Jinsi Tundu Lissu Alivyojikaanga Kwa "Mafuta ya Taaluma Yake!!"

Jinsi Tundu Lissu Alivyojikaanga Kwa "Mafuta ya Taaluma Yake!!"

Kwa hivyo, Wajumbe wote wa Bunge la Katiba ni Batili, JK na serikali yake ni Batili, Buchanan ni Batili, na watanzania wote ni BATILI...!!

Sasa Buchanan mimi najiuliza, tumeshajua kila kitu kilichopo ni batili kama ulivyosema by quoting Lissu, nani atauondoa huo ubatili?.

Me nadhani tuuache huu UBATILI tusirekebishe chochote tumsubiri Nyerere na Karume waje waundoe, kwa maana sisi wote ni BATILI , hatuna Legitimate ya kurekebisha UBATILI.
 
Kuendelea kumsakama Tundu Lissu ni kujidhalilisha, Kama unakumbuka vema wakati wa Kampeni za Uchaguzi wa 2010 Mkulu wa Kaya alisikika akiwaamboa wana Iramba Mashariki kwamba Kumpa Tundu Lissu kura kuingia Bungeni ni kuwaletea wana CCM shida kubwa Bungeni. Ni afadhali kura zake za Urais apewe Dr. Slaa kuliko kumpa Ubunge Tundu LISSU.

Kwa wenye akilim wote wanaendelea kushangazwa na tabia ya wana CCM kuendelea kumsema Vibaya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mh. Jaji Joseph Sinde Waryoba, sasa naona sindano imeingia sawasawa mmeamua kuhamishia vita yenu kwa Mh. TUNDU LISSU.

Kama hujapata fursa ya kusoma both sides of the reports wall usimlaumu Tundu Lissu. Wambieni Prof. Shivji na Dr. Mwakyembe wakanushe taarifa ya Tundu Lissu

Achana na mambo ya kampeni, sisi tunazungumzia UBATILI wa Muungano na consequences zake!
 
Kwa hivyo, Wajumbe wote wa Bunge la Katiba ni Batili, JK na serikali yake ni Batili, Buchanan ni Batili, na watanzania wote ni BATILI...!!

Sasa Buchanan mimi najiuliza, tumeshajua kila kitu kilichopo ni batili kama ulivyosema by quoting Lissu, nani atauondoa huo ubatili?.

Me nadhani tuuache huu UBATILI tusirekebishe chochote tumsubiri Nyerere na Karume waje waundoe, kwa maana sisi wote ni BATILI , hatuna Legitimate ya kurekebisha UBATILI.

Ni maoni yako, siwezi kuyapinga, japokuwa hayatekelezeki! Tundu Lissu ajue kwamba tukiamua ku-rewind mkanda hatutafikia muafaka, he is smart enough to know that!
 
Utarekebishaje kwa utaratibu BATILI mkuu, maana mpaka sasa Bunge Maalum la Katiba ni BATILI, labda tumuulize "Mwanasheria Nguli" Tundu Lissu atuelimishe pa kuanzia!

Mbona unaandika kama mjumbe wa bunge la katiba upande wa serikali 2? Huko ndo naona hoja kama hizi. Nimekuwa nikiwalaumu kwamba hawana muda wa kujifunza toka kwa wenye uwezo lakini ninachoona hapa ni kwamba hata uwezo wa kujifunza haupo kabisa!

siasa hizi zimeharibiwa na sifa ya kujua kusoma na kuandika tu. Matokeo yake sasa hata kupiga vigelegele ni mchango tosha bungeni. Wewe mtu wa JF unawezaje kusema Tundu Lisu aligombea ubunge wa bunge la jamuhuri ya muungano? Kuna mbunge wa aina hiyo hapa TZ?

Kwa uelewa wa aina hii, nchi hii haifiki popote kabisa!
 
