Jinsi Tundu Lissu Alivyojikaanga Kwa "Mafuta ya Taaluma Yake!!"

Jinsi Tundu Lissu Alivyojikaanga Kwa "Mafuta ya Taaluma Yake!!"

Humu naona hakuna tena mwenye akili.
Woye mmebakia na akili za chitchat tu.
 
Wakuu,
Haina shaka kwamba Hotuba ya Tundu Lissu imevuta hisia za washabiki wengi wa "Serikali 3/Nchi 3!" Pia nichukue nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa huyo kwa kuwasilisha maoni ya wachache na kuchambua Sheria akienda sambamba na historia ya Muungano wetu tangu kuundwa kwake mpaka leo.
Mwanasheria huyo nguli, kama baadhi wanavyomwita ameenda mbali sana, bila kuuma maneno akidai kwamba Muungano wetu wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar hauna uhalali wowote wa kisheria kwa kuwa haukuridhiwa na Baraza la Wawakilishi, hata kama uliridhiwa na Bunge la Tanganyika tu!

Amedai pia kwamba kwa sasa tufute Sikukuu ya Muungano wetu na kuanzisha
"Siku ya Shirikisho!"Kwa hoja hizo za Lissu mimi sina ubavu wa kuzipinga kwa kuwa ametaja na vifungu vya kisheria vya wakati huo, tukubali tu kwamba Muungano HAUNA UHALALI WOWOTE WA KISHERIA!

Hata hivyo, Tundu Lissu alifikiri kwamba hoja hiyo inamu-implicate tu Nyerere ambaye amemtaja mara nyingi kwamba mambo mengi ameyafanya kwa AMRI YA RAIS. Mambo hayo ni kamba vile:
1. Jina la Nchi,
2. Kuiua Tanganyika,
3. Nembo ya Taifa, nk.

Kama Muungano hauna uhalali wowote maana yake nini?

1. Ni kwamba Tundu Lissu alifanya makosa kugombea ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano "BATILI," kwa hiyo Ubunge wa Lissu mpaka sasa ni "BATILI!"
2. Kwamba, hata mchakato huu wa kuandika Katiba Mpya ni "BATILI" kwa kuwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba imetungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano" BATILI,"
3. Kwamba, Tundu Lissu amechangia kutunga Sheria "BATILI" za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa Bunge nalo ni "BATILI,"
4. Kwamba CHADEMA nacho ni chama "BATILI" kwa kuwa kimeundwa kwa Mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa ambayo imetungwa na Bunge "BATILI" la Muungano,
5. Kwamba, shughuli zote za kisiasa za Tundu Lissu hazina uhalali wowote wa Kisheria kwa kuwa zimefanywa kwa kufuata Sheria za Muungano "BATILI,"
6. Kama Lissu ana vyeti vya Shule za Tanzania navyo ni "BATILI" kwa kuwa vimetolewa na Serikali "BATILI,"
7. Kama Tundu Lissu amezaliwa baada ya Muungano na kupewa Cheti cha Kuzaliwa ahesabu kuwa ni "BATILI" mpaka sasa,
8. Kesi zote alizoshinda Tundu Lissu mahakamani ajue kwamba ni "UBATILI" mtupu maana" MUUNGANO HUU NI BATILI," kwa hiyo hata mahakama za Muungano ni "BATILI,"
9. Kama Tundu Lissu ameoa baada ya Muungano ajue kuwa ameumia, ni ndoa "BATILI" hiyo!!!
10..................

Hongera sana Tundu Lissu kwa Hotuba Murua...............Ila usiendelee kuwepo kwenye BUNGE hilo "BATILI" kwa kuwa limeundwa na Sheria "BATILI!!!" Tafadhali sana, I am not joking, this time around!
Tokea umoderator uote mbawa naona umepagawa
 
Hao chadema wanaosema muungano ni batili kwa sababu hakupata ridhaa ya wananchi naona kabisaa wamechanyikiwa ebu na mimi niwaulize. Je wajua kuunzishwa kwa vyama vingi nchi hakuwa ridhaa ya wananchi(batili) kwa kuwa asilimia kubwa hawakutaka vyama vingi?
 
