Jinsi Video ambazo ni fake zilivyotumika kipropaganda kuelezea Shambulio la Iran kwa Israel

Jinsi Video ambazo ni fake zilivyotumika kipropaganda kuelezea Shambulio la Iran kwa Israel

We bado upo na Israel tu, Biden anafikiria kutoa sanction kwa jeshi lao baada ya kukuta maiti za mamią ya watu (wengi watoto na wanawake) wasio na silaha.

Jamaa wamefanya massacre huko Gaza. Ata ndani ya Israel popularity ya Netanyahu imeshuka sana wananchi walio wengi wanataka leo kesho aondoke awataki ata kumsikia.

Asilimia kubwa ya waisraeli awafurahishwi na kinachoendelea Gaza, nyie waafrika ndio viherehere.
 
So Iran hakuishambulia Israel ?
Imeishambulia lakini hoja anayojaribu kuiweka ni kwamba Picha hizo zisitumike kama rejea.

Na nyingine hata humu JF zimetumika. Kwa ivo kama ni FAKE na kilichoelezewa kwa kutumia picha hizo ni fake pia.
 
We bado upo na Israel tu, Biden anafikiria kutoa sanction kwa jeshi lao baada ya kukuta maiti za mamią ya watu (wengi watoto na wanawake) wasio na silaha.

Jamaa wamefanya massacre huko Gaza. Ata ndani ya Israel popularity ya Netanyahu imeshuka sana wananchi walio wengi wanataka leo kesho aondoke awataki ata kumsikia.

Asilimia kubwa ya waisraeli awafurahishwi na kinachoendelea Gaza, nyie waafrika ndio viherehere.

Maiti akutwe na silaha anaifanyia nini?.
Askari akifa Silaha yake haiwi Najisi,itachukuliwa mpiganaji mwingine.
Na hakuna massacre Gaza, propagandists ndiyo mnasema hivyo.
 
Maiti akutwe na silaha anaifanyia nini?.
Askari akifa Silaha yake haiwi Najisi,itachukuliwa mpiganaji mwingine.
Na hakuna massacre Gaza, propagandists ndiyo mnasema hivyo.

Taarifa ipo kwenye international media zote duniani Biden administration considers sanctions kwa kitengo cha jeshi la Israel.


Na huko Israel kwenyewe Netanyahu wananchi awamtaki kabisa wala awa-support huo ukatili wake January alikuwa na asilimia 15% inayo muunga mkono kwenye hiyo vita. Sasa hivi inaweza kuwa ata chini ya asilimia kumi.

Hao wa-Israel watakuwa wanawashangaa waafrica mnao-support kinachoendelea Gaza.
 
Mtahangaika sana kipigo kimewauma sana
Imepapaswa TU Israel Hali IPO hivyo,Iran tuwape maua yao
20240422_111537.jpg
 

Taarifa ipo kwenye international media zote duniani Biden administration considers sanctions kwa kitengo cha jeshi la Israel.


Na huko Israel kwenyewe Netanyahu wananchi awamtaki kabisa wala awa-support huo ukatili wake January alikuwa na asilimia 15% inayo muunga mkono kwenye hiyo vita. Sasa hivi inaweza kuwa ata chini ya asilimia kumi.

Hao wa-Israel watakuwa wanawashangaa waafrica mnao-support kinachoendelea Gaza.

Sijakukoti kwasababu ya kupinga Sanction ya Us Over jeshi la Israel,nimekukoti kupinga madai yako ya maiti kutokutwa na Silaha.
Sijui ulikusudia kusema nini uliposema "Maiti hazikukutwa na Silaha".
Kigezo cha maiti ni lazima ikutwe na Silaha ndiyo Marehem awe muharifu umejitungia wewe tu, Us hawajasema ilo.
 
It's clear that the videos that came out in the aftermath of Iranian attack on Israel are counterfeited to show a purpoted massive blow caused by Iran to Israel when it was just a hoax.

The countries like Iran are renowned for peddling propaganda and this is one of the accomplishments the country is known for.
 
Sijakukoti kwasababu ya kupinga Sanction ya Us Over jeshi la Israel,nimekukoti kupinga madai yako ya maiti kutokutwa na Silaha.
Sijui ulikusudia kusema nini uliposema "Maiti hazikukutwa na Silaha".
Kigezo cha maiti ni lazima ikutwe na Silaha ndiyo Marehem awe muharifu umejitungia wewe tu, Us hawajasema ilo.

