mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
[emoji3][emoji3]Ndio, huo ni umama sa wewe endelea kama hujaota matiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Ndio, huo ni umama sa wewe endelea kama hujaota matiti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Code za kiume/kihuni:
Rafiki - Mwanangu, Homboi, kichaa, msela, buda.
Salamu - Oi!, Niaje?, Kama kawa?, Freshii?
Kuagana - Mida Mida, Najikataa, Nacheza, Hivii!
Vivumishi - Kmmmk walai, msng, choko, Nyokow,
Mushy codes/ Gay Codes:
Rafiki - Best, Udugu, Twini, Shooh, mai wangu.
Salamu - Mambo, Mzima, Za wewe, Upoo.
Kuagana - Bye, Ntakumiso, Usiondoke
Vivumishi - Jomoni, Wacha we, ilooh, Zurii, Bayaa,akuu.
Choose your destiny[emoji23][emoji23][emoji23]
Salamu; Mambo, niambie myCode za kiume/kihuni:
Rafiki - Mwanangu, Homboi, kichaa, msela, buda.
Salamu - Oi!, Niaje?, Kama kawa?, Freshii?
Kuagana - Mida Mida, Najikataa, Nacheza, Hivii!
Vivumishi - Kmmmk walai, msng, choko, Nyokow,
Mushy codes/ Gay Codes:
Rafiki - Best, Udugu, Twini, Shooh, mai wangu.
Salamu - Mambo, Mzima, Za wewe, Upoo.
Kuagana - Bye, Ntakumiso, Usiondoke
Vivumishi - Jomoni, Wacha we, ilooh, Zurii, Bayaa,akuu.
Choose your destiny😂😂😂
Mchina mshenzi sana😂😂😂Kizazi sana.View attachment 2298358
Kwan ubaya ni upi au ni Nini maana ya usiku mwemaHahahahaha sa unamwambiaje mwanaume mwenzako usikumwema asee[emoji23][emoji23][emoji23] tena kwa txt!????
Labda mnaongea insue ya muhim af baadae ndo umalizie hvyo na kusepa
[emoji23][emoji23]Unamwambiaje Mwanaume mwenzako 'bye'
Awachelew kukuambia mwanaume una chat Nini na mwanaume mwenzako[emoji23]Hahahh hilo neno usiku mwema huwa sipendi kutumia nkimaliza kuchat na mshkaji labda awe demu.
Mbona kaka na baba zetu wanatuambia Sana ilo neno haujamboMwanaume hutakiwi kumuuliza mwanaume mwenzio "haujambo?"
Nalog off Z
Eti my wangu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Code za kiume/kihuni:
Rafiki - Mwanangu, Homboi, kichaa, msela, buda.
Salamu - Oi!, Niaje?, Kama kawa?, Freshii?
Kuagana - Mida Mida, Najikataa, Nacheza, Hivii!
Vivumishi - Kmmmk walai, msng, choko, Nyokow,
Mushy codes/ Gay Codes:
Rafiki - Best, Udugu, Twini, Shooh, mai wangu.
Salamu - Mambo, Mzima, Za wewe, Upoo.
Kuagana - Bye, Ntakumiso, Usiondoke
Vivumishi - Jomoni, Wacha we, ilooh, Zurii, Bayaa,akuu.
Choose your destiny[emoji23][emoji23][emoji23]
Usimuulize mwanaume mwenzio "haujambo"?Mbona kaka na baba zetu wanatuambia Sana ilo neno haujambo
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwanaume hatakiwi kumwacha mdada walale wote Bila kuchakata mbususu.
Kinyume na hapo sio mwanaume.
Kha! Unamwambiaje mwanaume mwenzio?
- Mwanaume utakiwi kumtakia usiku mwema mwanaume mwenzako.
- Mwanaume hutakiwi kujua siku yako ya kuzaliwa.
Ukiona mwanamke anakubetulia mdomo jua huyo hakupendi. Ukimpenda mtu huwezifanya hivyo asilani.My nigga, ukifika a point ya kupigana na mwanamke, bora umuache tu. Maana kitu kikubwa mwanaume anachohitaji kwa mwanamke ni heshima. Sasa mkifika point ya kubetuliana mdomo ina maana mwanamke hakuheshim tena. Either kosa litakua kwako au kwake. So hata ukimpiga, tayari ashakua na dharau na umempoteza.
Ukiweza kumcontrol mwanamke wako hauez kumpiga makofi. Ukishasema neno tu, anafyata na kutulia.
Silipendi hilo neno jamani, mwanaume akiiniita hivyo sijui namchukuliaje.Eti my wangu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
i choose shalox aka shalomCode za kiume/kihuni:
Rafiki - Mwanangu, Homboi, kichaa, msela, buda.
Salamu - Oi!, Niaje?, Kama kawa?, Freshii?
Kuagana - Mida Mida, Najikataa, Nacheza, Hivii!
Vivumishi - Kmmmk walai, msng, choko, Nyokow,
Mushy codes/ Gay Codes:
Rafiki - Best, Udugu, Twini, Shooh, mai wangu.
Salamu - Mambo, Mzima, Za wewe, Upoo.
Kuagana - Bye, Ntakumiso, Usiondoke
Vivumishi - Jomoni, Wacha we, ilooh, Zurii, Bayaa,akuu.
Choose your destiny[emoji23][emoji23][emoji23]