Buchanan,

Kumbuka Nyerere pia aliwahi kuwa mjumbe wa baraza la kutunga sheria wakati wa mkoloni, sheria ambazo zilikuwa "batili".

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Sidhani kama hili ni sahihi; Nyerere hakuwahi kupinga na kusema kuwa sheria zilizotungwa na mkoloni zilikuwa batili; na wala hakusema kuwa baraza la kutunga sheria lilikuwa haramu vile vile. Kuna tofauti ya msingi ya hoja ya Nyerere na watu wanaosema kuwa Muungano ni haramu lakini wakati huo huo wanakubali madaraka waliyonayo yanayotokana na Muungano huo. Mtu hawezi kusema ndoa ni haramu halafu wakati huo huo akataka wagawane mapato ya ndoa!
 
na jf ni batili kwakuwa imesajiliwa kwa mujibu wa sheria za jamuhuri batili ys muungano....

na tuliojiunga jf wote ni batili na point zote tulizochangia ni batili na thread yako uliyoleta haps jamvini ni batili na mchango wangu huu wa sasa ni batili na ikitokea mtu yeyote akaujibu ni batili...

everything batili
 
Hivi Muungano BATILI unaweza ukaunda Taasisi yoyote HALALI? Kama kuua Tanganyika hakukuwa HALALI hata kuunda Taasisi yoyote ndani ya Muungano hakutakuwa HALALI, labda kama unatofautiana na "Mwanasheria Nguli!"

Mkuu ninachoona hata wewe unakubali kuwa Lisu kaweka facts na ndio ukweli, kuliko kukimbilia kumsakama Lisu unaonnaje ukaishauri serikali yako ikatumia muda huu kurekebisha vyote hivyo.

kwani hata tukisema Lisu aondoke bungeni chadema waondoke hukuleti uhalali wa jambo, na dawa sio kukimbia tatizo bali kutibu, ndio maana wapo hapo mkuu.
 
Mwenzako William Malecela ameshawaambia lilikuwa wiki mbaya kwenu watetezi wa serikali 2,Chris Lukosi mwenyewe akamuangukia Tundu Lissu na kukiri huyu jamaa ni kiboko,Ole Sendeka mwenyewe alishamuomba JK ampe huyu jamaa uwaziri wa wizara ya katiba na sheria halafu wewe unataka kuja hapa na tuhoja twepesi kwa LISSU,ACHANA NA TUNDU LISSU WEWE!
 
Sidhani kama hili ni sahihi; Nyerere hakuwahi kupinga na kusema kuwa sheria zilizotungwa na mkoloni zilikuwa batili; na wala hakusema kuwa baraza la kutunga sheria lilikuwa haramu vile vile. Kuna tofauti ya msingi ya hoja ya Nyerere na watu wanaosema kuwa Muungano ni haramu lakini wakati huo huo wanakubali madaraka waliyonayo yanayotokana na Muungano huo. Mtu hawezi kusema ndoa ni haramu halafu wakati huo huo akataka wagawane mapato ya ndoa!

Mtoto wako ukimzaa nje ya ndoa anakua ni mtoto wa nje ya ndoa (batili),
Je, utamtupa ati kisa na wa nje ya ndoa?, si sahihi hata kidogo....
Vita ni mbaya kwa uhai wako ila ni lazima uingie humo ili ushindane na adui yako kwa ajili ya kulinda heshima ya kizazi chako.
 
Wakuu,
Haina shaka kwamba Hotuba ya Tundu Lissu imevuta hisia za washabiki wengi wa "Serikali 3/Nchi 3!" Pia nichukue nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa huyo kwa kuwasilisha maoni ya wachache na kuchambua Sheria akienda sambamba na historia ya Muungano wetu tangu kuundwa kwake mpaka leo.
Mwanasheria huyo nguli, kama baadhi wanavyomwita ameenda mbali sana, bila kuuma maneno akidai kwamba Muungano wetu wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar hauna uhalali wowote wa kisheria kwa kuwa haukuridhiwa na Baraza la Wawakilishi, hata kama uliridhiwa na Bunge la Tanganyika tu!

