Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Kila sehemu kuna mila, taratibu, desturi, tamaduni, silka zake. Zanzibar ilitawaliwa na waarabu na kwa asilimia 99 ya wazanzibari ni waislam. Kama sikosei walitaka kujiunga na OIC miaka ya nyuma huko kitu ambacho kingeitambulisha Zanzibar kama taifa la Kiislam. Muungano wa Zanzibar na Bara ndio uliosababisha hadi leo hii Zanzibar kukwama kuwa taifa la Kiislam. Hivyo basi kulingana na maelezo hayo mafupi utaona ni jinsi gani Zanzibar ilivyo. Hivyo basi wapo Wakristo ambao nao pia wamezaliwa na kukulia Zanzibar lakini wanafuata mila, taratibu, desturi, tamaduni, silka za kizanzibar. Sasa basi ikiwa umekwenda ugenini kwa watu jaribu sana kuelewa ni kipi wenyeji wako wanapenda na kipi hawapendi ili kuweza kuendana na sehemu husika na sio kutaka kufanya vile unavyoona kwako inafaa wakati huo huo ukiwaudhi wenyeji wako.
Kama ukiona unashindwa au unanyanyasika unaweza kurudi nyumbani kwa maana hujafukuzwa. Lakini pia kwanini uteseke na una kwenu? Vile vile kuharibika kwa mila, taratibu, desturi, tamaduni, silka za kwenu kusisababishe ukataka na ugenini kwako kuwe hivyo hivyo.
Tanzania ni moja ukiwa zanzibar it means upo tanzania so upo kwenu

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Waislamu bwana, yaani wanataka kile wanachokiamini kila mmoja akiamini pia. Tena kwa nguvu!
Hii ni tabia ya mfia Dini yeyote yule..hata wakristo pia nao utasikia wanasema Yesu ndio jibu la kila kitu hakuna Kingine!! 😁😁😁
 
Hilo hapo juu ndio SWALI nililouliza[emoji3516][emoji3516]

Haya hapa chini ndio majibu yako[emoji116][emoji116]
Mama, Swali langu limekuwa gumu sana?

Hiyo Matt 23:25 mbona haijibu swali nililouliza?

Narudia tena swali langu:

KATI YA MAFUNDISHO HAYO YA HIZO DINI MBILI NILIYOYAONESHA HAPO , DINI IPI INAONEKANA KUWA INATOKA KWA MUNGU?


Oooh, unajidanganya umeandika mafundoisho ya Mungu kumbe ni porojo zako? Mimi nimekuewekea maneno ya kitabu unachoamini kuwa ni cha Mungu, wewe umeweka kitabu kipi?
 
Nashukuru kwa maelezo yako marefu ila hayajajibu nilichouliza.

Nimekupa mifano ya mafundisho ya Dini mbili, na nikakuuliza...Kwa mafundisho ya hizi dini mbili(mafundisho hayo nimeyaweka hapo), NI IPI INAONEKANA KUWA DINI INAYOTOKA KWA MUNGU?

Ningefurahi kama ungejibu nikichouliza.
Uislamu
 
Tatizo lenu, kiongozi wenu alikuwa hajui kusoma na kuandika. Shida ndiyo inaanzia hapo ni hii imeenda mpaka kwa waumini wakiwa wengi tu kosa. Nchi ilikuwa si ya kidini ila kwa kuwa wao ni wengi basi wameifanya nchi ya kidini. Imani zingine ni kero sana.
Fikiria waislam wangekuwa wengi kama wakristo. Kila nchi kungekuwa na vurugu tu, yaan wakifunga wao wanataka nawe ufunge. Siyo km wanafunga ila wanabadilisha ratiba ya chakula tu. Chakula cha asubuhi wanakula saa 1 usiku, chakula cha mchana wanakula saa 4 usiku na chakula cha usiku wanakula saa 8 au 10 usiku.
Mchina alilijua hili mapema kbsa.
Kama ni rahisi nawe badili hyo ratiba ya kula chakula.
 
Tatizo lenu, kiongozi wenu alikuwa hajui kusoma na kuandika. Shida ndiyo inaanzia hapo ni hii imeenda mpaka kwa waumini wakiwa wengi tu kosa. Nchi ilikuwa si ya kidini ila kwa kuwa wao ni wengi basi wameifanya nchi ya kidini. Imani zingine ni kero sana.
Fikiria waislam wangekuwa wengi kama wakristo. Kila nchi kungekuwa na vurugu tu, yaan wakifunga wao wanataka nawe ufunge. Siyo km wanafunga ila wanabadilisha ratiba ya chakula tu. Chakula cha asubuhi wanakula saa 1 usiku, chakula cha mchana wanakula saa 4 usiku na chakula cha usiku wanakula saa 8 au 10 usiku.
Mchina alilijua hili mapema kbsa.
Unachikiongea haukielewi.

Ukristo ulikufundisha wapi kula barabarani. Mbona unayofundishwa na Mungu wako kwenye biblia huyafati?

Ona China hiyo....

<iframe width="560" height="315" src="YouTube" title="YouTube video player" frameborder="0" allow="accelerometer; autoplay; clipboard-write; encrypted-media; gyroscope; picture-in-picture" allowfullscreen></iframe>
 
Oooh, unajidanganya umeandika mafundoisho ya Mungu kumbe ni porojo zako? Mimi nimekuewekea maneno ya kitabu unachoamini kuwa ni cha Mungu, wewe umeweka kitabu kipi?
Bibi mbona mwoga wa maswali hivi?
Si ujibu tu nilichokuuliza?

Umeona mtego mkali sana kwenye swali umeamua kurudisha mpira kwa kipa!!
 
