Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Pumba wanatumia kutengeneza chakula cha kuku. Nafikiri watakuwa wana miradi mikubwa ya kuku huko kwao.
Kuna mikate yao fulani hivi mitamuu huwa inaharibika haraka sana. Wakikuletea kama leo, after 3 au 4 days wanakuletea tena mingine kwakuwa ile ya mwanzo inakuwa imefikia expiring date.
Wanakupa mipya then ile iloharibika(kama ulikuwa haujaiuza) wanachukua. Siku moja ikabidi niwaulize, wakanieleza inakwenda kutumika kutengenezea chakula cha kuku.
Kuna mikate yao fulani hivi mitamuu huwa inaharibika haraka sana. Wakikuletea kama leo, after 3 au 4 days wanakuletea tena mingine kwakuwa ile ya mwanzo inakuwa imefikia expiring date.
Wanakupa mipya then ile iloharibika(kama ulikuwa haujaiuza) wanachukua. Siku moja ikabidi niwaulize, wakanieleza inakwenda kutumika kutengenezea chakula cha kuku.