Jinsi uanaume unavyofanywa kuwa complicated siku hizi!

Jinsi uanaume unavyofanywa kuwa complicated siku hizi!

Code za kiume/kihuni:

Rafiki - Mwanangu, Homboi, kichaa, msela, buda.
Salamu - Oi!, Niaje?, Kama kawa?, Freshii?
Kuagana - Mida Mida, Najikataa, Nacheza, Hivii!
Vivumishi - Kmmmk walai, msng, choko, Nyokow,

Mushy codes/ Gay Codes:

Rafiki - Best, Udugu, Twini, Shooh, mai wangu.
Salamu - Mambo, Mzima, Za wewe, Upoo.
Kuagana - Bye, Ntakumiso, Usiondoke
Vivumishi - Jomoni, Wacha we, ilooh, Zurii, Bayaa,akuu.

Choose your destiny😂😂😂
Naongezea hapo.

RAFIKI 👉🏾 Wauchungu😂 (Kuna jamaa mmoja R.I.P alikuwa rafiki wa demu wangu, alipenda sana kuniita hivyo enzi za skuli, nikawa nashangaa sana yani)
 
Wana MMU Salam...

Miaka ya karibuni kumeibuka tabia fulani hivi ya kufanya uanaume uwe mgumu Sana. Yani Kuna vitu ambavyo baadhi wanadai mwanaume Atakiwi kuvifanya lakini kwa uhalisia ni vitu vya kawaida.

Mfano...
  • Mwanaume ukimtembelea mwanaume mwenzako ambae anaumwa et utakiwi kumwambia neno pole ukimwambia basi tayari we si mwanaume.
  • Mwanaume utakiwi kumtakia usiku mwema mwanaume mwenzako.
  • Mwanaume hutakiwi kujua siku yako ya kuzaliwa.
  • Mwanaume asie mpiga mke wake huyo si mwanaume
Ni mengi sana emu na wewe ongezea mambo ambayo yamefanya uanaume uwe complicated na haya maana yoyote

Nawasilisha
Mwanaume kumtumia sms mwanaume mwenzie mamboo
 
Wana MMU Salam...

Miaka ya karibuni kumeibuka tabia fulani hivi ya kufanya uanaume uwe mgumu Sana. Yani Kuna vitu ambavyo baadhi wanadai mwanaume Atakiwi kuvifanya lakini kwa uhalisia ni vitu vya kawaida.

Mfano...
  • Mwanaume ukimtembelea mwanaume mwenzako ambae anaumwa et utakiwi kumwambia neno pole ukimwambia basi tayari we si mwanaume.
  • Mwanaume utakiwi kumtakia usiku mwema mwanaume mwenzako.
  • Mwanaume hutakiwi kujua siku yako ya kuzaliwa.
  • Mwanaume asie mpiga mke wake huyo si mwanaume
Ni mengi sana emu na wewe ongezea mambo ambayo yamefanya uanaume uwe complicated na haya maana yoyote

Nawasilisha
Of course it isn't

One group's clearly lumbered with much greater burden than the other

So why would you exclusively confine these burdens to a group if that group isn't more competent or otherwise better suited to enduring a greater level of stress + complexity than the other?
 
Mnataka kuwatetea wanaoandika "tyu" na "jomoni" hapa kama unamtumia mwanaume mwenzio vikopa kopa unazingua , unamwandikia "i miss you" unazingua !! Wengine wanaanza na "mambo" kumtumia mwanaume ujumbe !!! Sema habari au niaje!!!
Na emoji baadhi muwe mnaangalia
 
Code za kiume.
Pole = "we boya kaza, hakikisha haufi kizembe.
Usiku mwema = "oya, baadae!"
Siku ya kuzaliwa = hakuna kujipost kiboya. Siku ya kuzaliwa inamaanisha unakikaribia kifo. Pambana kiume
Kupiga mwanamke = huo ni udhaifu na sio uanaume!
Hapo kupga mwanamke nakupinga....hawa viumbe wanakeraa...lazma kuna muda ale hata banzi mbili ili ajue mipaka yake...si anakubetulia kimdomo hadi majiran wanaskia afu nimkaushie tu
 