Amedai pia kwamba kwa sasa tufute Sikukuu ya Muungano wetu na kuanzisha
"Siku ya Shirikisho!"Kwa hoja hizo za Lissu mimi sina ubavu wa kuzipinga kwa kuwa ametaja na vifungu vya kisheria vya wakati huo, tukubali tu kwamba Muungano HAUNA UHALALI WOWOTE WA KISHERIA!

Hata hivyo, Tundu Lissu alifikiri kwamba hoja hiyo inamu-implicate tu Nyerere ambaye amemtaja mara nyingi kwamba mambo mengi ameyafanya kwa AMRI YA RAIS. Mambo hayo ni kamba vile:
1. Jina la Nchi,
2. Kuiua Tanganyika,
3. Nembo ya Taifa, nk.

Kama Muungano hauna uhalali wowote maana yake nini?

1. Ni kwamba Tundu Lissu alifanya makosa kugombea ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano "BATILI," kwa hiyo Ubunge wa Lissu mpaka sasa ni "BATILI!"
2. Kwamba, hata mchakato huu wa kuandika Katiba Mpya ni "BATILI" kwa kuwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba imetungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano" BATILI,"
3. Kwamba, Tundu Lissu amechangia kutunga Sheria "BATILI" za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa Bunge nalo ni "BATILI,"
4. Kwamba CHADEMA nacho ni chama "BATILI" kwa kuwa kimeundwa kwa Mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa ambayo imetungwa na Bunge "BATILI" la Muungano,
5. Kwamba, shughuli zote za kisiasa za Tundu Lissu hazina uhalali wowote wa Kisheria kwa kuwa zimefanywa kwa kufuata Sheria za Muungano "BATILI,"
6. Kama Lissu ana vyeti vya Shule za Tanzania navyo ni "BATILI" kwa kuwa vimetolewa na Serikali "BATILI,"
7. Kama Tundu Lissu amezaliwa baada ya Muungano na kupewa Cheti cha Kuzaliwa ahesabu kuwa ni "BATILI" mpaka sasa,
8. Kesi zote alizoshinda Tundu Lissu mahakamani ajue kwamba ni "UBATILI" mtupu maana" MUUNGANO HUU NI BATILI," kwa hiyo hata mahakama za Muungano ni "BATILI,"
9. Kama Tundu Lissu ameoa baada ya Muungano ajue kuwa ameumia, ni ndoa "BATILI" hiyo!!!
10..................

Hongera sana Tundu Lissu kwa Hotuba Murua...............Ila usiendelee kuwepo kwenye BUNGE hilo "BATILI" kwa kuwa limeundwa na Sheria "BATILI!!!" Tafadhali sana, I am not joking, this time around!

Ndio ----- gani huu?
 
Hao chadema wanaosema muungano ni batili kwa sababu hakupata ridhaa ya wananchi naona kabisaa wamechanyikiwa ebu na mimi niwaulize. Je wajua kuunzishwa kwa vyama vingi nchi hakuwa ridhaa ya wananchi(batili) kwa kuwa asilimia kubwa hawakutaka vyama vingi?

Kwa kuwa ni Batili lazima iwekwe wazi, na siyo kukaa kimya. Hivyo baada ya Batili kujulikana, ni wakati Muafaka kukaa chini na KUHALALISHA!
 
Mto maada ulikua wapi kutupa nondo kama hizo za lissu?
leo hii nyie watetezi wa s2 mmeanza kutapatapa mnataka mtuyumbishe?
hakika hiyo dhambi yenu ya s2 isiyo na mashiko itawatafuna mpaka s3 zitakapo simama
 
Mto maada ulikua wapi kutupa nondo kama hizo za lissu?
leo hii nyie watetezi wa s2 mmeanza kutapatapa mnataka mtuyumbishe?
hakika hiyo dhambi yenu ya s2 isiyo na mashiko itawatafuna mpaka s3 zitakapo simama

Mkuu mimi niko pamoja na Mh Tundu Lissu, kwamba Muungano ni HARAMU! Sasa "dhambi" yangu iko wapi?
 