Mbona unaandika kama mjumbe wa bunge la katiba upande wa serikali 2? Huko ndo naona hoja kama hizi. Nimekuwa nikiwalaumu kwamba hawana muda wa kujifunza toka kwa wenye uwezo lakini ninachoona hapa ni kwamba hata uwezo wa kujifunza haupo kabisa!

siasa hizi zimeharibiwa na sifa ya kujua kusoma na kuandika tu. Matokeo yake sasa hata kupiga vigelegele ni mchango tosha bungeni. Wewe mtu wa JF unawezaje kusema Tundu Lisu aligombea ubunge wa bunge la jamuhuri ya muungano? Kuna mbunge wa aina hiyo hapa TZ?

Kwa uelewa wa aina hii, nchi hii haifiki popote kabisa!


Kwa hiyo Tundu Lissu aligombea ubunge wa Bunge gani?
 
Mimi nimetoa pointi tupu, ndio maana hujakanusha hata moja, yaani umeshindwa pa kuanzia! Mimi nimekubali kuwa Muungano wetu ni BATILI, ila Lissu naye amechangia katika kuendeleza mambo BATILI. Au tuseme amegundua juzi tu wakati anaandaa Ripoti ya Wachache kuwa MUUNGANO WETU NI BATILI?
Kawaida nikiona Pumba huwa napita tu. Ila nimeona nikueleze ili usije ukazipeleka mbele za watu kama hoja make ni very very very weak. Hazina mashiko, they sound like Jokes. Kawaida sheria inafanya kazi kwa wakati huo (husika), mabaliko yakitokea mpya hufanya kazi. Mf (sio halisi) kuuza nguo za mtumba ni marufuku Tz, ila ikitokea madiliko sheria ikaruhusu kuuzwa kwa nguo za mtumba Tz si kosa kwa wakati huo wala zamani!!!!
 
Ukiwa ndani ya ccm unaona nyeusi ndio nyeupe kama huyu Buchanan

Muungano BATILI unaweza kuunda Taasisi HALALI? Kama jibu lako litakuwa ni ndio basi Tanganyika iliuawa KIHALALI!! Haya leta hoja yako kwa kuanzia na hilo!
 
Kawaida nikiona Pumba huwa napita tu. Ila nimeona nikueleze ili usije ukazipeleka mbele za watu kama hoja make ni very very very weak. Hazina mashiko, they sound like Jokes. Kawaida sheria inafanya kazi kwa wakati huo (husika), mabaliko yakitokea mpya hufanya kazi. Mf (sio halisi) kuuza nguo za mtumba ni marufuku Tz, ila ikitokea madiliko sheria ikaruhusu kuuzwa kwa nguo za mtumba Tz si kosa kwa wakati huo wala zamani!!!!

There you are!! Kama Sheria huwa zinafanya kazi kwa wakati husika, basi kwa nini Tundu Lissu amedai kuwa Muungano wetu SI HALALI KISHERIA?
 
The guy has a valid point but he used a wrong approach to present that idea.
 
Nimegundua ata we uelewa wako NIBATILI maana hujaelewa Lisu aliyokuwa anaongea! mi nakubaliana na hotuba ya Lissu kwamba muungano wetu ni batili maana kama usingekuwa batili Nyerere angepeleka hati ya muungano umoja Wa mataifa
 
Nimegundua ata we uelewa wako NIBATILI maana hujaelewa Lisu aliyokuwa anaongea! mi nakubaliana na hotuba ya Lissu kwamba muungano wetu ni batili maana kama usingekuwa batili Nyerere angepeleka hati ya muungano umoja Wa mataifa

Mkuu kama unadai sijamwelewa Tundu Lissu mbona unakubaliana na mimi? Na kama unakubali kuwa Muungano ni BATILI unakubali pia kwamba Taasisi zote za Muungano ni BATILI including mchakato wa sasa wa Katiba Mpya kwa kuwa umeanzishwa na Sheria ya Muungano BATILI?
 
Wakuu,
Haina shaka kwamba Hotuba ya Tundu Lissu imevuta hisia za washabiki wengi wa "Serikali 3/Nchi 3!" Pia nichukue nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa huyo kwa kuwasilisha maoni ya wachache na kuchambua Sheria akienda sambamba na historia ya Muungano wetu tangu kuundwa kwake mpaka leo.
Mwanasheria huyo nguli, kama baadhi wanavyomwita ameenda mbali sana, bila kuuma maneno akidai kwamba Muungano wetu wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar hauna uhalali wowote wa kisheria kwa kuwa haukuridhiwa na Baraza la Wawakilishi, hata kama uliridhiwa na Bunge la Tanganyika tu!