View: https://m.youtube.com/watch?v=b6zPQutMlXA

Kuna sources luluki za concern juu ya hiyo IDF unit wanayotaka ipewe sanctions. Ni right wings zionists group kama vile ‘Russia Wagner’ wanajulikana kwa kuuwa wa-palestine bila ya kujali.

Haya nimekuwekea BBC source ikiongelea moja ya matukio yao ya hovyo yanayochangia kutaka kupewa sanctions. Juzi tu wamepiga shelter na kuuwa watoto kumi na tano.

Sasa kuna source zingine luluki zenye maelezo ya tabia za hiyo unit kupiga sehemu za civilians bila ya kujali na kuuwa thousands of innocent people.

Acha kutetea vitu usivyovielewa kisa ushabiki wa kidini tu.
 
Sijakukoti kwasababu ya kupinga Sanction ya Us Over jeshi la Israel,nimekukoti kupinga madai yako ya maiti kutokutwa na Silaha.
Sijui ulikusudia kusema nini uliposema "Maiti hazikukutwa na Silaha".
Kigezo cha maiti ni lazima ikutwe na Silaha ndiyo Marehem awe muharifu umejitungia wewe tu, Us hawajasema ilo.

IMG_7385.jpeg



Halafu Gaza inawakristo bado japo sasa hivi idadi yao ni ndogo baada ya wengi kukimbia huko nyuma kwa sababu ya attacks za Israel. Lakini waarabu wenyewe kwa wenyewe walikuwa wanaishi in piece kati ya Jews, Muslims and Christian (Palestine kulikuwa na dini zote japo raia walikuwa waarabu) kabla ya hawa Jews wa Europe kwenda huko na kuanzisha migogoro.

Haya walipiga hilo kanisa Gaza lenye miaka elfu kadhaa na kuuwa waumini wa kikristo waliokuwa wamejificha humo ndani. Hilo kanisa nalo utasema lilikuwa limeficha wapiganaji.

You don’t even understand Palestine au hata kuelewa sio waarabu wote waislamu kama unavyofikiri.
 
View attachment 2971260


Halafu Gaza inawakristo bado japo sasa hivi idadi yao ni ndogo baada ya wengi kukimbia huko nyuma kwa sababu ya attacks za Israel. Lakini waarabu wenyewe kwa wenyewe walikuwa wanaishi in piece kati ya Jews, Muslims and Christian (Palestine kulikuwa na dini zote japo raia walikuwa waarabu) kabla ya hawa Jews wa Europe kwenda huko na kuanzisha migogoro.

Haya walipiga hilo kanisa Gaza lenye miaka elfu kadhaa na kuuwa waumini wa kikristo waliokuwa wamejificha humo ndani. Hilo kanisa nalo utasema lilikuwa limeficha wapiganaji.

You don’t even understand Palestine au hata kuelewa sio waarabu wote waislamu kama unavyofikiri.
Vita haina macho.
 
Halafu Gaza inawakristo bado japo sasa hivi idadi yao ni ndogo baada ya wengi kukimbia huko nyuma kwa sababu ya attacks za Israel.
Kwa nini ni wakristo tu idadi yao iwe ndogo kwa sababu ya kukimbia mashambulizi ya Israel na hao wengine idadi yao iwe bado kubwa??

Wakristo ni waoga ama wao ndiyo walengwa wa mashambulizi ya Israel??
 
Kwa nini ni wakristo tu idadi yao iwe ndogo kwa sababu ya kukimbia mashambulizi ya Israel na hao wengine idadi yao iwe bado kubwa??

Wakristo ni waoga ama wao ndiyo walengwa wa mashambulizi ya Israel??
Wote wanakimbia waislamu zaidi ya wakristo sema population ya wakristo ni ndogo kwa ivyo wakitoka 2000 katika 3000 ni rahisi kuona upungufu.

Hao waliobaki ni kwa sababu wanaishi hapo kwa zaidi ya miaka 2000 ndio unaowasoma kwenye biblia (wao ndio wakristo wa kwanza dini imeanzia maeneo hayo na hao ndio originals waliobaki) so wapo very proud and sensitive na hilo eneo kama heritage yao ndio maana bado wapo hata baada ya Gaza kuzungushiwa ukuta.

I don’t want this to turn into a religious archeological, nataka tu huyo jamaa mmbishi apate picha ya Gaza nje wa ya miwani yake ya udini, clearly he can’t be Jew kwa sababu wanataratibu zao ku-convert lazima uwe na historia ya damu na hiyo dini au uoe Jew pamoja na ivyo taratibu zao sio za siku moja tu hadi uwe Jew.
 
Back
Top Bottom