Jinsi uanaume unavyofanywa kuwa complicated siku hizi!

Mwanaume Kuchagua mafuta ya kupaka huo nao ni umama
Mafuta yyte sisi tunapaka ata petrol tukikosa ya dukani
 
Muuza chipsi aacha kununua tango baada ya kuulizwa una nunua ili iweje😎
 
Tatizo hilo mkuu usipende sana kujenga mazoea na watu wa aina hiyo izo vocal ni bora akanambia demu kuliko mwanaume mwenzangu yaan ni mwiko unapaswa kumrekebisha kaka yako maana huko ndo ushoga unakoanziaga.
 
Tatizo hilo mkuu usipende sana kujenga mazoea na watu wa aina hiyo izo vocal ni bora akanambia demu kuliko mwanaume mwenzangu yaan ni mwiko unapaswa kumrekebisha kaka yako maana huko ndo ushoga unakoanziaga.
Ni yeye ndio alianza kunizoea..na nikaja confirm kuwa tayar jamaa ni shoga sio kwamba ndio anakoelekea...
 
Wanaume ni kupeana vyeo vya kikamanda tu.Chief,Mkuu,Tajiri,Digala ,Mwamba,Engineer,Dokta ,Poti.Leo unaamka unapewa cheo hiki ikifika jioni unapewa kingine mimi mpaka sasa nimepewa cheo cha uafisa mipango.Sms imeingia niambie Afisa mipango na mimi nimejibu niambie Tajiri.Ijapokua mifukoni teeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…