Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hilo mkuu usipende sana kujenga mazoea na watu wa aina hiyo izo vocal ni bora akanambia demu kuliko mwanaume mwenzangu yaan ni mwiko unapaswa kumrekebisha kaka yako maana huko ndo ushoga unakoanziaga.Ni kwel hii kitu ina ukakasi sana.Kuna brother angu mmoja kanizid umeri mbali mbali mbali sana mtoto wa baba angu mkubwa alikua ananiletea hiz pigo nikawa simwelewi..nikakata mawasiliano..baada ya muda siku akanitumia text I mic u e bwana eee japo nilikua namheshim kama brother ila siku hiyo nikajikaza nikamwambia kaka mimi najiskia vibaya sana kuambiwa neno hili na mwanaume mwenzangu ..nahis ni kama nimetukanwa ...bas akaleta blah blah pale ..nikamtonya brother angu first born wetu kuhusu hili suala...akanambia kaa nae mbali sana tena kata mazoea..hakutaka kuwa muwaz kwann kasema hivyo..ila baadae nikaja gundua ndugu yetu yule sio riziki..yan bwabwa...
Ni yeye ndio alianza kunizoea..na nikaja confirm kuwa tayar jamaa ni shoga sio kwamba ndio anakoelekea...Tatizo hilo mkuu usipende sana kujenga mazoea na watu wa aina hiyo izo vocal ni bora akanambia demu kuliko mwanaume mwenzangu yaan ni mwiko unapaswa kumrekebisha kaka yako maana huko ndo ushoga unakoanziaga.