Jinsi Wakenya wanavyotajirika na pumba za karanga za Tanzania

Jinsi Wakenya wanavyotajirika na pumba za karanga za Tanzania

Jamaa alivyokujibu ndiyo jinsi watanzania wengi tulivyo. Hajui wale jamaa wakinunua wana add value kisha wanauza kwa bei kubwa huku mkulima Tanzania akiendelea kulia umasikini. Mimi najiuliza kwa nini wizara ya mambo ya nje wakishirikiana na kilimo na hii ya biashara wasizunguke kuangalia masoko yakoje na yanahitaji nini huko nje. Balozi zetu sehemu mbalimbali zinakuwa na kazi gani zenye tija kwa nchi. Nakumbuka kipindi marehemu Samwel Sitta akiwa hai alihojiwa akasema Sudani ya Kusini kuna soko kubwa watanzania changamkieni fursa,nikajiuliza mkulima wa Namtumbo hiyo taarifa inamtosha kupeleka zao lake Juba.
Yani hadi wizara ituhangaikie kwenye mambo kama haya sisi kazi yetu nini?
Watz wengi ni wavivu hadi fursa tutaftiwe ?
 
Ww umeuelezea huu uzi nilivyotaka watu wanielewe nnamaanish nn..asante sn mkuu...!mi lengo kuu ilikua watz wenye mitaji wachngmkie fursa wapeleleze hii ishu inakuwaje mapema iwezekanavyo..iweje mkenya aje achukue pumba jmn..!
mkuu moshi sehemu gani wanachukulia
 
Mara nyingi hupatikana kwenye maonesho mfano wa wale wenye mabanda labda sabasaba au nanenane, wengine kwenye hafla za kibiashara au njia nyingineyo ni kuingia field, unakutana labda na wazalishaji wadogo wadogo then wao watakupa picha nzima ya soko linavyoendeshwa (hii sio rahisi mara nyingine maana inategemea na huyo mtu utakayekutana nae, wengine hawakupi picha nzima ili wakupige pesa directly ila ukienda nao taratibu watakueleza )..
Poa poa mkuu ...muhimu ni kujua soko lipoje.!
 
Hii ni kwa wale wanaopenda maisha bora!

Hawa Wakenya jamani mimi kila week nawaona huku; wanakuja na gari wanasomba pumba nyingi kweli kweli wanapeleka kwao, lakini nimejaribu kuwahoji wanaishia kuniambia endeleeni kulialia tu😭...! Wanatudharau sana pia!

Pia, wanachukua karanga kwa wingi sana wanaenda nazo Kenya. Hivi shida yetu ni nini jamani kama nchi? Moyo unauma, wapi tunakosea? Yaani hapa naandika nipo nao hapa wanapakia hii mizigo!

Nadhani pumba ni kwaajili ya ceiling board, au kuna mishe nyingine? Na hizi karanga ndiyo wanaongeza thamani au?

Kama vipi tuchangamkie fursa hii jamani. Watanzania mliopo kwa "Uhuru" hebu semeni neno basi!

Kwenye karanga ndiyo pamenigusa. That wananunua karanga kwa shilingi 5000 kwa debe. Eh bwana eh! Nimechoka mimi kwanza.
Endelea kulialia mkuu.
 
Wanasema ukitaka pesa tumia pesa..huu msemo umework pia kwangu..ogopa kutafuniwa mkuu ...toka nje zunguka hutarudi bure hata kidg
Kupata taarifa sahihi ni kwa watu kama nyie ambao mupo kweny iuo field ..au japo kidogo munaelewa mchakato upoje ..so kinachoitajika hapa ni muongozo tu mf namna ya kuwapata hao watu, ili iwe rahisi zaid kama na wewe ni muhusika sio mbaya ukasheya unachojua.
 
Kupata taarifa sahihi ni kwa watu kama nyie ambao mupo kweny iuo field ..au japo kidogo munaelewa mchakato upoje ..so kinachoitajika hapa ni muongozo tu mf namna ya kuwapata hao watu, ili iwe rahisi zaid kama na wewe ni muhusika sio mbaya ukasheya unachojua.


Ohh mm sipo huko mkuu..niliona nishee ideas..unajua kuna watu ana hela ila hajui aanzie wapi...!
Kupata taarifa sahihi ni kwa watu kama nyie ambao mupo kweny iuo field ..au japo kidogo munaelewa mchakato upoje ..so kinachoitajika hapa ni muongozo tu mf namna ya kuwapata hao watu, ili iwe rahisi zaid kama na wewe ni muhusika sio mbaya ukasheya unachojua.
Mcheki arovera naona ana abc za kukfuumbua kbs
 
Back
Top Bottom