazenji wana jifanya wameshika dini lakini wanapenda sana
ZinaaWanapenda sana kitu gani?
Ni wapi katika ulimwengu huu hawafanyi Zinaa, hakuna Zinaa!Zinaa
Mkuu una tania ama ili mtu ashinde jaribu kiroho anatakiwa awe kajengwa kwamba ajue namna ya kuweka vitu kirohoWaislamu wasiogope competition ya kiimani toka dini zingine. Waache watu wayashinde majaribu ya kujizuia kula.
Wazenji wana jifanya wameshika dini lakini wanapenda ngono sana
Nendeni zenu Kwa Kwa mfuga mbwa hukoo mkale na si ZANZIBARSasa Mimi nisiye muislamu inanihusu Nini? Kwann mlazimishe wengine wafunge kwa interest zenu? Kwani wakristo wakifunga huwa wanazuia waislamu Kula?
Waache upuuzi na ushenziMazingira ya maisha hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa Ramadan kwa Wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida.
Mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa, ukiwa Mwanakwerekwe napo inabidi uende pale Kanisani, ukiwa maeneo ya Mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula, ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula, nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama una familia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa.
Lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe haiguswi na hii dhihaka, wazungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote, ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Nadhani kunatatizo kwa jamii ya Wazanzibar nahisi kuna uhuni kwa kisingizio cha dini.Mazingira ya maisha hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa Ramadan kwa Wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida.
Mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa, ukiwa Mwanakwerekwe napo inabidi uende pale Kanisani, ukiwa maeneo ya Mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula, ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula, nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama una familia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa.
Lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe haiguswi na hii dhihaka, wazungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote, ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Washamba wahediNendeni zenu Kwa Kwa mfuga mbwa hukoo mkale na si ZANZIBAR
huu ndio unafiki wa ajabu, mzungu kwasababu ni mtalii anakula na kufanya apendavyo, ila mweusi kwasababu mtu wa bara au mkristo, anapigwa. hii dini ni ushetani kabisa.Mazingira ya maisha hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa Ramadan kwa Wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida.
Mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa, ukiwa Mwanakwerekwe napo inabidi uende pale Kanisani, ukiwa maeneo ya Mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula, ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula, nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama una familia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa.
Lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe haiguswi na hii dhihaka, wazungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote, ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.