Tuje kwenye mada husika hoja za mleta uzi je ni kweli?...na kama ni kweli kwanini mfanye hivyo.?

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda niseme kuwa, sio mafundisho ya kiislam kuwachukia au kuwakwaza watu wa dini nyingine hivyo kuna cha kuangalia hapa;
Hata hivyo kuna mila na desturi za mahala mf. Ukienda Vatican utegemee kukuta karibia kila kitu kinaendeshwa kwa mila na misingi ya kikatoliki pamoja na kuwa watu wa dini zote wanaruhusiwa kuishi pale
 
Kwa hiyo Dini Inayofundisha Jihad(kuua) pale ambapo mtu unaona watu wanapinga mafundisho ya dini Husika ni Dini ya Mungu,
lakini Dini inayofundisha Kumpenda Kila mtu na kutokulipiza kisasi kabisa hiyo ni ya Shetani.

Yaani Dini ya Mungu inatufundisha Jino kwa Jino halafu dini ya Shetani inatufundisha Kumpenda kila mtu bila ya kulipiza visasi!

Hebu tumia basi hata akili ya kawaida tu ku-reason!
 
Hata mjinga huona fahamu katika ujinga wake.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini kwa uweza wa huyu Mungu tunaye muamini, itafika siku ukweli utakuwa wazi na kuweza kujua mjinga ni aliyesoma vitabu vyote akaelewa na kutambua mbivu na mbichi au ni aliyesoma kitabu KIMOJA pengine chini ya 50% alafu kwa ujinga wake akajiaminisha kuwa amejua kila kitu
 
tusihamishane hoja hapa. hoja kubwa ni uhalali wa kuzuia mtu mwingine kula kisa wewe umefunga! hapo tu. kwan akila hadharan na unaathirika kwan una uroho kama mandawa!
 
pia muombe huyo Allah wengu awaondolee tamaa ya kufirana kama Wazanzibar ni 97% waislamu na ndo huko tigo zinaongoza kufumuliwa hamuoni ni tatizo ila tatizo ni kuwapiga na kuwadhalilisha wakristo wakila chakula mnawalazimisha wale wamejificha mafichoni ndo mnafurahi ?!

Wasenge wakubwa hivi mnafurahi nini kutesa watu eti wale chakula wamejificha ndo lidini lenu linawatuma kua na roho mbaya, washari na magaidi wasenge.
Kuna kipindi cha redio,kinaitwa mawio cha asubuh mapema, kila siku ni kesi za kuwalawiti watoto kwa kweli inasikitisha, na watendaji wa kuu wa hivi vitendo ni mashekh na walim wa madrasa.
 
Bibi mbona mwoga wa maswali hivi?
Si ujibu tu nilichokuuliza?

Umeona mtego mkali sana kwenye swali umeamua kurudisha mpira kwa kipa!!
Unanisoma kwa uoga, soma tena....

Oooh, unajidanganya umeandika mafundoisho ya Mungu kumbe ni porojo zako? Mimi nimekuewekea maneno ya kitabu unachoamini kuwa ni cha Mungu, wewe umeweka kitabu kipi?


Unajidanganya kuna mtego? Upi huo? Hivi wewe unaesoma kitabu kilichoandikwa na binaadam wenzio na hukielewi unaweza kumtega mtu naesoma kitabu Cha Mwenyeezi Mungu?

Jibu hizo porojo umezitoa kitabu kipi? Najua mzigo mzito kwako huo na hauna jibu.

Pole yako.
 
Hujawahi kukutana na Yesu, au kwa tafsiri nyingine Yesu hajawahi kujifunua kwako.
Siku mwana wa adamu akijifunua kwako hutaandika haya uliyoyaandika
Yesu yupo huku kwa Waislam na unaweza kuomba au kuponya kupitia jina lake na ndio raha ya kuwa Muislam.
Ukiwa huo upande mwingine unapata 1/2 package wakati huku ni full package
UKITAKA KUUJUA UISLAM SOMA, NASEMA TENA SOMA; ACHA KUSIKILIZA POROJO ZA KIJIWENI UKAFIKIRI NDIO UISLAM
 
Unanisoma kwa uoga, soma tena....

Oooh, unajidanganya umeandika mafundoisho ya Mungu kumbe ni porojo zako? Mimi nimekuewekea maneno ya kitabu unachoamini kuwa ni cha Mungu, wewe umeweka kitabu kipi?


Unajidanganya kuna mtego? Upi huo? Hivi wewe unaesoma kitabu kilichoandikwa na binaadam wenzio na hukielewi unaweza kumtega mtu naesoma kitabu Cha Mwenyeezi Mungu?

Jibu hizo porojo umezitoa kitabu kipi? Najua mzigo mzito kwako huo na hauna jibu.

Pole yako.
Wewe ndio huwa wanakusifia humu kuwa unaijua dini yako?

Mbona mwepesi hivi?

Swali rahisi kama hilo hujibu unakaa kupiga danadana ya maneno?
Hilo swali langu ni konki, huwezi tia pua yako hapo kulijibu.
Ungekuwa na jibu ungeshajibu muda mrefu sana.
 
Yesu yupo huku kwa Waislam na unaweza kuomba au kuponya kupitia jina lake na ndio raha ya kuwa Muislam.
Ukiwa huo upande mwingine unapata 1/2 package wakati huku ni full package
UKITAKA KUUJUA UISLAM SOMA, NASEMA TENA SOMA; ACHA KUSIKILIZA POROJO ZA KIJIWENI UKAFIKIRI NDIO UISLAM
Huyo Yesu wa kwa waislam ni yupi huyo?

Ni yule aliyezaliwa chini ya mtende au yule aliyezaliwa kwenye hori la ng'ombe?
 
Back
Top Bottom