ICHANA
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 4,766
- 3,595
i dnt buy voucher
Aisee unatumia nini boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i dnt buy voucher
Habari zenu wakuu,
Imekuwa ni vigumu sana kwa watumiaji wa simu kukisia zile tarakimu za voucher za simu ili kuongeza salio. Wengi wanao kisia hizo namba za simu huwa wanakosea na ukikisia mara nyingi namba yako inafungiwa.
SASA, mwenye elimu na utashi juu ya hizi voucher zinavyotengenezwa yaani formula inayotumika kutengeneza hizo voucher ili watu washindwe kukisia atushirikishe nasi pia tu faham.
Mmh! ukweli ni kwamba,hakuna teknolojia kubwa sana inayotumika kutengeneza vocha,kinachofanyika ni ku print tarakimu 14 ambazo kwa vyovyote huwezi kuzipatia zote kama unataka kufoji,na kwa kuwa maelfu ya vocha yanakuwa printed,kuna tahadhari kubwa inafanywa ambayo ni sawa na mbinu ya kijeshi,muone kabla hajakuona,ktk mbinu hiyo ndo maana ukijaribu kufoji zaidi ya mara kumi unafungiwa line,kwa nini wanafanya hivyo? ni kwa sababu ukirudia mara nyingi zaidi,mwisho wa siku lazima utapatia tu,that's why kuna restrictions hizo,wabongo mbona mna akili ndogo hivyo? ndo maana mnaendelea kuchagua ccm pamoja na kuwa,ni afadhali ya kinyesi utakigeuza mbolea kuliko ccm ambayo ni mauti ya watanzania,I HATE THESE PEOPLE,wameshatutesa vya kutosha,wakiendelea kuiba kura,option will be military rebelion,KARIBUNI MNING'OE KUCHA,AU MNIUE,TUMESHACHOKA,ukatili wenu ccm ipo siku mtaulipa,time will tell,SIWAPENDI KABISA NYIE WATU.
Chukua vocha 17 zilizokwisha tumika kwa kufuatana kaa nazo kisha anza ku-study that pattern ya hizo 14 digits then you will guess the other digits za vocha inayofuata!
umeflow vizuri,ila CCM sijui imeingiaje jmn hhahhaha
Mmh! ukweli ni kwamba,hakuna teknolojia kubwa sana inayotumika kutengeneza vocha,kinachofanyika ni ku print tarakimu 14 ambazo kwa vyovyote huwezi kuzipatia zote kama unataka kufoji,na kwa kuwa maelfu ya vocha yanakuwa printed,kuna tahadhari kubwa inafanywa ambayo ni sawa na mbinu ya kijeshi,muone kabla hajakuona,ktk mbinu hiyo ndo maana ukijaribu kufoji zaidi ya mara kumi unafungiwa line,kwa nini wanafanya hivyo? ni kwa sababu ukirudia mara nyingi zaidi,mwisho wa siku lazima utapatia tu,that's why kuna restrictions hizo,wabongo mbona mna akili ndogo hivyo? ndo maana mnaendelea kuchagua ccm pamoja na kuwa,ni afadhali ya kinyesi utakigeuza mbolea kuliko ccm ambayo ni mauti ya watanzania,I HATE THESE PEOPLE,wameshatutesa vya kutosha,wakiendelea kuiba kura,option will be military rebelion,KARIBUNI MNING'OE KUCHA,AU MNIUE,TUMESHACHOKA,ukatili wenu ccm ipo siku mtaulipa,time will tell,SIWAPENDI KABISA NYIE WATU.
naokota then narenew
Shhhhhhhhhh!! Kama unajua kaa kimia !! Wengine tunaishi mjini kwa mgongo huo xo zip up
Chukua vocha 17 zilizokwisha tumika kwa kufuatana kaa nazo kisha anza ku-study that pattern ya hizo 14 digits then you will guess the other digits za vocha inayofuata!
Shhhhhhhhhh!! Kama unajua kaa kimia !! Wengine tunaishi mjini kwa mgongo huo xo zip up
kuna jamaa maeneo ya
ubungo akinunua vocha,haikwangui..anasoma serial namba halafu
anaitupa..ukiokota kukwangua hupati kitu