Mikausho fulani hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mengine ni mtu na mtu
Nshauguza mshikaji wangu tulkuw ghetto mwaka wa kwanza mpaka anapona ni kama 4 days hoi hoi lakin hata pole sikumpa ni nahakikisha anakula kila kitu kipo dawa anakunywa safi tu hadi akapona
Huyu jamaa kanichekesha sanaHahahahaha sa unamwambiaje mwanaume mwenzako usikumwema asee[emoji23][emoji23][emoji23] tena kwa txt!????
Labda mnaongea insue ya muhim af baadae ndo umalizie hvyo na kusepa
Hahahh au unatumiwa text ya mambo na mwanaume mwenzako si umama huo.Unamwambiaje Mwanaume mwenzako 'bye'
HopelessMwanaume hatakiwi kumwacha mdada walale wote Bila kuchakata mbususu.
Kinyume na hapo sio mwanaume.
Ndio, huo ni umama sa wewe endelea kama hujaota matitiWana MMU Salam...
Miaka ya karibuni kumeibuka tabia fulani hivi ya kufanya uanaume uwe mgumu Sana. Yani Kuna vitu ambavyo baadhi wanadai mwanaume Atakiwi kuvifanya lakini kwa uhalisia ni vitu vya kawaida...
Ushkaji upo kwenye vitendo sio kwenye manenoMengine ni mtu na mtu
Nshauguza mshikaji wangu tulkuw ghetto mwaka wa kwanza mpaka anapona ni kama 4 days hoi hoi lakin hata pole sikumpa ni nahakikisha anakula kila kitu kipo dawa anakunywa safi tu hadi akapona