Kumbukumbu la Torati 32:39 SRUV
Fahamu sasa ya kuwa Mimi, naam, Mimi ndiye, Wala hapana Mungu mwingine ila Mimi; Naua Mimi, nahuisha Mimi, Nimejeruhi, tena naponya; Wala hapana awezaye kuokoa katika mkono wangu
SRUV: Swahili Revised
Kama aliyekuumba anaua kwa nini ashindwe kuruhusu kuua tatizo unang'ang'ania isijui agano jipya la kale unaacha wakati yote ni biblia moja afu nashindwa kuelewa siku hiz mmeamua kutumia agano jipya la kale mmeacha sababu haliendani na matakwa yenu
Bro muombe Mungu akuongoze ktk haki yani uislam white ni white na black is black hakuna sijui hii ni cream or light black hapana.
Tizama agano la kale linakataza hata riba lkn hadi makanisa sasa hivi yanamilikia mabank yao tena yenye kutoa riba, ulaji wa haramu vimekatzwa lkn mnakula. Usisem siku ya kusimamishwa na mola wako mlezi ujibu useme hujakumbushwa.
Kumbusha ikiwa ukumbusho wafaa mm nimekukumbusha open ua eyes bro
Kum 23:19-25