Mkuu na wewe kwa maoni ya Tundu Lissu inawezekana umesoma na kupata vyeti visivyo halali, ndio maoni ya "Mwanasheria nguli" sio mimi!!

ukweli utabaki kua ukweli na kweli humuweka mtu huru,usipinge ukweli kwa mbwembwe za kutoka usingizini ili uonekane umetetea utumbo wa viongozi wako kwa ushabiki wa kisiasa,na kama umesifu hotuba unamaanisha uliikubali,hata ww kila kitu chako ni batili kama ni mtanzania lakini.
 
Wakuu,
Haina shaka kwamba Hotuba ya Tundu Lissu imevuta hisia za washabiki wengi wa "Serikali 3/Nchi 3!" Pia nichukue nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa huyo kwa kuwasilisha maoni ya wachache na kuchambua Sheria akienda sambamba na historia ya Muungano wetu tangu kuundwa kwake mpaka leo.
Mwanasheria huyo nguli, kama baadhi wanavyomwita ameenda mbali sana, bila kuuma maneno akidai kwamba Muungano wetu wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar hauna uhalali wowote wa kisheria kwa kuwa haukuridhiwa na Baraza la Wawakilishi, hata kama uliridhiwa na Bunge la Tanganyika tu!

Amedai pia kwamba kwa sasa tufute Sikukuu ya Muungano wetu na kuanzisha
"Siku ya Shirikisho!"Kwa hoja hizo za Lissu mimi sina ubavu wa kuzipinga kwa kuwa ametaja na vifungu vya kisheria vya wakati huo, tukubali tu kwamba Muungano HAUNA UHALALI WOWOTE WA KISHERIA!

Hata hivyo, Tundu Lissu alifikiri kwamba hoja hiyo inamu-implicate tu Nyerere ambaye amemtaja mara nyingi kwamba mambo mengi ameyafanya kwa AMRI YA RAIS. Mambo hayo ni kamba vile:
1. Jina la Nchi,
2. Kuiua Tanganyika,
3. Nembo ya Taifa, nk.

Kama Muungano hauna uhalali wowote maana yake nini?

1. Ni kwamba Tundu Lissu alifanya makosa kugombea ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano "BATILI," kwa hiyo Ubunge wa Lissu mpaka sasa ni "BATILI!"
2. Kwamba, hata mchakato huu wa kuandika Katiba Mpya ni "BATILI" kwa kuwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba imetungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano" BATILI,"
3. Kwamba, Tundu Lissu amechangia kutunga Sheria "BATILI" za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa Bunge nalo ni "BATILI,"
4. Kwamba CHADEMA nacho ni chama "BATILI" kwa kuwa kimeundwa kwa Mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa ambayo imetungwa na Bunge "BATILI" la Muungano,
5. Kwamba, shughuli zote za kisiasa za Tundu Lissu hazina uhalali wowote wa Kisheria kwa kuwa zimefanywa kwa kufuata Sheria za Muungano "BATILI,"
6. Kama Lissu ana vyeti vya Shule za Tanzania navyo ni "BATILI" kwa kuwa vimetolewa na Serikali "BATILI,"
7. Kama Tundu Lissu amezaliwa baada ya Muungano na kupewa Cheti cha Kuzaliwa ahesabu kuwa ni "BATILI" mpaka sasa,
8. Kesi zote alizoshinda Tundu Lissu mahakamani ajue kwamba ni "UBATILI" mtupu maana" MUUNGANO HUU NI BATILI," kwa hiyo hata mahakama za Muungano ni "BATILI,"
9. Kama Tundu Lissu ameoa baada ya Muungano ajue kuwa ameumia, ni ndoa "BATILI" hiyo!!!
10..................

Hongera sana Tundu Lissu kwa Hotuba Murua...............Ila usiendelee kuwepo kwenye BUNGE hilo "BATILI" kwa kuwa limeundwa na Sheria "BATILI!!!" Tafadhali sana, I am not joking, this time around!

Bure kabisa....
 
Back
Top Bottom