Jinsi Tundu Lissu Alivyojikaanga Kwa "Mafuta ya Taaluma Yake!!"

Jinsi Tundu Lissu Alivyojikaanga Kwa "Mafuta ya Taaluma Yake!!"

CCM hamna hoja kabisaaaaa!!!! Semeni mna wingi wenu tu katika Bunge la Katiba, wingi alioutengeneza JK kimakusudi. Hamuwezi kushindana na Lissu hata siku moja! Kuna mmoja (Shekifu nadhani) eti katoa hoja kwamba Lissu alimdhihaki Nyerere! Kuna watu wanaomdhihaki Nyerere zaidi ya nyie MaCCM? Mmeacha mafundisho ya maadili yake, miiko ya uongozi na kujichimbia katika ufisadi unaoliangamiza taifa? Huko ni kumdhihaki Nyerere!
 
Lissu akisema Muungano ni batili kuna kosa gani kama siyo batili. Yes vyote vilivyotonanvyo na ubatili huo ni batili. So what? What's wrong mtu mmoja akawazindua wengine kuhusu jambo lolote lililokosewa nyuma? Inabidi ashukuriwe na marekebishio yafanywe.

CCM mnahangaika tu hapa kwani mmezidiwa hoja na mnaoowaita 'wachache' -- uwingi wenu wa kulazimisha tu!
 
Mkuu Buchanan nimesoma andiko lako mara mbili mbili,nimeshindwa kubaini hoja yako dhidi ya Lissu ni nini haswa.Labda nianze na maelezo mafupi sana ambayo yanaweza kuondoa sintofahamu ya kile Mheshimiwa Lissu alichosema.

Muungano wa Jamhuri ya Tanganyika na ile ya Zanzibar haukufuata taratibu za kisheria.Ikiwa taratibu hazikufuatwa maana yake ni moja nayo muungano wetu ni batili.JMT imeishi kwa zaidi ya nusu karne sasa katika hali ya kutishana,usiri,kufukuzana na nk kwasababu wahasisi walijua muungano walioujenga hakuwa halali wakamua kufuata njia ya vitisho na ndicho kinachoendelea katika bunge la katiba waumini wa serekali 2 hawana hoja wanatumia vitisho zaidi kwakuwa hoja zao hazina mashiko.

Asipokuelewa hapa inabidi apelekwe mirembe university!!
 
Last edited by a moderator:
Kama tumeishi hivyo alivyosema, je tuendelee hivyo hivyo. Nadhani ni nafasi nzuri na ya kipekee kujirekebisha. Hapa ndipo pale mkuu wa nchi anaposema changanya na za kwako. Walifanya hivyo tuchanganyeni zetu - turekebishe UBATILI huu wote

Swali gumu hawezi kujibu. Kama atasema tuendelee hivyo hivyo basi mirembe itakuwa inamhusu!!
 
Sijapata kuona kilaza kama wewe.kama tulisema ukoloni ni batili na waliotawaliwa ni batili.if you want to win somebody join him.
ukiwacna akili kiduchu huwezi kumielewa Lissu.
 
There you are!! Kama Sheria huwa zinafanya kazi kwa wakati husika, basi kwa nini Tundu Lissu amedai kuwa Muungano wetu SI HALALI KISHERIA?

No supporting evidence za Muungano. Mf HATI
 
Sielewi hata kwanini watu wanashushiana heshima kisa muungano... peopleeeee tumieni busara zenu kurudisha amani inayotaka kutoweka..
 
Asipokuelewa hapa inabidi apelekwe mirembe university!!

Nimemwelewa sana ila tunatofautiana kitu kimoja tu! Yeye anazungumzia alichokisema Lissu tu basi, mimi nasema alichokizungumzia Lissu na implication yake ni ipi!
 
No supporting evidence za Muungano. Mf HATI

Yes NO SUPPORTING EVIDENCE! Implication yake ni kwamba Muungano ni BATILI na yote yaliyofanywa na Muungano BATILI nayo ni batili including Ubunge wa Lissu!
 
Mkuu sijaona tatizo la Lissu, ameongea facts,.

Unaweza kuzipinga kwa hoja?

Tunakubali Hoja murua za Lissu ila atoke kwenye Bunge BATILI aendelee na Shughuli nyinginezo! Ya nini kuendeleza UBATILI?
 
Sijapata kuona kilaza kama wewe.kama tulisema ukoloni ni batili na waliotawaliwa ni batili.if you want to win somebody join him.
ukiwacna akili kiduchu huwezi kumielewa Lissu.

Aliyesema kuwa Muungano ni BATILI ni Tundu Lissu sio mimi, usichanganye madesa hapa!
 
Toka ufuluzwe kazi ya kupiga BAN watu unaonekana umevurugika kiakili pole mkuu.

Niko fit mkuu, hiyo pole mpeleke "Mwanasheria Nguli" aliyejikaanga kwa mafuta ya Taaluma yake!
 
Back
Top Bottom