Jinsi uanaume unavyofanywa kuwa complicated siku hizi!

Jinsi uanaume unavyofanywa kuwa complicated siku hizi!

Mtu Kwao

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2019
Posts
394
Reaction score
720
Wana MMU Salaam

Miaka ya karibuni kumeibuka tabia fulani hivi ya kufanya uanaume uwe mgumu Sana. Yani Kuna vitu ambavyo baadhi wanadai mwanaume Atakiwi kuvifanya lakini kwa uhalisia ni vitu vya kawaida.

Mfano:
  • Mwanaume ukimtembelea mwanaume mwenzako ambae anaumwa et utakiwi kumwambia neno pole ukimwambia basi tayari we si mwanaume.
  • Mwanaume utakiwi kumtakia usiku mwema mwanaume mwenzako.
  • Mwanaume hutakiwi kujua siku yako ya kuzaliwa.
  • Mwanaume asie mpiga mke wake huyo si mwanaume
Ni mengi sana emu na wewe ongezea mambo ambayo yamefanya uanaume uwe complicated na haya maana yoyote

Nawasilisha
 
Mengine ni mtu na mtu

Nshauguza mshikaji wangu tulkuw ghetto mwaka wa kwanza mpaka anapona ni kama 4 days hoi hoi lakin hata pole sikumpa ni nahakikisha anakula kila kitu kipo dawa anakunywa safi tu hadi akapona
 
Code za kiume.
Pole = "we boya kaza, hakikisha haufi kizembe.

Usiku mwema = "oya, baadae!"

Siku ya kuzaliwa = hakuna kujipost kiboya. Siku ya kuzaliwa inamaanisha unakikaribia kifo. Pambana kiume.

Kupiga mwanamke = huo ni udhaifu na sio uanaume!
 
Code za kiume/kihuni:

Rafiki - Mwanangu, Homboi, kichaa, msela, buda.
Salamu - Oi!, Niaje?, Kama kawa?, Freshii?
Kuagana - Mida Mida, Najikataa, Nacheza, Hivii!
Vivumishi - Kmmmk walai, msng, choko, Nyokow,

Mushy codes/ Gay Codes:

Rafiki - Best, Udugu, Twini, Shooh, mai wangu.
Salamu - Mambo, Mzima, Za wewe, Upoo.
Kuagana - Bye, Ntakumiso, Usiondoke
Vivumishi - Jomoni, Wacha we, ilooh, Zurii, Bayaa,akuu.

Choose your destiny😂😂😂
 
Back
Top Bottom