Jinsi Wakenya wanavyotajirika na pumba za karanga za Tanzania

Jinsi Wakenya wanavyotajirika na pumba za karanga za Tanzania

Karanga ya Tabora kama ni ile nyeupe ndogo ndogo hata Tanzania hapa hapa inasoko kubwa ukitaka sema hapa uelekezwe wapi upeleke, au Karanga ya Dodoma
 
Watu mpo busy kumcrush mtoa mada huku mnasahau mantiki ya mada.. Tukubali tukatae wabongo kwenye value addittion kwa bidhaa zetu tupo nyuma sana na hawa wenzetu wanachofanya ni kuja kununua huku vitu raw halafu wanaenda kuongeza thamani then wanafanya export....

Wakenya wametuzidi akili ya kwenye soko.. hilo tukubali na tuanzie hapo japo naona vijana wenzangu baadhi wameanza kuvamia hizo sekta kitu ambacho ni kizuri
 
Hii ni kwa wale wanaopenda maisha bora!
Hawa Wakenya jamani mimi kila week nawaona huku..wanakuja na gari wanasomba pumba nyingi kweli kweli...wanapeleka kwao..lakini nimejaribu kuwahoji wanaishia kuniambia endeleeni kulia lia tu[emoji24]...!wanatudharau sn pia ..!

pia wanachukua karanga kwa wingi sana wanaenda nazo Kenya hivi shida yetu ni nini jamani kama nchi?? Moyo unauma ...wapi tunakosea?yaan hapa naandika niko nao hapa wanapakia hii mizigo ...!

Nadhani pumba ni kwaajili ya ceiling board..au kuna mishe nyingine?na hiz karanga ndo wanaongeza thamani au?

Kama vipi tuchangamkie fursa hii jaman..watanzania mliopo kwa "Uhuru" hebu semeni neno basi!..
°Kwenye karanga ndo pamenigusa! That wananunua karanga kwa shilingi 5000 kwa debe ..!ah bwana eh nimechoka mm kwanza!
Nitafute tufanye biashara
 
Karanga kubwa nyekundu maarufu kama karanga ya malawi ambayo inalimwa sana tabora kaliua, ushetu kahama, kakonko kibondo mara nyingi soko lake lipo Rwanda na Uganda,
 
Sijafahamu hiyo ya wakenya nachofahamu kuna rafiki yangu hua anafuata pumba laini ya mpunga kutoka mbeya anapeleka Nairobi kwenye viwanda vya chakula ya kuku
 
Tumeshindwa
TUMESHINDWA TUMESHINDWA TUMESHINDA

Hapo ndipo watanzania na afrika tunazama sikuzote . TUMESHINDWA ndo nn? Umeshindwa wewe na nani ?It begins with u my dear. Umeona gap/ opportunity tumia fanya mambo, ongeza nguvu kwa kumshirikisha mwengine na mwengine.
 
Watu mpo busy kumcrush mtoa mada huku mnasahau mantiki ya mada.. Tukubali tukatae wabongo kwenye value addittion kwa bidhaa zetu tupo nyuma sana na hawa wenzetu wanachofanya ni kuja kununua huku vitu raw halafu wanaenda kuongeza thamani then wanafanya export....

Wakenya wametuzidi akili ya kwenye soko.. hilo tukubali na tuanzie hapo japo naona vijana wenzangu baadhi wameanza kuvamia hizo sekta kitu ambacho ni kizuri
wewe binafsi pengine na wenzio ni zao gan haswaa umeadd value kama usemavyo
 
Watu mpo busy kumcrush mtoa mada huku mnasahau mantiki ya mada.. Tukubali tukatae wabongo kwenye value addittion kwa bidhaa zetu tupo nyuma sana na hawa wenzetu wanachofanya ni kuja kununua huku vitu raw halafu wanaenda kuongeza thamani then wanafanya export....

Wakenya wametuzidi akili ya kwenye soko.. hilo tukubali na tuanzie hapo japo naona vijana wenzangu baadhi wameanza kuvamia hizo sekta kitu ambacho ni kizuri



Ww ndo pekee ulonielewa! Sichangii kitu zaidi...
 
My point was ...tunang'ang'ana kwenye biashara zile zile..mara km ni nguo au kilimo wote tunajaa humo tunapelekeshwa na upepo wa kisulisuli .nikasema kwann sisi tumelala tu tunahangaika na mazao yanatustress...! Yaan mtz ndo asombee pumba mkenya azichukue?kwmba sisi tumejitosheleza sn au ni nn?
 
My point was ...tunang'ang'ana kwenye biashara zile zile..mara km ni nguo au kilimo wote tunajaa humo tunapelekeshwa na upepo wa kisulisuli .nikasema kwann sisi tumelala tu tunahangaika na mazao yanatustress...! Yaan mtz ndo asombee pumba mkenya azichukue?kwmba sisi tumejitosheleza sn au ni nn?

Kila mtanzania anawaza kuuza duka la nguo au vipodozi, au afungue restaurant au anunue bajaji wakati mkenya na mnyarwanda wanaingia tabora kuchukua asali wanaenda kwao wanaisafisha then wanapack na kwenda kupiga pesa uarabuni hasa saudia na dubai
 
Kila mtanzania anawaza kuuza duka la nguo au vipodozi, au afungue restaurant au anunue bajaji wakati mkenya na mnyarwanda wanaingia tabora kuchukua asali wanaenda kwao wanaisafisha then wanapack na kwenda kupiga pesa uarabuni hasa saudia na dubai


Wewe ni wa pili..very smart ..tumekalia biashara za uchuuz weee..shame on us!
 
Back
Top Bottom