Jinsi Voucher za Simu Zinavyo tengenezwa

Jinsi Voucher za Simu Zinavyo tengenezwa

Mmh! ukweli ni kwamba,hakuna teknolojia kubwa sana inayotumika kutengeneza vocha,kinachofanyika ni ku print tarakimu 14 ambazo kwa vyovyote huwezi kuzipatia zote kama unataka kufoji,na kwa kuwa maelfu ya vocha yanakuwa printed,kuna tahadhari kubwa inafanywa ambayo ni sawa na mbinu ya kijeshi,muone kabla hajakuona,ktk mbinu hiyo ndo maana ukijaribu kufoji zaidi ya mara kumi unafungiwa line,kwa nini wanafanya hivyo? ni kwa sababu ukirudia mara nyingi zaidi,mwisho wa siku lazima utapatia tu,that's why kuna restrictions hizo,wabongo mbona mna akili ndogo hivyo? ndo maana mnaendelea kuchagua ccm pamoja na kuwa,ni afadhali ya kinyesi utakigeuza mbolea kuliko ccm ambayo ni mauti ya watanzania,I HATE THESE PEOPLE,wameshatutesa vya kutosha,wakiendelea kuiba kura,option will be military rebelion,KARIBUNI MNING'OE KUCHA,AU MNIUE,TUMESHACHOKA,ukatili wenu ccm ipo siku mtaulipa,time will tell,SIWAPENDI KABISA NYIE WATU.

Umeanza vizuri hapo mwisho ukatoka nje ya mada.

Hivi wabongo huwa hamjui umuhimu wa kitu kinaitwa conclusion?

Ndio maana mnafeli FORM 4 mnamlaumu Mulugo , wewe bila shaka FORM 4 hii ya waziri mulugo umetoka na Div 5.
 
System itakuwa inatengeneza randomly then wana activate (control)

Si unajua ukiwa na digit 14 hapo ki probability ni 9*10*10*10*10....10(ya 14) yaani watatengeneza hadi wachoke.
 
Umeanza vizuri hapo mwisho ukatoka nje ya mada.

Hivi wabongo huwa hamjui umuhimu wa kitu kinaitwa conclusion?

Ndio maana mnafeli FORM 4 mnamlaumu Mulugo , wewe bila shaka FORM 4 hii ya waziri mulugo umetoka na Div 5.

Ponda point sio kafeli fom4.speak az an inteligent person
 
....Is all about Mathematics application; COMBINATION FORMULAE at work.
 
umeaza vuzuur saaan kuchambua concept ya kutengenez vochar... balaa ikaanza ulipoanz kuchambuw ccm ki ukwl mie c mpenz wa ccm lakin penye ukwel tuseme.... kwani wanaong'olewavl kucha , kuteswa na kupigwa mabom wew wadhan ccm ndo wanafany........??? cku ukikuwa utajuw anaefany hivooo nan... kw taarif yako tuu huo ni mfumo wa siasa wameamuw kuutumia chagga development mission agency... napenda saaana mabadiliko lakin c hayo... ndo taabu ya akili kubwa kuongoza akili ndogo...
 
umeaza vuzuur saaan kuchambua concept ya kutengenez vochar... balaa ikaanza ulipoanz kuchambuw ccm ki ukwl mie c mpenz wa ccm lakin penye ukwel tuseme.... kwani wanaong'olewavl kucha , kuteswa na kupigwa mabom wew wadhan ccm ndo wanafany........??? cku ukikuwa utajuw anaefany hivooo nan... kw taarif yako tuu huo ni mfumo wa siasa wameamuw kuutumia chagga development mission agency... napenda saaana mabadiliko lakin c hayo... ndo taabu ya akili kubwa kuongoza akili ndogo...

Umeanza vizuri ukaharibu hitimisho

cc Maundumula
 
Last edited by a moderator:
Jaribuni kuchezesha formula mbalimbali za kukokotoa mtafanikiwa tu, hata wanaotengeneza vocha nao ni watu tu. Ama tafuteni computer programs zinazotumika kutengenezea vocha ama namba za token mbalimbali kama bingo na luku, ndivyo ilivyo amini usiamini
 
mi najua na ni rahisi sanaaa ila ni siri mi sinunuagi vocha tena najua tigo na voda nikivujisha kesi unaambiwa usimwage mchele kwenye kuku wengi nilifundishwa na demu wa kizungu kama zawadi tu
 
Wanatumia teknolojia ya random vocher numbers generation na ndio maana namba za vocha huwa hazifuatani yaani sio serial bali randomly.
 
Back
Top Bottom