Amedai pia kwamba kwa sasa tufute Sikukuu ya Muungano wetu na kuanzisha
"Siku ya Shirikisho!"Kwa hoja hizo za Lissu mimi sina ubavu wa kuzipinga kwa kuwa ametaja na vifungu vya kisheria vya wakati huo, tukubali tu kwamba Muungano HAUNA UHALALI WOWOTE WA KISHERIA!

Hata hivyo, Tundu Lissu alifikiri kwamba hoja hiyo inamu-implicate tu Nyerere ambaye amemtaja mara nyingi kwamba mambo mengi ameyafanya kwa AMRI YA RAIS. Mambo hayo ni kamba vile:
1. Jina la Nchi,
2. Kuiua Tanganyika,
3. Nembo ya Taifa, nk.

Kama Muungano hauna uhalali wowote maana yake nini?

1. Ni kwamba Tundu Lissu alifanya makosa kugombea ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano "BATILI," kwa hiyo Ubunge wa Lissu mpaka sasa ni "BATILI!"
2. Kwamba, hata mchakato huu wa kuandika Katiba Mpya ni "BATILI" kwa kuwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba imetungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano" BATILI,"
3. Kwamba, Tundu Lissu amechangia kutunga Sheria "BATILI" za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa Bunge nalo ni "BATILI,"
4. Kwamba CHADEMA nacho ni chama "BATILI" kwa kuwa kimeundwa kwa Mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa ambayo imetungwa na Bunge "BATILI" la Muungano,
5. Kwamba, shughuli zote za kisiasa za Tundu Lissu hazina uhalali wowote wa Kisheria kwa kuwa zimefanywa kwa kufuata Sheria za Muungano "BATILI,"
6. Kama Lissu ana vyeti vya Shule za Tanzania navyo ni "BATILI" kwa kuwa vimetolewa na Serikali "BATILI,"
7. Kama Tundu Lissu amezaliwa baada ya Muungano na kupewa Cheti cha Kuzaliwa ahesabu kuwa ni "BATILI" mpaka sasa,
8. Kesi zote alizoshinda Tundu Lissu mahakamani ajue kwamba ni "UBATILI" mtupu maana" MUUNGANO HUU NI BATILI," kwa hiyo hata mahakama za Muungano ni "BATILI,"
9. Kama Tundu Lissu ameoa baada ya Muungano ajue kuwa ameumia, ni ndoa "BATILI" hiyo!!!
10..................

Hongera sana Tundu Lissu kwa Hotuba Murua...............Ila usiendelee kuwepo kwenye BUNGE hilo "BATILI" kwa kuwa limeundwa na Sheria "BATILI!!!" Tafadhali sana, I am not joking, this time around!

Huyu nae ni great thinker!
 
Wakuu,
Haina shaka kwamba Hotuba ya Tundu Lissu imevuta hisia za washabiki wengi wa "Serikali 3/Nchi 3!" Pia nichukue nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa huyo kwa kuwasilisha maoni ya wachache na kuchambua Sheria akienda sambamba na historia ya Muungano wetu tangu kuundwa kwake mpaka leo.
Mwanasheria huyo nguli, kama baadhi wanavyomwita ameenda mbali sana, bila kuuma maneno akidai kwamba Muungano wetu wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar hauna uhalali wowote wa kisheria kwa kuwa haukuridhiwa na Baraza la Wawakilishi, hata kama uliridhiwa na Bunge la Tanganyika tu!

Amedai pia kwamba kwa sasa tufute Sikukuu ya Muungano wetu na kuanzisha
"Siku ya Shirikisho!"Kwa hoja hizo za Lissu mimi sina ubavu wa kuzipinga kwa kuwa ametaja na vifungu vya kisheria vya wakati huo, tukubali tu kwamba Muungano HAUNA UHALALI WOWOTE WA KISHERIA!