Hapo kupga mwanamke nakupinga....hawa viumbe wanakeraa...lazma kuna muda ale hata banzi mbili ili ajue mipaka yake...si anakubetulia kimdomo hadi majiran wanaskia afu nimkaushie tu
My nigga, ukifika a point ya kupigana na mwanamke, bora umuache tu. Maana kitu kikubwa mwanaume anachohitaji kwa mwanamke ni heshima. Sasa mkifika point ya kubetuliana mdomo ina maana mwanamke hakuheshim tena. Either kosa litakua kwako au kwake. So hata ukimpiga, tayari ashakua na dharau na umempoteza.
Ukiweza kumcontrol mwanamke wako hauez kumpiga makofi. Ukishasema neno tu, anafyata na kutulia.
 
My nigga, ukifika a point ya kupigana na mwanamke, bora umuache tu. Maana kitu kikubwa mwanaume anachohitaji kwa mwanamke ni heshima. Sasa mkifika point ya kubetuliana mdomo ina maana mwanamke hakuheshim tena. Either kosa litakua kwako au kwake. So hata ukimpiga, tayari ashakua na dharau na umempoteza.
Ukiweza kumcontrol mwanamke wako hauez kumpiga makofi. Ukishasema neno tu, anafyata na kutulia.
Hiyo c inakuwa gradual...ni action ya siku moja tu afu unamind biz zako....kuna muda wanatakiwa wakumbushwe kwa vitendo ....na akishakumbushwa mostly ananarud kweny mstar wenyew na kuonyesha ile heshima...some times kuna muda wana act kama watoto...sasa ukiendelea kulea ujinga atatakupanda kichwan
 
Code za kiume/kihuni:

Rafiki - Mwanangu, Homboi, kichaa, msela, buda.
Salamu - Oi!, Niaje?, Kama kawa?, Freshii?
Kuagana - Mida Mida, Najikataa, Nacheza, Hivii!
Vivumishi - Kmmmk walai, msng, choko, Nyokow,

Mushy codes/ Gay Codes:

Rafiki - Best, Udugu, Twini, Shooh, mai wangu.
Salamu - Mambo, Mzima, Za wewe, Upoo.
Kuagana - Bye, Ntakumiso, Usiondoke
Vivumishi - Jomoni, Wacha we, ilooh, Zurii, Bayaa,akuu.

Choose your destiny😂😂😂
Umetisha Mwamba!
 
Code za kiume/kihuni:

Rafiki - Mwanangu, Homboi, kichaa, msela, buda.
Salamu - Oi!, Niaje?, Kama kawa?, Freshii?
Kuagana - Mida Mida, Najikataa, Nacheza, Hivii!
Vivumishi - Kmmmk walai, msng, choko, Nyokow,

Mushy codes/ Gay Codes:

Rafiki - Best, Udugu, Twini, Shooh, mai wangu.
Salamu - Mambo, Mzima, Za wewe, Upoo.
Kuagana - Bye, Ntakumiso, Usiondoke
Vivumishi - Jomoni, Wacha we, ilooh, Zurii, Bayaa,akuu.

Choose your destiny[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanaume unatumiaje neno nyoko??

Ebu wajumbe njoon tumevamiwa
 
Code za kiume/kihuni:

Rafiki - Mwanangu, Homboi, kichaa, msela, buda.
Salamu - Oi!, Niaje?, Kama kawa?, Freshii?
Kuagana - Mida Mida, Najikataa, Nacheza, Hivii!
Vivumishi - Kmmmk walai, msng, choko, Nyokow,

Mushy codes/ Gay Codes:

Rafiki - Best, Udugu, Twini, Shooh, mai wangu.
Salamu - Mambo, Mzima, Za wewe, Upoo.
Kuagana - Bye, Ntakumiso, Usiondoke
Vivumishi - Jomoni, Wacha we, ilooh, Zurii, Bayaa,akuu.

Choose your destiny😂😂😂
😂😂Hakuna neno silipend mtu aniambie jomoni kha
 
Back
Top Bottom