Zillion
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,378
- 1,866
Mkuu,mimi sijakuelewa unataka facts zipi ss
Hivi niwewe hapo kwenye avata?
Kuna karanga nimeona hapo nataka niongeze thamani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,mimi sijakuelewa unataka facts zipi ss
Yani hadi wizara ituhangaikie kwenye mambo kama haya sisi kazi yetu nini?Jamaa alivyokujibu ndiyo jinsi watanzania wengi tulivyo. Hajui wale jamaa wakinunua wana add value kisha wanauza kwa bei kubwa huku mkulima Tanzania akiendelea kulia umasikini. Mimi najiuliza kwa nini wizara ya mambo ya nje wakishirikiana na kilimo na hii ya biashara wasizunguke kuangalia masoko yakoje na yanahitaji nini huko nje. Balozi zetu sehemu mbalimbali zinakuwa na kazi gani zenye tija kwa nchi. Nakumbuka kipindi marehemu Samwel Sitta akiwa hai alihojiwa akasema Sudani ya Kusini kuna soko kubwa watanzania changamkieni fursa,nikajiuliza mkulima wa Namtumbo hiyo taarifa inamtosha kupeleka zao lake Juba.
Hiyo bei ni sahihi [emoji817]Hawa watu wana kiwanda cha uwongo, leo mnazusha hili kesho hili.
Karanga debe elfu tano ilikuwa mwaka 2001.
Wacha porojo.
Ni za maganda sio zilizomenywa...5000 debe moja mbona bei chee sana madam.
mkuu moshi sehemu gani wanachukuliaWw umeuelezea huu uzi nilivyotaka watu wanielewe nnamaanish nn..asante sn mkuu...!mi lengo kuu ilikua watz wenye mitaji wachngmkie fursa wapeleleze hii ishu inakuwaje mapema iwezekanavyo..iweje mkenya aje achukue pumba jmn..!
mkuu moshi sehemu gani wanachukulia
Mkuu kaliua unapajuaKaranga kubwa nyekundu maarufu kama karanga ya malawi ambayo inalimwa sana tabora kaliua, ushetu kahama, kakonko kibondo mara nyingi soko lake lipo Rwanda na Uganda,
Mkuu naungana na wwWewe ni wa pili..very smart ..tumekalia biashara za uchuuz weee..shame on us!
Poa poa mkuu ...muhimu ni kujua soko lipoje.!Mara nyingi hupatikana kwenye maonesho mfano wa wale wenye mabanda labda sabasaba au nanenane, wengine kwenye hafla za kibiashara au njia nyingineyo ni kuingia field, unakutana labda na wazalishaji wadogo wadogo then wao watakupa picha nzima ya soko linavyoendeshwa (hii sio rahisi mara nyingine maana inategemea na huyo mtu utakayekutana nae, wengine hawakupi picha nzima ili wakupige pesa directly ila ukienda nao taratibu watakueleza )..
Endelea kulialia mkuu.Hii ni kwa wale wanaopenda maisha bora!
Hawa Wakenya jamani mimi kila week nawaona huku; wanakuja na gari wanasomba pumba nyingi kweli kweli wanapeleka kwao, lakini nimejaribu kuwahoji wanaishia kuniambia endeleeni kulialia tu😭...! Wanatudharau sana pia!
Pia, wanachukua karanga kwa wingi sana wanaenda nazo Kenya. Hivi shida yetu ni nini jamani kama nchi? Moyo unauma, wapi tunakosea? Yaani hapa naandika nipo nao hapa wanapakia hii mizigo!
Nadhani pumba ni kwaajili ya ceiling board, au kuna mishe nyingine? Na hizi karanga ndiyo wanaongeza thamani au?
Kama vipi tuchangamkie fursa hii jamani. Watanzania mliopo kwa "Uhuru" hebu semeni neno basi!
Kwenye karanga ndiyo pamenigusa. That wananunua karanga kwa shilingi 5000 kwa debe. Eh bwana eh! Nimechoka mimi kwanza.
Kupata taarifa sahihi ni kwa watu kama nyie ambao mupo kweny iuo field ..au japo kidogo munaelewa mchakato upoje ..so kinachoitajika hapa ni muongozo tu mf namna ya kuwapata hao watu, ili iwe rahisi zaid kama na wewe ni muhusika sio mbaya ukasheya unachojua.Wanasema ukitaka pesa tumia pesa..huu msemo umework pia kwangu..ogopa kutafuniwa mkuu ...toka nje zunguka hutarudi bure hata kidg
Kupata taarifa sahihi ni kwa watu kama nyie ambao mupo kweny iuo field ..au japo kidogo munaelewa mchakato upoje ..so kinachoitajika hapa ni muongozo tu mf namna ya kuwapata hao watu, ili iwe rahisi zaid kama na wewe ni muhusika sio mbaya ukasheya unachojua.
Mcheki arovera naona ana abc za kukfuumbua kbsKupata taarifa sahihi ni kwa watu kama nyie ambao mupo kweny iuo field ..au japo kidogo munaelewa mchakato upoje ..so kinachoitajika hapa ni muongozo tu mf namna ya kuwapata hao watu, ili iwe rahisi zaid kama na wewe ni muhusika sio mbaya ukasheya unachojua.