Hata hivyo, Tundu Lissu alifikiri kwamba hoja hiyo inamu-implicate tu Nyerere ambaye amemtaja mara nyingi kwamba mambo mengi ameyafanya kwa AMRI YA RAIS. Mambo hayo ni kamba vile:
1. Jina la Nchi,
2. Kuiua Tanganyika,
3. Nembo ya Taifa, nk.

Kama Muungano hauna uhalali wowote maana yake nini?

1. Ni kwamba Tundu Lissu alifanya makosa kugombea ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano "BATILI," kwa hiyo Ubunge wa Lissu mpaka sasa ni "BATILI!"
2. Kwamba, hata mchakato huu wa kuandika Katiba Mpya ni "BATILI" kwa kuwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba imetungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano" BATILI,"
3. Kwamba, Tundu Lissu amechangia kutunga Sheria "BATILI" za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa Bunge nalo ni "BATILI,"
4. Kwamba CHADEMA nacho ni chama "BATILI" kwa kuwa kimeundwa kwa Mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa ambayo imetungwa na Bunge "BATILI" la Muungano,
5. Kwamba, shughuli zote za kisiasa za Tundu Lissu hazina uhalali wowote wa Kisheria kwa kuwa zimefanywa kwa kufuata Sheria za Muungano "BATILI,"
6. Kama Lissu ana vyeti vya Shule za Tanzania navyo ni "BATILI" kwa kuwa vimetolewa na Serikali "BATILI,"
7. Kama Tundu Lissu amezaliwa baada ya Muungano na kupewa Cheti cha Kuzaliwa ahesabu kuwa ni "BATILI" mpaka sasa,
8. Kesi zote alizoshinda Tundu Lissu mahakamani ajue kwamba ni "UBATILI" mtupu maana" MUUNGANO HUU NI BATILI," kwa hiyo hata mahakama za Muungano ni "BATILI,"
9. Kama Tundu Lissu ameoa baada ya Muungano ajue kuwa ameumia, ni ndoa "BATILI" hiyo!!!
10..................

Hongera sana Tundu Lissu kwa Hotuba Murua...............Ila usiendelee kuwepo kwenye BUNGE hilo "BATILI" kwa kuwa limeundwa na Sheria "BATILI!!!" Tafadhali sana, I am not joking, this time around!

Basi kama hayo yote uliyoyaorodhesha ni BATILI, Tundu Lissu yuko sahihi kwa kuwafumbua macho wananchi hayo mambo uliyoyaorodhesha na kuita BATILI kuliko watu wasiambiwe ukweli. Basi ni muda muafaka wa kuyarekebisha kisheria ili kuyatoa kwenye huo UBATILI hadi kwenye UHALALI.
 
Buchanan

Huko nyuma uthibitisho wa uhalali wa Muungano ulikuwa kama "Holy Gray". Lakini kupitia Bunge maalum katiba mambo yamefumuka hasa baada ya kuwasilisha saini ya Julius wa "Mtaa wa Samora!"

Hivyo kama unatak kumpinga Lissu inabidi ulete Hati halisi ya Muungano. Otherwise hoja ya Lissu inasimama.
 
Last edited by a moderator:
Basi kama hayo yote uliyoyaorodhesha ni BATILI, Tundu Lissu yuko sahihi kwa kuwafumbua macho wananchi hayo mambo uliyoyaorodhesha na kuita BATILI kuliko watu wasiambiwe ukweli. Basi ni muda muafaka wa kuyarekebisha kisheria ili kuyatoa kwenye huo UBATILI hadi kwenye UHALALI.

Kinachonishangaza ni pale Tundu Lissu anapomtunishi msuli Baba wa Taifa wakati yeye Tundu Lissu ameshiriki kutunga Sheria Batili, Kujiunga na Chama BATILI, nk!
 
Utarekebishaje kwa utaratibu BATILI mkuu, maana mpaka sasa Bunge Maalum la Katiba ni BATILI, labda tumuulize "Mwanasheria Nguli" Tundu Lissu atuelimishe pa kuanzia!

Kila kitu kifutwe tuanze upya. Pia kura ya maoni!
 
Back
Top Bottom