Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hii ni kwa wale wanaopenda maisha bora!
Hawa Wakenya jamani mimi kila week nawaona huku; wanakuja na gari wanasomba pumba nyingi kweli kweli wanapeleka kwao, lakini nimejaribu kuwahoji wanaishia kuniambia endeleeni kulialia tuš...! Wanatudharau sana pia!
Pia, wanachukua karanga kwa wingi sana wanaenda nazo Kenya. Hivi shida yetu ni nini jamani kama nchi? Moyo unauma, wapi tunakosea? Yaani hapa naandika nipo nao hapa wanapakia hii mizigo!
Nadhani pumba ni kwaajili ya ceiling board, au kuna mishe nyingine? Na hizi karanga ndiyo wanaongeza thamani au?
Kama vipi tuchangamkie fursa hii jamani. Watanzania mliopo kwa "Uhuru" hebu semeni neno basi!
Kwenye karanga ndiyo pamenigusa. That wananunua karanga kwa shilingi 5000 kwa debe. Eh bwana eh! Nimechoka mimi kwanza.
Hawa Wakenya jamani mimi kila week nawaona huku; wanakuja na gari wanasomba pumba nyingi kweli kweli wanapeleka kwao, lakini nimejaribu kuwahoji wanaishia kuniambia endeleeni kulialia tuš...! Wanatudharau sana pia!
Pia, wanachukua karanga kwa wingi sana wanaenda nazo Kenya. Hivi shida yetu ni nini jamani kama nchi? Moyo unauma, wapi tunakosea? Yaani hapa naandika nipo nao hapa wanapakia hii mizigo!
Nadhani pumba ni kwaajili ya ceiling board, au kuna mishe nyingine? Na hizi karanga ndiyo wanaongeza thamani au?
Kama vipi tuchangamkie fursa hii jamani. Watanzania mliopo kwa "Uhuru" hebu semeni neno basi!
Kwenye karanga ndiyo pamenigusa. That wananunua karanga kwa shilingi 5000 kwa debe. Eh bwana eh! Nimechoka mimi kwanza.