Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Habari zenu wakuu,
Imekuwa ni vigumu sana kwa watumiaji wa simu kukisia zile tarakimu za voucher za simu ili kuongeza salio. Wengi wanao kisia hizo namba za simu huwa wanakosea na ukikisia mara nyingi namba yako inafungiwa.
SASA, mwenye elimu na utashi juu ya hizi voucher zinavyotengenezwa yaani formula inayotumika kutengeneza hizo voucher ili watu washindwe kukisia atushirikishe nasi pia tu faham.
Imekuwa ni vigumu sana kwa watumiaji wa simu kukisia zile tarakimu za voucher za simu ili kuongeza salio. Wengi wanao kisia hizo namba za simu huwa wanakosea na ukikisia mara nyingi namba yako inafungiwa.
SASA, mwenye elimu na utashi juu ya hizi voucher zinavyotengenezwa yaani formula inayotumika kutengeneza hizo voucher ili watu washindwe kukisia atushirikishe nasi pia tu faham.